Sakata la Zumaridi na namna alivyokamatwa na polisi ni kichefuchefu, sheria haikuzingatiwa

Sakata la Zumaridi na namna alivyokamatwa na polisi ni kichefuchefu, sheria haikuzingatiwa

Kabisa! Akiguswa wanaempenda kwa kuvunja wanalia, lakini kwa mbinu ileile akiguswa wasiye mpenda wanashangilia!

Wanasahau kuwa KUNA MSEMO USEMA WAKIZOEA KUNYONGA , KUCHINJA KWA KISU WANAONA TABU!
Watanyonga kila anaekatiza
We waache waendelee kufurahia huu ujinga,kibao siku kikimgeukia mtu ndio wataelewa.,Halafu kama umenoti humu JF,kama Uzi umeanzishwa wachangiaji wa kwanza wakadiss hiyo habari basi kuna wachangiaji huwa kazi Yao ni kufuata upepo tu unavyokwenda... Huyo Zumaridi hajatendewa Haki huo ndio ukweli,wangefuata tu sheria vizuri wamkamate kwa makosa yanayoeleweka sidhani kama kungekuwa na mjadala hapa
 
Hakuna sehemu hakuna maovu......ila sehemu nyingi ni taasisi,siyo mtu anaabudiwa kama Mungu na mambo mengi ya ajabu kinyume hata na sheria za nchi......
Sheria ya nchi inakataza wapi kumuabudu mtu?
 
We waache waendelee kufurahia huu ujinga,kibao siku kikimgeukia mtu ndio wataelewa.,Halafu kama umenoti humu JF,kama Uzi umeanzishwa wachangiaji wa kwanza wakadiss hiyo habari basi kuna wachangiaji huwa kazi Yao ni kufuata upepo tu unavyokwenda... Huyo Zumaridi hajatendewa Haki huo ndio ukweli,wangefuata tu sheria vizuri wamkamate kwa makosa yanayoeleweka sidhani kama kungekuwa na mjadala hapa
Kabisa, cha ajabu mtu anatangwa IMAGE INACHAFULIWA halafu baadaei anaachiwa kwa kukosa ushahidi! Brand za watu zilindwe, kama kuna makosa, sheria zifuatwe huo ndiyo ubinadam!
SIUNGI MKONO UCHAFU WOWOTE! LAKINI IPO HAKI YA MTUHUMIWA!
 
Report ya polisi haijasema hayo! Imesema amekamatwa kwa kusafilisha binadamu? Jiulize hao binadamu Zumalidi kakutwa nao anawapeleka wapi kwenye wapi kwa maslahi gani hadi iwe jinai?

Watu wanaweza kukusanyika kwa mtu kufurahi ,kusali au kufanya msiba, je ni kosa watu kukusanyika kwa mpendwa wao?
Kuna utaratibu wa watu kukusanyika watu pamoja,

Hata wewe Ukileta mgeni nyumbani kwako, kisheria Unapaswa kutoa taarifa uongozi wa serikali za mtaa.

Pia hata ukiwa na kipaimara kwako au miss au msiba kwako, unapaswa kutoa taarifa uongozi wa serikali za mtaa.

Mtoa mada sijaona mantiki ya unacholalamikia
 
Unafahamu Tanzania ni taifa lisilo la kidini na unaweza kumuabudu mtu au hata ng'ombe ukitaka?
Hakuna sehemu hakuna maovu......ila sehemu nyingi ni taasisi,siyo mtu anaabudiwa kama Mungu na mambo mengi ya ajabu kinyume hata na sheria za nchi......
 
Ibada popote as long as huvunji sheria
Kutokutoa taarifa kwenye uongozi wa serikali kua unakusanya watu kwa ajili ya ibada ya pamoja Hilo nalo Ni kosa kisheria.

Who knows Kama ulkua unapanga mipango ya ugaidi?
Who knows Kama ulkua unapanga mipango ya kijambazi?

Lazima taratibu zifuatwe
 
Kuna watu nilitoka kuwaambia kwenye thread ya kumnyea Zumridi kuwa hana kosa na mnafanya makosa.wakaniambia mm ni member wa mfalme na nimeacha kubishana nao baada ya kujua wanatetea madhehebu yao.

Hata yesu aliteswa na kusurubiwa kwa amri ya viongozi wa dini hata hakimu hakuona kosa (kwa kuwa imani ya mtu haiingiliwi na mamlaka za serikali) ila viongozi wa dini na wafuasi wao wakalazimisha. Kilichomkuta Yesu ndicho kinachomkuta huyu dada japo yesu alikutwa kwa mapana zaidi.
Acha kumfananisha YESU na Vitu vya kipumbavu[emoji3525]
 
Kuna utaratibu wa watu kukusanyika watu pamoja,

Hata wewe Ukileta mgeni nyumbani kwako, kisheria Unapaswa kutoa taarifa uongozi wa serikali za mtaa.

Pia hata ukiwa na kipaimara kwako au miss au msiba kwako, unapaswa kutoa taarifa uongozi wa serikali za mtaa.

Mtoa mada sijaona mantiki ya unacholalamikia
Sheria gani inasema ukileta mgeni kwako, ukiwa na kipaimara au msiba unatakiwa kuripoti serikali ya mtaa?

Tuwekee hiyo sheria na hukumu yake kwa wasioifuata.
 
Ukristo ni dini ya amani na upendo..mana Mungu ni upendo..achana na wale wazee wa kuvaa suicide vest..Mungu anajipigania hapiganiwi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Amani ipi? Wakati wanaendeleza machafuko huko. Vita ya kwanza ya dunia ni wao, vita ya pili ni wao. Kila machafuko lazima wahusike.
 
Kuna utaratibu wa watu kukusanyika watu pamoja,

Hata wewe Ukileta mgeni nyumbani kwako, kisheria Unapaswa kutoa taarifa uongozi wa serikali za mtaa.

Pia hata ukiwa na kipaimara kwako au miss au msiba kwako, unapaswa kutoa taarifa uongozi wa serikali za mtaa.

Mtoa mada sijaona mantiki ya unacholalamikia
Kwahiyo kutembelewa na wageni ni kosa LA jinai? polisi walishindwa kumwandikia barua ya wito polisi?
Ilikuwaje wakampekue pasipo shahidi ambaye ni mjumbe au mwenyekiti?

Kama ni hivyo kila MTU Tanzania anavunja sheria
 
Ila zumaridi ni very interesting case ya kuwaelewa wanadamu.kuhus uhalifu kwa Tanzania ni Ngumu kuelewa uelekeo wake.
 
Taarifa ya polisi kwa umma imesema Kanisa lake halijapewa Kibali na mamlaka za serikali?
Kutokutoa taarifa kwenye uongozi wa serikali kua unakusanya watu kwa ajili ya ibada ya pamoja Hilo nalo Ni kosa kisheria.

Who knows Kama ulkua unapanga mipango ya ugaidi?
Who knows Kama ulkua unapanga mipango ya kijambazi?

Lazima taratibu zifuatwe
 
Kutokutoa taarifa kwenye uongozi wa serikali kua unakusanya watu kwa ajili ya ibada ya pamoja Hilo nalo Ni kosa kisheria.

Who knows Kama ulkua unapanga mipango ya ugaidi?
Who knows Kama ulkua unapanga mipango ya kijambazi?

Lazima taratibu zifuatwe
Mkuu DP,Kama kuna taratibu za kufuata mbona ile siku ya kwanza police Hawa kufuata taratibu za kumkamata,walienda bila search warrant wakaingia kikomandoo.kwa nini rule ukuta wa mtu na geti lipo?,siku ya pili ndio wakaenda kiutaratibu Je hiyo imekaaje?
 
Kwahiyo kutembelewa na wageni ni kosa LA jinai? polisi walishindwa kumwandikia barua ya wito polisi?
Ilikuwaje wakampekue pasipo shahidi ambaye ni mjumbe au mwenyekiti?

Kama ni hivyo kila MTU Tanzania anavunja sheria
Tatizo lako huzijui sheria,
na siku zote kutokujua kwako sheria hakuwezi kua utetezi pale unapokutwa umevunja sheria.

Barua ya maelezo yapolisi iko wazi,
Walikuja Mara ya kwanza mkawafanyia fujo na kugoma kuwapa ushirikiano kwa kutii kumtoa mfalme wenu bila shuruti.

Mara ya pili waliporudi,
iliwabidi watumie nguvu wafanye walichofanya ambacho ndicho unacholalamikia Hapa.

Kwa mtizamo wangu,polisi walikua sahii.

Vinginevyo,
Uje na maelezo yanayojitosheleza kupingana na uhalali wa walichokifanya hao polisi.
 
Taarifa ya polisi kwa umma imesema Kanisa lake halijapewa Kibali na mamlaka za serikali?
Sasa Kama Hana kibali, Hilo nalo Ni kosa jingine.

Vinginevyo mtoa mada atuoneshe hicho kibali ili tujue polisi wanawasingizia[emoji848]
 
Umesoma makosa polisi wanayomtuhumu nayo?
Sasa Kama Hana kibali, Hilo nalo Ni kosa jingine.

Vinginevyo mtoa mada atuoneshe hicho kibali ili tujue polisi wanawasingizia[emoji848]
 
Back
Top Bottom