Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Anakua mlemavu au mfu then unachunguza unakuta mtoto kampakazia tu jimmy utalipaje hapa
Kabla sijamwadhibu lazima nijiridhishe kwanza.
Mashaka yangu why wazazi wazuiliwe kuongea ukweli?
 
Ndugu yangu nikutoe hofu,kwenye hili sakata huyo binti ni muongo na hayuko serias na shule,usiwaamini watoto wa siku hizi ni vimeo
 
Haswaaaa, watu wanataka mwalimu wa watu afungwe na hana kosaa, kwann lakinii??
 
Acha kutetea yeye km alibakwa, mbna hakuenda kushtaki? Alienda kwa baba jose wake? Chuki zenu kwa walimu ziwe na kipimoo. Lol
 
Acha kutetea yeye km alibakwa, mbna hakuenda kushtaki? Alienda kwa baba jose wake? Chuki zenu kwa walimu ziwe na kipimoo. Lol
Umemwona baba Jose popote?
Kwanini wazazi wadai walizuiwa kuongea ukweli kwa waliyoyaona?
 
Haswaaaaah wanataka kumuamgushia jumba bovu mwalimu wa watu, hilo li estaa limalaya lilokubuhuu, linajisafisha kwa kumsingizia mwalimu, hana hata hofuu
Sio jumba bovu, hapa kuna kitu kimejificha, tusubirie ukweli
 
Daah mkuu, umewahi kumuina baba Jose kwa picha?
Baba Jose ni mzuka, hakuna kitu kama hicho, ni script.. tu, wazazi wameongea wazi walioewa maelekezo waongee nini na waache nini, means ukeli ulifichwa kwa makusdi ndio maana wanataka haki itendeke
Wazazi ndio walisema mtoro wao alikuwa kwa Baba Jose?
 
Nimeangalia mara 2 mahojuano ya binti pamoja na Wazazi nikaamua kuamin kua kuna kitu kinafichwa hapa katikakati
 
Alimtaja Jimmy ili aliko kwa baba jose atanue vizuri, hivi kubakwa ndo atorokee na aende kwa baba josee mwezi mzimaa?

Hajui sehemu za kupeleka case?? Acha kutetea ujinga wa huyo mwanafunzi.
 
Hili litaleta maafa, si kila mzazi anaweza kuzibwa mdomo kwa pesa wala vitisho.

Mimi najijua kuwa kwenye utu huwa sina bei.

Nitakupoteza fasta bila woga
Kwanini unafikiri wewe utawapoteza wao na wala siyo wewe kupotezwa!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…