Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Utapigwa mmanndee ya kifididiiNataka nikupe mimba ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapigwa mmanndee ya kifididiiNataka nikupe mimba ww
Mnataka mfanywe nini mpaka ithibitike? Maana mpaka umbwa tumeitwaDu
kweli wazanzibar wametudharau yani SA100 katunyoshe kidole cha kati na hadi zuchu naye anafanya hivyo hivyo .
Mnataka mfanywe nini mpaka ithibitike? Maana mpaka umbwa tumeitwaDu
kweli wazanzibar wametudharau yani SA100 katunyoshe kidole cha kati na hadi zuchu naye anafanya hivyo hivyo .
Anafikiri mbeya ni dar🤣🤣Baunsa anakatoa ukumbini ili kutuliza wanaume wenye hasira kali kwnyewe kanajifanya hakataki kanahoji kwanini wanarusha machupa,
View: https://x.com/lifeofmshaba/status/1840444113025400944?t=HQa05gIZAhN0Xht5BZzddQ&s=09
Tamasha la mziki la Wasafi Festival lililoandaliwa kwa gharama kubwa limeingia dosari mkoani Mbeya baada ya nsanii wake Zuchu kurushiwa chupa za maji stejini pale alipoanza tu kutumbuiza hali iliyomfanya asiendelee
Ni utamaduni wa kiafrika na mwafika kushirikiana kila jambo kwenye jamii
Kiafrika wanasema tulie wote tucheke wote.. Ukienda tofauti na hii kanuni.. Wanakubiri pa kukupata!
Taifa liko kwenye mtanziko mkubwa wa watu kudhulumiwa uhai wao
Watu kutekwa na kuteswa mateso mabaya kabisa
Watu kutekwa na kupotezwa
Ilitarajiwa hata litoke tamko la kinafiki kutoa pole na walau kulaani haya matukio lakini ndio kwanza wako wanasema mitano tena kwa mama!
Walipaswa kujua ya kwamba mashabiki wanaowategemea kuwachangia na kuhudhuria matamasha yao ni wa
Itikadi zote
Vyama vyote
Jinsia zote nknk
Na ndio hawa wanaotekwa kuteswa na kupotezwa kila siku.. Ndio hawa hawa ambao ndugu jamaa na Watanyika wenzao wamefanyiwa yote haya.. Unategemea nini kuwaendea watu kama hawa ambao tayari umeshaonesha upande wako?
Kamati ya Wasafi Festival ina nafasi bado ya kujirudi na kuweka mambo sawa.. Mashabiki ndio kila kitu.. Wakipuuzia hili mwaka huu tamasha linaweza kuvunja rekodi ya kufanya vibaya.. Jambo ambalo ni baya sana kwa brand kubwa kama Wasafi kibiashara na kijamii
Sakata la Diddy ni kichocheo tuu cha kulipua yaliyojaa vifuani mwa watu
Hii kama jamaa anaugulia hivi?
Inasikitisha sana mkuuUtapigwa mmanndee ya kifididii
Mambo ni mengi mkuu!!Hii kama jamaa anaugulia hivi?
Wanajisahau Kuwa hata wanasiaaa wanawatumia ambao wako kwenye peak ya mafanikio mfano kina Marlow au afande sele hawezi kutumiwa kisiasa Kwa sasa..na umaarufu una mwisho wake mbaya sana watachanganyikiwa siku kitapokukuja kizazi Cha 2035 wao watakuwa wamesahaulikaHakuwa na sababu wala haja kujibizana na uwanja mzima...
Ameonyesha weakness kubwa kushindwa ku control temper..
Waache kutumika kisiasa, hapo ni kuua career yako...
Kanawafokea eti kanajihisi ni kabinti ka raisi hapoHuu ni mwanzo wa mwisho wa Zuchu.
Watanzania tuna itikadi ya kuiga. Chances ni kubwa kwingine kokote akienda wataiga kumpopoa.
Ajishushe kidogo na kuacha kuhisi amemaliza kila kitu. Akumbuke umaarufu wake unategemea zaidi bwana ake kuliko yeye mwenyewe.
Kanajikuta kabinti ka raisi kanaweza amuru watekwe woteEti kanauliza kimamlaka kabisa kwanini mnanipoa kwaniniii 🤣🤣🤣 nako kanajiona kamo kwenye mfumo wa ccm
Ungejua Muha muuza vyombo ndo mwanaume wa kwanza kumtoa Bk ya mpalange Bibi yako mzaa mama usingesema haya.sijakuzuia kuwapenda wanaume wenzio hasira za nini sasa we muha
Saiz bushoke hana hadhi ya kuitwa kufanya kampeni..wanatumika tu hawa muda utaongeaBushoke kipindi wamoto sana kwenye tamasha la fiesta akaletaga uccm wa kumsifia jk stejini wakulungwa wakampoapoa na ndio ukawa mwisho wake ,
Moral of the story fanya ufanyavyo usikubali kupopolewa na wakulungwa stejin kwa sababu ya wanasiasa maama baada ya hapo hutoboi
omba kwa `Mungu na wewe ufikie hiyo 40+Ajuza, ngoma mileage inasoma 40+ halafu anajikuta product ya 2000. Kabakisha miaka michache kugota menopause.
Kumbe na huko walishakufukua hao uwapendao!! Basi we ni hasara tupuUngejua Muha muuza vyombo ndo mwanaume wa kwanza kumtoa Bk ya mpalange Bibi yako mzaa mama usingesema haya.
Ni swali la kufikirisha sanaImagine mitano mingine ya Samia CCM watakuwa na hali gani.
Achana na mimi we Stink holeKumbe na huko walishakufukua hao uwapendao!! Basi we ni hasara tupu
We utakuwa na upwiru wa hilo tobo, nani kamuanza mwenzie kati yangu na wewe,Achana na mimi we Stink hole
Uwe na siku njema.We utakuwa na upwiru wa hilo tobo, nani kamuanza mwenzie kati yangu na wewe,
Kwanza hakikisha kichwa kina akili nzuriKwenye hizo kelele zao sijasikia neno lolote linalohusu mambo ya siasa wala bango la kisiasa kuhusu yanayoendelea kwenye siasa, sasa iweje mhusishe na mambo ya kisiasa?
Siikubali ccm ila chadema em tumieni akili aisee ipo siku mtashindwa kubeba mimba za mume zenu na kuilalamikia ccm