Sakata la Wasafi Festival Mbeya, ishu sio sakata la PDiddy ni CCM. Wana nafasi bado ya kujirekebisha

Sakata la Wasafi Festival Mbeya, ishu sio sakata la PDiddy ni CCM. Wana nafasi bado ya kujirekebisha

Alivyofika mbeya airport kabla ya onyesho alisema watu wameinvest hela nyingi sana, mheshimiwa Tulia amepambana sana festival iende mbeya, alisema Zuchu akihojiwa na mwandishi habari...kwa matamshi hayo hiyo festival ilikuwa na chembechembe za kisiasa
Wngn hatufatilii hayo hvy tunategemea mada iwe imejaa taarifa yote hiyo ila ndo hvy watoa mada hawasemi hayo
 
Hapo Mbeya kuna yule kijana mchoraji katekwa hadi leo hajulikani alipo halafu wewe bila aibu unawahubiria Mitano tena.
Shadrack!
Sijaona/sikia alimpomtaja mama?!
Alivyofika mbeya airport kabla ya onyesho alisema watu wameinvest hela nyingi sana, mheshimiwa Tulia amepambana sana festival iende mbeya, alisema Zuchu akihojiwa na mwandishi habari...kwa matamshi hayo hiyo festival ilikuwa na chembechembe za kisiasa ..Post no #51
 

Bwanake mwenyewe ndiye huyo ameshavunjiwa yai na Pdidy
downloadfile.jpg
 
Huu ni mwanzo wa mwisho wa Zuchu.

Watanzania tuna itikadi ya kuiga. Chances ni kubwa kwingine kokote akienda wataiga kumpopoa.

Ajishushe kidogo na kuacha kuhisi amemaliza kila kitu. Akumbuke umaaruffu wake unategemea zaidi bwana ake kuliko yeye mwenyewe.
Nilitaka kusema haya haya mkuu. Hili nikama litawakumbusha chakufanya watu wa maeneo mengine. Wabadilike haraka iwezekanavyo
 
Shadrack!

Alivyofika mbeya airport kabla ya onyesho alisema watu wameinvest hela nyingi sana, mheshimiwa Tulia amepambana sana festival iende mbeya, alisema Zuchu akihojiwa na mwandishi habari...kwa matamshi hayo hiyo festival ilikuwa na chembechembe za kisiasa ..Post no #51
Alivyokuwa anaongea utafikiri matamasha ndy jambo muhimu sana kwa watz/mbeya
Yaani sawa na kusema ukikosa tamasha utakuwa umepungukiwq kitu fulani

Ova
 
Back
Top Bottom