witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Haaahaaa[emoji1787][emoji1787]angekoma!Alihojiwa
akasema ilifika hali akawa hata mafuta ya kupaka hana Jumbe anamwambia aombe kwa wifi ajipake, akachanganaya akili akaona karibu atapewa karai achome vitumbua kibarazani.
Kumbe pia duka sio lake pale mwamanyamala?
Sent using Jamii Forums mobile app