Mkuu uzi wako Uko kiharakati SanaKomenti nyingi za wanaume wenzangu zinaonyesha ushamba, ukosefu wa utu na kutokuthamini watoto na wanawake.
Hata malaya anayejiuza haihalalishi abakwe.
Ufike wakati tuheshimu watoto wetu wa kike na kuwathamini ili kuwa na walezi bora wa jamii kwa baadae.
Binadamu ndo mnyama pekee ambaye furaha yake hipo Katika kuona wenzie wanaumia na kupitia magumuBora waue career ya mchoma mkaa maana anaharibu mazingira na ndie aliyejipigia Binti mara nyingi zaidi kuliko kuua career ya innocent teacher
Skia mkuu, Kama unatumia jicho la tatu kufikiria utaunganisha dots kati ya baba Jose, muuza genge na Jimmy mwalimu. Nasema hivi kwasababu Pandahill Sec naifahamu nje ndani na kutoka haiwezekani mpaka uwe na GATE PASS sasa jiulize huyo dogo Ester alitokaje bila Access ya kutoka kwa Jimmy na obviously nje alikuwa amepokelewa na mtu aliyekuwa ameandaliwa kwenda kumficha. Just try to think out the box mkuuYani wewe ni baba wa Binti unapambana na mtu ambaye inasadika kamla Binti yako mara moja maana hamna ushahidi harafu unafumba macho kwa mtu aliyemla Binti yako mwezi mzima na ushahidi upo yaani kama alikuwa anamwingilia kwa siku mara tatu kwa siku kamla zaidi ya mara 90 kama alikuwa anapiga mabao matatu Kila anavyomwingilia kamwagia manii zaidi ya mara 270
Upo sahihi,dogo anadhani huko mashuleni hatujapita au yeye ndo wakwanza kusoma na kutakwa kimapenzi na mwalimu,ticha wa nidhamu na mnoko anaesimamia nidham siku zote hapendwi na wanafunzi wenye nidhamu ndogoKinachooneka hapo ticha Jimmy ndo alikua ticha mnoko Sana Apo shuleni[emoji4]
Ticha ambae ameshamlala mwanafunz hawez pata guts za kumcharaza viboko hawara Yake (binti) akichelewa kwenda darasani[emoji4]
Karibu kuwaza Hilo pia Glenn[emoji4]
Yeye anapohojiwa anasema alitokaje? Yaani ya kubakwa anaweza kuyasema, Ila alivyotoka nje ya Geti ni siriSkia mkuu, Kama unatumia jicho la tatu kufikiria utaunganisha dots kati ya baba Jose, muuza genge na Jimmy mwalimu. Nasema hivi kwasababu Pandahill Sec naifahamu nje ndani na kutoka haiwezekani mpaka uwe na GATE PASS sasa jiulize huyo dogo Ester alitokaje bila Access ya kutoka kwa Jimmy na obviously nje alikuwa amepokelewa na mtu aliyekuwa ameandaliwa kwenda kumficha. Just try to think out the box mkuu
Uyo mama Jose usikute ndo wale madalali wa maBinti wabichi kwa mapedeshee[emoji4]Mmmh Coca tuliza kichwa vizuri.
Hakuna mahala iliandikwa popote kuwa alikaa kwa baba Jose mwezi mzima...labda uweke ushahidi hapa.
1. Baba Jose ametajwa na mama muuza genge alipokutwa Ester
2. Baba Jose haijulikani kuwa ni kweli alimla mtoto ama laah, mtoto hajakiri popote kuwa alikuwa kwa baba Jose
Na wee ungekua baba Jose ungempokea binti ukae nae mwezi mzima Bila wazazi au viongozi kujua?Mbna alikubali Esther alikua kwa baba jose, na alisema ni msamaria mwema kwake? Hao wazazi walizuiwa kipii kuongea??
Tunarudi pale pale, kwann hakuenda sehemu sahihi za kupeleka case yake ya kubakwaa??
Akili kubwa. kale ni ka Malaya kazoefu. Angalia kiduku kile kichwani. Sema tuna viongozi wenye akili ndogo sana juu chiniMmeamua kumdharilisha Mwalimu
Kwa umalaya wa Mtoto wenu.
Sina imani ushuhuda wa huyo Mwanafunzi
Mrudisheni Baba Jose Mke wake.
Wee Mtoto wa form 5,Nikiliwa bila ridhaa yangu nitaenda sehemu husika za kupeleka case ili suala hilo lishughurikiwe, na sio kwenda kwa bwana mwingine niliwe vizuriii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwaiyo mwl jimmy alimbaka Kisha akampa gate pass Kisha akampeleka kwa baba Jose muuza mkaa akaendelee kumbaka na hilo ndo jicho lako la kumi lilivyoona?Skia mkuu, Kama unatumia jicho la tatu kufikiria utaunganisha dots kati ya baba Jose, muuza genge na Jimmy mwalimu. Nasema hivi kwasababu Pandahill Sec naifahamu nje ndani na kutoka haiwezekani mpaka uwe na GATE PASS sasa jiulize huyo dogo Ester alitokaje bila Access ya kutoka kwa Jimmy na obviously nje alikuwa amepokelewa na mtu aliyekuwa ameandaliwa kwenda kumficha. Just try to think out the box mkuu
Nakazia[emoji4]ESTHER ni GIGY MONEY ambae kwa sasa yupo shule anasoma.Kaonja ladha ya dudu tayari limemvuruga kichwa
Mlivyomhoji baba Jose yeye alisemaje? kabla ya kumtuhumu ticha.Boss boss.
Huyu ni mtoto wa kike tena mdogo, hili tukio kama kweli alibakwa, akaumia, huoni hasira na chuki inaweza kumpa hasira ya kufanya maamuzi yasiyo sahihi?
Hujawahi kukasirika ukafanya masmuzi mabovu?
Balaa shost...boarding mbinu zote za kivita zilko huko...mie nikikumbuka nabaki kucheka...usiku tulkua tunageuka viwete..mradi muibe nyanya mkatengeneze salad domitory🤸Watu tumeishi boarding school 6yrs, na tunajua maisha yote ya ki unafunzii, hakuna wa kudanganyika kirahisii hivyoo.
Umewaza kwa utulivu na bila mihemuko, hongera sana.Binti wa kidato Cha 5, mwenye akili timamu, anasoma masomo ya sayansi. Baada ya kubakwa na mwalimu Jimmy anaondoka kwenda kukaa kwa muuza mkaa Baba Jose badala ya kwenda kuripoti polisi au kurudi na kuripoti nyumbani.
Pelekeni mahakamani ili tijue mbivu na mbchi. Uongo na ukweli haupikiki chungu kimoja. Ma classmates wataitwa na tabia halisi ya Esther itawekwa hadharani
📌ESTHER ni GIGY MONEY ambae kwa sasa yupo shule anasoma.Kaonja ladha ya dudu tayari limemvuruga kichwa
Toto lihuni Sana hiliHalafu kumbaka Kwa nguvu binti wa miaka 18 tena peke yako sio jambo rahisi hivyo. Bila kumjeruhi muhusika ili akose nguvu kwanza. Tofauti na hapo ni shughuli pevu.
Huwa kuna ile adrenaline mwili unapotaka kufanyiwa jambo baya.
Halafu bwenini tena Jioni ambapo Kwa maisha ya bweni sio rahisi kwamba hakuna mwanafunzi yoyote alieshuhudia wala mlinzi na hakuna taarifa yoyote ya Kubakwa popote zaidi ya mwezi mzima.
Duuuuh.