Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
Hata JWTZ uhakiki umefanyika, ila ulifanyika privatelly.
Hawa ndugu zetu polisi vyeti vyao (copy) zilichukuliwa Kwa ajili ya uhakiki. Hivyo sio kwamba hawakuhakikiwa, Ila tu kwenye list ya fake hawakuwekwa. Jeshi la ulinzi ndio hawakuhakikiwa, hivyo sishangai orodha ya fake polisi ikitolewa, jeshi la ulinzi ndio tusahau