Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Sakata la Panda Hill: Mkuu wa Mkoa na RPC Mbeya mnapaswa kuachia nafasi zenu haraka

Unajua watu wengi hanahemka bila kutumia akili mwisho wamwalibie maisha mtu mwingine na wanaume ndo huwa tunakuwa wahanga na wanawake wenye roho mbaya kama huyu Binti yaani mwalimu ambake mwanafunzi bwenini ambako wanalala wanafunzi zaidi 200 wakati Kuna probability kubwa kukamatwa na wanafunzi wengine ambao wamedoji au wasahau chochote na kurudi bwenini
Toto liongo Sana hili
 
Unajua watu wengi hanahemka bila kutumia akili mwisho wamwalibie maisha mtu mwingine na wanaume ndo huwa tunakuwa wahanga na wanawake wenye roho mbaya kama huyu Binti yaani mwalimu ambake mwanafunzi bwenini ambako wanalala wanafunzi zaidi 200 wakati Kuna probability kubwa kukamatwa na wanafunzi wengine ambao wamedoji au wasahau chochote na kurudi bwenini
📌📌🌹
 
Nchi ya maelekezo kila mahali, kuna siku mtaleta maafa makubwa sana nchi hii.

Ndugu Watanzania, tukiwa katikati ya sakata la DPW, lilibuka sakata la mwanafunzi wa Panda hill school kupotea, kwa jina Ester.

Sakata hili lilivuta hisia za wengi kiasi cha waziri mkuu kutoa tamko kuwa anawaagiza polisi wantafute kwa haraka ili apatikane.

Jambo hili lilizua gumzo kubwa na hisia kali katika jamii.

Katika kupotea kwake Ester, inasemekana aliacha ujumbe usemao " mjihadhari na mwl Jimmy"

Jamii ilijiuliza kwanini Jimmy?

Baada ya agizo la Waziri mkuu, mtoto alipatikana kwa haraka sana, ikadaiwa alikuwa kwa muuza mkaa kwa jina baba Jose akishirikiana na mama muuza genge, mara fundi cherehani...mkanganyiko.

Wote tulishuhudia Ester akihojiwa ofisini kwa mkuu wa mkoa na alirudia kumtaja Jimmy kuwa ashughukiwe bila ya kufunguka zaidi.


Leo tena kwenye vyombo vya habari, nimeshtushwa mnoo kumsikiliza Ester akihojiwa na ameelezaza kuwa;

1. Mwl Jimmy aliingia bwenini akisaka wanafunzi waliochewa kutoka bwenini.
2. Alimkuta Ester ametoka kuoga na akiwa na kanga moja
3. Akampiga kuwa kwanini amechelewa kuwahi darasani
4. Akamsukumiza kitandani, akamziba mdomo na shuka na KUMWINGILIA KIMWILI

WAZAZI/WALEZI WA ESTER
1. Wamelalamika kuwa mtoto alipopatikana mazingira yalitia shaka
2. Pamoja na mashaka viongozi waliwazuia kuongea tofauti na MAELEKEZO waliopewa
3. Sasa wanaomba haki itendeke kwani ukweli ulifichwa.

MASWALI YANGU KWA MKUU WA MKOA NA RPC
1. Kwanini mlificha ukweli wa jambo hili?
2. Kwanini mkuu wa mkoa alikuwa soft sana alipoiongelea shule ya Panda hill na zaidi akiwamwagia sifa?

3. Hii shule ya Panda hill ni ya kigogo gani serikalini?

HITIMISHO
Mazingira ya kupotea na kupatikana kwa Ester yalizua maswali mengi sana ( HUENDA HATA JINA BABA JOSE NI MAELEKEZO TU).

1. Alitorokaje shuleni wakati kuna geti na ukuta mrefu?

2. Kwanini alimtaja Jimmy?

3. Polisi na mkuu wa mkoa walishindwa nini kumwita Jimmy ahojiwe mbele ya mtoto majibu sahihi yapatikane?
4. Ni lini mtuhumiwa kama huyo hakuchukuliwa hatua za haraka bali waliamua kumfuata kwa muda wao?

4. Kwanini mkuu wa mkoa hakujitokeza tena kuliambia taifa undani wa sakata hilo badala yake Pandahill schooll ndio walipewa nafasi ya kutoa taarifa?

SAKATA HILI LINA VIASHIRIA VYA RUSHWA.

ANGALIZO:
Ninasikitika sana endapo Ester angekuwa ni binti yangu.
1. Jimmy angekuwa mlemavu au mfu kabisa.
2. Hayo maelekezo mliyowapa wazazi...ingekuwa mimi mngenifunga au kunizika, pasingetosha.

Katika maisha yangu kamwe huwezi kumdhalilisha mtoti na mwanamke mbele yangu nikavumilia...sasa awe binti yangu dunia yote ingeiona gharabu yangu.

Kwa mazingira haya Mkuu wa Mkoa na RPC mbeya:
1. Mmewakosea sana watoto wa kike kwa kutokumpa Ester haki yake.

2. Mmewakosea wazazi wote.

3. Mmelikosea na kulikosesha taifa la Tanzania.

ACHIENI NGAZI HARAKAView attachment 2675028
Hapa hujafikiria kama GT. Uko biased, umemhukumu Mwalimu Jimmy ambaye hajapata na yamkini hatopata nafasi kujitetea. Tatizo kubwa katika hii dunia, mtu atayeanza kuandika au kusema upupu ataaminika zaidi ya yule atakayekuja kujitetea. Najiuliza tu, ni kitu gani ambacho kimekufanya umuamini huyo binti?
 
Yaani umemhukumu moja kwa moja jimmy!! Huyo mtoto ni malaya tu anatafuta sehemu ya kuangushia upuuzi wake (kujisafisha)..

Huwenda ni kweli aliadhibiwa na huyo mwalimu au labda zilikua haziivi na huyo mwalim jimmy akawa anamuadhibu mara kwa mara ndo mtoto akajenga chuki.

Hali Hii ipo shule zote kuna walimu wanoko wanoko mfano mimi kuna teacher alinijengea bila sababu akawa ananikomoa kwa makosa ya kipuuzi tu. Hili halikubaliki lazima likemewe.

Tujiulize tu hivi huyo binti si yupo form five maana yake ni mtu mzima sio mtoto, kwa umri wake ameshajitambua sasa kwann alivobakwa akaenda kwa muuza mkaa?

Huko kwa baba Jose si alikua analiwa tu , mbona hajasema? Huyo binti ni malaya tu Kama mabinti wengi wa siku hizi walivyo.

Huyo binti kwa kuwa ameshajichafua kwa ujinga wake ameamua kutafuta mtu wa kumuangushia jumba bovu ili ajisafishe kwa familia yake. Ni mwambie tu Hili halitomsafisha ila tu kwa upuuzi wake malipo ni hapa hapa kama Jimmy atakumbwa na jambo lolote.

Wazazi leeni watoto vizuri, acheni kulea watoto kipumbavu kama huyu binti, huyu binti kwa maelezo yake na hali halisi ya alipokuwa nadiriki kusema ni malaya tu hana lolote.
 
Imepita zaidi ya wiki ndio inakuja habari ya kubakwa.Alipohojiwa baada ya kupatikana hakueleza haya hadi aeleze kwenye vyombo vya habari?.Maswali ni mengi sana kuliko majibu.Inapaswa kuwa na chombo huru cha kuchunguza na kupata ukweli.Kuliko jamii kubaki kwenye ombwe hili.

Sent from my SM-M325F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umewahi kupatwa na jambo ukawachukia hadi wazazi wako?

Kama kuna ukweli kuwa alibakwa anaweza kujikuta anawachukia watu wote hadi wazazi waliompeleka shule.

Pili hatuoni kuwa Jimmy alitajwa tangu mwanzo alipoacha barua kabla hajatoroka?

Angemtaja Jimmy baada ya kupatikana hata mimi ningetilia shaka
Shule zote walimu wanoko hawakosekani huwenda Jimmy ni miongoni mwa hao walimu wanoko, huwenda Jimmy alikua ana muadhibu sana binti so binti ana chuki nae sana ndoman alipotoroka akaamua kuandika kabarua kakipuuzi kuhalalisha utorokaji wake.

Naamini nina uhakika 100% huyo binti hakubakwa ila ni chuki tu kwa huyo mwalimu, sasa yamefika papaya kwa umalaya wake ndo ameamua amuangishie mwalimu ili kujisafisha kwa umalaya wake.
 
Back
Top Bottom