Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Unaandika Kama vile wewe unao huo ushahidi wote wa Esther kubakwa. Mimi na wewe tumeyasikia haya kwenye vyombo vya habari. Tusubiri mahakama ili tumsikilize Mwl Jimmy na classmates ndio tu judge. Binafsi Sina chuki na watoto wa kike, lkn Esther ana elements za uchangudoa
Narudia kusema tena...hata changudoa hapaswi kubakwa.
Hofu yangu imejikita kwenye serikali kutoa maelekezo kuwa wazazi waongee nini na waache nini wakati wanadai kuwa walishudia mambo flani hayoko sawa na taarifa iliyotolewa haikuwa ya kweli.

Ujue mzazi kuamua kwenda kinyume na taarifa ya mkuu wa mkoa ni jambo zito?
Fikirini kidogo wakuu
 
Nchi ya maelekezo kila mahali, kuna siku mtaleta maafa makubwa sana nchi hii.

Ndugu Watanzania, tukiwa katikati ya sakata la DPW, lilibuka sakata la mwanafunzi wa Panda hill school kupotea, kwa jina Ester.

Sakata hili lilivuta hisia za wengi kiasi cha waziri mkuu kutoa tamko kuwa anawaagiza polisi wantafute kwa haraka ili apatikane.

Jambo hili lilizua gumzo kubwa na hisia kali katika jamii.

Katika kupotea kwake Ester, inasemekana aliacha ujumbe usemao " mjihadhari na mwl Jimmy"

Jamii ilijiuliza kwanini Jimmy?

Baada ya agizo la Waziri mkuu, mtoto alipatikana kwa haraka sana, ikadaiwa alikuwa kwa muuza mkaa kwa jina baba Jose akishirikiana na mama muuza genge, mara fundi cherehani...mkanganyiko.

Wote tulishuhudia Ester akihojiwa ofisini kwa mkuu wa mkoa na alirudia kumtaja Jimmy kuwa ashughukiwe bila ya kufunguka zaidi.


Leo tena kwenye vyombo vya habari, nimeshtushwa mnoo kumsikiliza Ester akihojiwa na ameelezaza kuwa;

1. Mwl Jimmy aliingia bwenini akisaka wanafunzi waliochewa kutoka bwenini.
2. Alimkuta Ester ametoka kuoga na akiwa na kanga moja
3. Akampiga kuwa kwanini amechelewa kuwahi darasani
4. Akamsukumiza kitandani, akamziba mdomo na shuka na KUMWINGILIA KIMWILI

WAZAZI/WALEZI WA ESTER
1. Wamelalamika kuwa mtoto alipopatikana mazingira yalitia shaka
2. Pamoja na mashaka viongozi waliwazuia kuongea tofauti na MAELEKEZO waliopewa
3. Sasa wanaomba haki itendeke kwani ukweli ulifichwa.

MASWALI YANGU KWA MKUU WA MKOA NA RPC
1. Kwanini mlificha ukweli wa jambo hili?
2. Kwanini mkuu wa mkoa alikuwa soft sana alipoiongelea shule ya Panda hill na zaidi akiwamwagia sifa?

3. Hii shule ya Panda hill ni ya kigogo gani serikalini?

HITIMISHO
Mazingira ya kupotea na kupatikana kwa Ester yalizua maswali mengi sana ( HUENDA HATA JINA BABA JOSE NI MAELEKEZO TU).

1. Alitorokaje shuleni wakati kuna geti na ukuta mrefu?

2. Kwanini alimtaja Jimmy?

3. Polisi na mkuu wa mkoa walishindwa nini kumwita Jimmy ahojiwe mbele ya mtoto majibu sahihi yapatikane?
4. Ni lini mtuhumiwa kama huyo hakuchukuliwa hatua za haraka bali waliamua kumfuata kwa muda wao?

4. Kwanini mkuu wa mkoa hakujitokeza tena kuliambia taifa undani wa sakata hilo badala yake Pandahill schooll ndio walipewa nafasi ya kutoa taarifa?

SAKATA HILI LINA VIASHIRIA VYA RUSHWA.

ANGALIZO:
Ninasikitika sana endapo Ester angekuwa ni binti yangu.
1. Jimmy angekuwa mlemavu au mfu kabisa.
2. Hayo maelekezo mliyowapa wazazi...ingekuwa mimi mngenifunga au kunizika, pasingetosha.

Katika maisha yangu kamwe huwezi kumdhalilisha mtoti na mwanamke mbele yangu nikavumilia...sasa awe binti yangu dunia yote ingeiona gharabu yangu.

Kwa mazingira haya Mkuu wa Mkoa na RPC mbeya:
1. Mmewakosea sana watoto wa kike kwa kutokumpa Ester haki yake.

2. Mmewakosea wazazi wote.

3. Mmelikosea na kulikosesha taifa la Tanzania.

ACHIENI NGAZI HARAKAView attachment 2675028
LAiti mngepata kujua akili za watoto wa kike msingempa airtime Esther..tena kwa shule kama PHss...! Kifupi haiwezekani..haipo ..ametunga kutafta sympathy...
 
Narudia kusema tena...hata changudoa hapaswi kubakwa.
Hofu yangu imejikita kwenye serikali kutoa maelekezo kuwa wazazi waongee nini na waache nini wakati wanadai kuwa walishudia mambo flani hayoko sawa na taarifa iliyotolewa haikuwa ya kweli.

Ujue mzazi kuamua kwenda kinyume na taarifa ya mkuu wa mkoa ni jambo zito?
Fikirini kidogo wakuu
Hakuana lolote zaidi ya spinning. Rudisha Esther kwa Baba Jose period. Huyo ni malaya aliyekubuhu
 
Mr Q
Haijalishi mtoto huyu alikuwa akiliwa na baba Jose au la.
Haihalalishi kubakwa na mwingine.

My concern ni ubakaji wa mwalimu na RC na RPC kuwapa wazazi maelekexo ya kuongea mbele ya midia.

Why waelekezawe?
Kila la kheri. Ni muda sasa mwalimu jimmy akashitaki kwa udhakilishaji anaofanyiwa na huyo mtoto na ndugu na alipwe.
 
Toka o level mpaka a level sijawahi kuona ticha wa kike Dom kwetu why kwao mkaguzi wa ma bweni ya kike awe ticha wa kiume na siyo matrons wakuu au tuko kwa bongo drama kama kawaida yetu watanganyika
Ndio maana Wazanzibar wanaiuza Tanganyika mdogo mdogo huku vichwa vimeharibiwa na ugali
 
Glenn usihangaike na ishu ya esther ..naaijua vyema hiyo shule . Ni kama tu St Francis .mie atanisumbua akili mtoto wa kiume ila sio wa kike .mtoto wa kike akiongea maneno 20 hebu jilazimishe maneno 5 ni ya ukweli..esp kama unasoma boarding

Hivi wewe glenn humuoni hata usoni tu esther anaficha vitu? Kila muda anajiliza tu kijinga jinga! Angalia kiduku kile..mtoto anaypenda shule na smart hiwez mkuta na kiduku aise..
Na watu wamesema hii ni mara ya 2 esther anatoroka ..mara ya kwanza alikua kwao...
Kaa mbali kabisa na watoto wa kike mkuu...wakitunga jambo utaamini!huyo achapwe fimbo tu.. tr Jimmy tumpumzishe
 
Kama umala hata mama yako ni mhusika.

Tujadili ubakaji wa Jimmy na RC kutoa maelekezo namna ya kuongea.

Umalaya wa Rster una ushahidi gani?
Una uhakika kuna baba Jose kweli?
Ikiwa walipewa maelekezo namna ya kuongea huenda hata baba Jose ni scrot tu ili kuihadaa jamii funguka
Mama angu tena kaja vipi hapa?
Umeanza matusi tena
Huna hoja za msingi kuhusu umalaya wa Mtoto wenu.
 
Muda utasema na aliingiaje bwenini?
Ushahidi upo au? Inaonekana mdogo wako anatabia zisizo faa(ngoja nitumie lugha nzuri sasa) wakati wenzake wanakimbizana na kuingia prepo yeye anashika ndoo kwenda bafuni kuoga, wakati wenzake wame concentrate na kitabu yeye anapita anaburuza miguu na kuwatoa wenzake

Mazingira yanaonesha anapenda kuwa wa kipekee kwa sababu anajazwa kiburi na wazazi wake ndugu n.k.

Huyu mdogo wako nakuambia siku zabusoni atajuta yeye pamoja na ndugu zake na hakutakuwa na muda wa kusahihisha makosa tena. T'llbe too late.

Muda utaongea kama ulivyo sema
 
Huyu dogo nae anatafuta kiki au huruma ya jamii,
Why asingeenda kwa kwa wazazi wake? Why usiende mripot police soon, sasa saizi hata evidence hazipo, anatafuta tu wa kufa nae, ila hakuna kitu atasema kitaaminika tena,
Anataka kumwangushia mwanaume mwenzetu jumba bovu cha ajabu Kuna wanaharakati uchwara wakiume watamnyanya huyu ticha
 
Back
Top Bottom