[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanafunzi wa kidato cha tano pale pale, shuleni.
kwamba ni mzoefu wa mazingira na walimu na uongozi wa shulke.
Ungetoroka na kwenda kutoa taarifa kwa wazazi unge eleweka.
Sasa una kwenda kuwekwa kinyumba na baba jose, sasa unacho kimbia ni nini?
Haya baba jose yuko wapi?
Unatafuta kuhurumiwa!!
Eti umebakwa!!!
kesho utasema mwalimu jimmy ana kibamia [emoji1787],
kesho kutwa utasema muuza mkaa hana nguvu za kiume!
Harafu kanajidai kalienda kusikojulikaHaka katoto ni kahuni tu. Nawashangaa hata wanaojaribu kukatetea. Sasa kama kalitoroka, kwa nini kalienda kufichwa na muuza mkaa?
Kwa umri wake alishishindwa kabisa kumtafuta msamaria mwema, na kumuomba simu ili awasiliane na wazazi wake, na kuwajulisha kilichotokea!
Asimamishwe?Mwalimu Jimmy is guilty Hata Km hakubaka inaelekea ndio Tabia zake kunyanyasa watoto mpaka wanaona shule ni ngumu, atafutwe ahojiwe na wabobezi, asiendelee kufanya psychological damage kwa watoto wengine zaidi, ingependeza kama atasimamishwa kupisha uchunguzi juu yake
Wakati uchunguzi unaendelea YES,Asimamishwe?
Mwalimu Jimmy is guilty Hata Km hakubaka inaelekea ndio Tabia zake kunyanyasa watoto mpaka wanaona shule ni ngumu, atafutwe ahojiwe na wabobezi, asiendelee kufanya psychological damage kwa watoto wengine zaidi, ingependeza kama atasimamishwa kupisha uchunguzi juu yake
Mwanaharakati uchwaraWakati uchunguzi unaendelea YES,
Labda Binti anamuamini sana Baba Jose kuliko Wazazi wake, haiwezekani binti wa kidato cha tano siri ya kubakwa aache kuwaambia Wazazi wake hadi akamwambie Baba Jose na kutafuta hifadhi kwa Baba Jose!? Labda uniambie issue ya Baba Jose ni mchango wa kupoteza ukweli wa yaliofanyika nyuma ya pazia!!??Binti wa kidato Cha 5, mwenye akili timamu, anasoma masomo ya sayansi. Baada ya kubakwa na mwalimu Jimmy anaondoka kwenda kukaa kwa muuza mkaa Baba Jose badala ya kwenda kuripoti polisi au kurudi na kuripoti nyumbani.
Pelekeni mahakamani ili tijue mbivu na mbchi. Uongo na ukweli haupikiki chungu kimoja. Ma classmates wataitwa na tabia halisi ya Esther itawekwa hadharani
Sasa ikitokea huyo mtu mzima akabakwa, halafu akaamua kukaa kimya! Huo utakuwa ni uamuzi wake. Ila sheria iko wazi kabisa.Anabakwa mtu mzima na hawareport police ndio itakua mtoto?!
Mkuu unakomaa na baba Jose bure, kosa lake sio sawa na Jimmy ambaye kisheria anawajibu kama mzazi namba 2.Na baba jose atafutwe had apatikanee, hakuna kuwapa case wasio husika hapaa lol.
Kuna Abdul Nondo inasemekana alijiteka. Polisi sio wa kuwaamini, kama hii kesi itafufuliwa huko Mahakamani ndio tutajua ukweli!!Huyo demu asingekimbilia kusikojulikana kama kweli alibakwa kwani huyo mchoma mkaa ni nani yake?
I agree isiwe hisia, Ila watoto wote wanaofundishwa na Mwalimu Jimmy wahojiwe anonymously kama ni mnyanyasaji itajulikana tu mwendo wake , SIWAPENDI walimu wote wanaotoa frustrations zao kwa watoto!? Uwe ngono ama laYes akamatwe ahojiwe.
Ila ushahidi ndio umtie hatiani na kumfunga na Sio hisia.
Kama ulivyo weweMwanaharakati uchwara
Ninacho kataa mie suala LA baba Jose kuzimwa, afu kuibuliwa LA teacher jimmy, kwann aliyekua nae huyu mda wote akitafutwa asipatikane kuhojiwa, wa deal na jimmy kwani??Mkuu unakomaa na baba Jose bure, kosa lake sio sawa na Jimmy ambaye kisheria anawajibu kama mzazi namba 2.
Baba Jose hatujui aliambiwa nini na Ester hadi akamchukia...ksma kweli kuna mtu anaitwa jina hilo kweli.
Ili kuondoa sintifahamu hii bora uchunguzi ufanyike ili kila mtu abebe lawama zake