Wngn hatufatilii hayo hvy tunategemea mada iwe imejaa taarifa yote hiyo ila ndo hvy watoa mada hawasemi hayoAlivyofika mbeya airport kabla ya onyesho alisema watu wameinvest hela nyingi sana, mheshimiwa Tulia amepambana sana festival iende mbeya, alisema Zuchu akihojiwa na mwandishi habari...kwa matamshi hayo hiyo festival ilikuwa na chembechembe za kisiasa
Shadrack!Hapo Mbeya kuna yule kijana mchoraji katekwa hadi leo hajulikani alipo halafu wewe bila aibu unawahubiria Mitano tena.
Alivyofika mbeya airport kabla ya onyesho alisema watu wameinvest hela nyingi sana, mheshimiwa Tulia amepambana sana festival iende mbeya, alisema Zuchu akihojiwa na mwandishi habari...kwa matamshi hayo hiyo festival ilikuwa na chembechembe za kisiasa ..Post no #51Sijaona/sikia alimpomtaja mama?!
Hongera kwa kuwapenda wanaume wenzio woteKwanini wanawake hampendani
Watu wa Mbeya wametuheshimisha sana WatanganyikaInawezekana hicho kipengele hakijarekodiwa ila waliokuwepo eneo la tukio wanashuhudia kuwa hiyo kurusha chupa na matakataka ilianza baada ya kusema mitano tena kwa maza
sinza pazuri yakweli haya?Bwanake mwenyewe ndiye huyo ameshavunjiwa yai na Pdidy
Nilitaka kusema haya haya mkuu. Hili nikama litawakumbusha chakufanya watu wa maeneo mengine. Wabadilike haraka iwezekanavyoHuu ni mwanzo wa mwisho wa Zuchu.
Watanzania tuna itikadi ya kuiga. Chances ni kubwa kwingine kokote akienda wataiga kumpopoa.
Ajishushe kidogo na kuacha kuhisi amemaliza kila kitu. Akumbuke umaaruffu wake unategemea zaidi bwana ake kuliko yeye mwenyewe.
Alivyokuwa anaongea utafikiri matamasha ndy jambo muhimu sana kwa watz/mbeyaShadrack!
Alivyofika mbeya airport kabla ya onyesho alisema watu wameinvest hela nyingi sana, mheshimiwa Tulia amepambana sana festival iende mbeya, alisema Zuchu akihojiwa na mwandishi habari...kwa matamshi hayo hiyo festival ilikuwa na chembechembe za kisiasa ..Post no #51
Kilicho wakera hasa ni hii ishara ya dole la lati
🤣🤣🤣🙌Jmn kafanyajeKwahiyo hako kamti mkavu kalitaka kuwadindia wanaume wa huko jijini mbeya, alidhani ni wale kaka zake wala urojo!!! Na mchupi wake
Hapana jmn inategemeaMfano mzuri hata humu jf member wa kwanza akianza kuuponda uzi wote wanaofata wanaiga.
Diamond mwenyewe anakiri kuwa kuna mambo walifanya ambayo hata hayafai kupost hayo ni mambo gani kama siyo kulawitiana?
unamatusi wewe..🤣Kwahiyo hako kamti mkavu kalitaka kuwadindia wanaume wa huko jijini mbeya, alidhani ni wale kaka zake wala urojo!!! Na mchupi wake