Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Ungeijua Pandahill usingewaza haya...
 
Kama una mtoto wa kike badilika best angu..sijui nikuelezeje...dah..nakuonea huruma...weka akilini hakuna kiumbe mjanja kama jinsia ya kike .huyo wamcharaze tu mboko ataeleza ukwel
Yaelekea familia imeungana na mtoto wao na wamemlisha maneno na stori za uongo na ukweli. JIMI aende mahakamani kudai haki yake baada ya udhalilishwaji
 
Huenda lilitengenezwa ku wave mjadala wa DPW
 
Hahaa kwa kweli mleta mada umeileta kihisia zaidi. Tuhuma ulizompa mwalimu Jimmy ni kubwa na hazikutakiwa kuja na maneno matupu yasiyo na ushahidi. Kwa namna ya tabia ya vijana, Ester akiwa mmojawapo, ni kawaida sana kuwa waongo hasa katika mambo anayotafuta kuaminika. Hivyo haipaswi tuhuma zako ziwe zimetoka kwa Ester pekee yake. Confidence aliyoonyesha ester, kwenye mahijiano sio ya mwanafunzi wa kawaida. Kuna uzoefu mkubwa aliyonao kwenye eneo la janja janja ya kimahusiano.
 
Ungeijua Pandahill usingewaza haya...
Hapa ni mtu...mwl Jimmy na sio shule kama shule.
Shule labda tu ijiingize kulinda taswira.

Pili nimeona shule ni ya RC, ikiwa hata mapadri hupata kashfa ya kulawiti je mwl wa kiume atashindwa kumwingilia binti?
 
Hata hizi ulizoongea ni hisia mkuu.
Je umewasikiliza wazazi walivyisema walioewa maelekezo namna ya kuongea tofauti na uhalisia wa mazingira?
 
Kweli. Kiuhalisia angeenda kushtaki au aende nyumbani kwa mama yake kama ni innocent
 
Huyu dogo nae anatafuta kiki au huruma ya jamii,
Why asingeenda kwa kwa wazazi wake? Why usiende mripot police soon, sasa saizi hata evidence hazipo, anatafuta tu wa kufa nae, ila hakuna kitu atasema kitaaminika tena,
Kama hataki io shule aseme tu
 
Toka lini mwalimu wa kiume akaingia kwenye bweni la watoto wa kike bila matroni wa kike huyo dogo ni malaya kmmk
Hapa ndio mwanzo wa ukweli kujulikana, je walimu huingia bwenini kwa wanafunzi wa kike?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…