Sakata la Unga: Mwakyembe aagiza msanii Diamond achunguzwe


nina wasi wasi na hii habari na wengine wame kwenda mbali zaidi na kusema mwakyembe kasema diamond achunguzwe na nina uhakika mwakyembe hawezi kusema hivi
 
mimi nashangaa sana. wanashindwa kuwachunguza watu kama iddi azzan na wengine ambao wameishatajwa wanahangaika na diamond ambaye wanamuhisi tu eti kisa anasafiri sana kwenda nje??? haiingii akilini.
 

watanzania bana..wacha nikusaidie kwanza diamond mbali nn muziki pia ni barozi wa coca toka mwaka jana million 100 kwa mwaka.tukija malipo ya show usimlinganishe kabisa n wanamzik wwngine..toka mwaka jana alishajiwekea kowango chakw..bila million 10 humchukui na show anapiga karibu kila siku time hiz naandika tunajiandaa kwenda tabora kesho kwa show..na saiv kiwango chake ni milliob 12 na ana utitiri wa show ndani na nje ..siyo mnaongea ongea tu..wivu tu wa kijinga
 
Daaaah Binadamu bhana ukipata tabu ukikosa tabu Ebu muacheni ale jasho lake bhana, Hardworking Man!!!
:A S 2152😀on't kill his Vibe:A S 2152:
 
Hakuna anachokifanya diamond south africa zaidi ya kutoa madawa ya kulevya bongo na kupeleka south africa.Hajawai kufanya show south africa na hawa ndiyo wanaotuchafua watanzania tuonekane wote nchi za kigeni shughuli zetu ni madawa ya kulevya. Kwa sasa watanzania tumechafuka mno kufuatia sakata la madawa ya kulevya.
 
Sasa wewe hiyo bilioni unaiona soo wakati haijengi hata kilometa moja ya lami; vijumba viwili vitatu havifikii bilioni? mbona wengi tunaishi kwenye nyumba za zaidi ya bilioni tatu na tunatembelea vikorola tu?
 

ji*ga wewe..show aliyopiga big brother mwaka jana hakuwa yeye alipiga baba ako?na bado subilin tu
 
Mbona ni vidagaa na punda tu ndio Mwakie na waandishi huvitaja kwa majina,wakati ile mipapa baado inatamba tu,hata waziri wetu Lukuvi anaiogopa kuitaja,hii TZ ishakuwa Mexico au Columbia.Watoto wa vigogo na wazee wa Chama cha Magamba wanaojulikana kuwa ndio wauza sembe na watafuta punda hawaguswi japo wanafahamika sana kula kona,wana utajiri wa kutisha wakati hawafanyi biashara yoyote ya maana hadi kuhalalisha hizo dolari zao,hata hicho kipunda kinachoitwa Diamond kikiminywa hakiwezi eleza hizo pesa kimezipataje pamoja na kupiga show zake,kikifuatiliwa ni rahisi kukidaka kwani mapato ya hizo show zake zinajulikana,angekuwa Thabeet Hashimu kweli tungesema huo mpunga wake ni halali kutokana kipato halali cha kazi yake,ninawasiwasi uhusiano wa huyo Diamond na Wema ulikuwa kibiashara zaidi hasa biashara ya sembe,pia marehemu the great K nae ni kama alikuwa mtu wa sembe.
 
Wamiliki wa Clouds Media pia wachunguzwe kwa kina. Kina Ruge na Jo Kusaga mwanzoni mwa bongo fleva walitumia sana vijana wao wengine ambao kwa sasa hawatambi tena baada ya kutemwa na Clouds Media. Kumbukeni, kipindi kama miaka kumi hivi iliyopita, atazuka mganga njaa na singo moja ya kumung'unya pipi Clouds wanampa air time na kumpamba kwa wimbo wake wa kijinga usio na maadili kwenye jamii yetu. Baada ya hapo wanampangia trip South na kupokelewa na wale jamaa waliosafirisha mwili wa Ngwair. Dogo akirudi South ana milioni zake kadhaa na muziki anaachishwa na kutafutwa dogo mwingine kuwa punda. Ngwair mwenyewe kabla hajafa alishayazungumza haya kwa huzuni kwamba Clouds media wana mchezo mchafu. Kwa kweli Clouds media wasiachiwe hata kidogo.
 
Tuhuma zifanyiwe kazi. Tusonge mbele kutimiza wajibu wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…