Sakata la Zumaridi na namna alivyokamatwa na polisi ni kichefuchefu, sheria haikuzingatiwa

Sakata la Zumaridi na namna alivyokamatwa na polisi ni kichefuchefu, sheria haikuzingatiwa

Uko sahihi,ile ndio number yake ya Ibadan.Hata hivyo anamtumia Mungu Jehovah. sikiliza mahubiri yake you tube sema tu kazidi manjonjo ndio kinachomcost
Lakini mbona anaenenda kimataifa .
1.Mavazi na dansi zake ni chukizo mbele za Mungu, kuna tofauti ya mavazi ya Mkristo na mpagani.
2.Anajiinua yeye zaidi kuliko Mungu Jehovah ana kaa mahali pa Mungu Jehovah kwa kujiita Mungu
 
Hata mimi sioni sababu.
Halafu Tanzania uwa inafurahisha. Akikamatwa mtu wanayempenda bila kufuata sheria, raia inalalamika, akikamatwa mtu wasiyempenda bila kufuata sheria, raia inasema hata kama ache akamatwe.
UMEMALIZA KILA KITU KOMENTI YAKO NI FUPI LAKINI NZITO
 
85% ya makanisa ya Kikristo ni mahekalu ya shetani waumini wengi awajui Siri bali viongozi wao. Hasa haya makanisa makubwa ni hatari sana.
Kwahiyo unashauri nini.?

#MaendeleoHayanaChama
 
Mhalifu hawi mhalifu hadi pale itakapothibitika!

Sakata la mfalme Zumaridi (Kiongozi wa kanisa la Zumaridi huko Mwanza) Linaacha midomo wazi kwa wapenda haki na utii wa sheria!

Sipo hapa kumtetea Mfalme Zumaridi, Bali nashangaa namna ya uharamu wa ukamtaji!

Taratibu za ukamataji kwa mujibu wa sheria ziko wazi kabisa lakini mamlaka zimekuwa zikionesha kufeli Mara kwa Mara kutekeleza sheria hiyo jambo ambalo limekuwa likitweza utu wa watu wasio na hatia.

MFANO! mambo kama haya yalitokea huko mtwara hadi kufedhehesha uongozi wa polisi ambayo yalianza hihivi kwa kufumbafumba mambo,

Mfano 2. Ni huko ARUSHA Kuna taarifa ya askali mzalendo kulalamika kutaka kuuwawa na polisi wenzake kwa mambo Yale Yale kama ya mtwara na serikali iko kimya.

SASA NI HILI SAKATA LA TATU LINALOTIA KICHEFCHEFU

Ni TUKIO LA zumalidi Siku ya kwanza inaripotiwa kwamba polisi waliruka ukuta/geti ili kuingia kwa Zumalidi! Kitendo hiki kilitakiwa kulaaniwa na kila mtu! (Waliruka kwa Zumalidi kesho wataruka kwako)

Kama kulikuwa na ulazima wa kufika pale kwanini hawakufuata utaratibu wa upekuzi unavyotaka? Kwanini hawa kumshirikisha mwenyekiti wa mtaa/mjumbe? Kwanini waliruka ukuta kama jambazi! (VIPI KAMA ZUMARIDI ANGEJIBU MASHAMBULIZI KWA KUFYATUA RISASI KWA POLISI ALIYEVAA KIRAIA ALIPORUKA UKUTA?) Ina maana wangejibu kwamba walikuwa kwenye mapambano na majambazi au?

Kwa utaratibu walio utumia polisi hauna tofauti na utarabu wa kijambazi! Na hili linachangia sana siku hizi RAIA kutokutofautisha kati ya jambazi na polisi.

Tukiachana na mbinu ya ukamataji!

Riport ya polisi ina ukakasi mkubwa juu ya mtuhumiwa Zumaridi!

Kosa walilo utaarifu Umma kwamba anasafilisha BINADAMU 149, kosa hilo Linatia aibu nyingine!

Hivi tangu lini watu wanaokusanyika kusali pamoja imekuwa kosa la jinai?

Mbona jumuiya na taasisi kibao tunawaona wanakusanyika na kukesha na haijawahi kutajwa kuwa ni kosa?

Zumalidi kasafirisha binadamu kutoka wapi kwenda wapi kwa lengo gani? Kuna jinai gani pale?

Hapo taifa juzi wakatoliki walikusanyika mbona haikutamkwa kuwa ni usafirishaji wa binadamu?

Kina mwingira na wachungaji kibao Tanzania kila kutwa wanakusanya watu na haisemwi ni usafirishaji,

INAKUWAJE JAMBO LILE LILE LIWE HALALI KWA MWAMPOSA LAKINI LIWE HARAMU KWA ZUMARIDI?

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Nawashauri TAKUKURU WAINGILIE KATI!
Haiwezekani sheria zipo wazi, kwanini zisingefuatwa kama kweli ZUMALIDI anamakosa makubwa hivyo!

Mimi kwa utashi wangu nahisi sakata la Zumaridi lina maslahi binafisi!

TUKIRUHUSU HAYA YA UKIUKWAJI WA SHERIA HAKUNA ATAKAYEBAKI SALAMA!

Itakuwa mtu akikosana na polisi wanakuja kuluka ukuta! Na majambazi nao watatumia mwanya huohuo kufanya uharifu!
Another Makerubi😁
 
Jumba lake pia nadhani ni la ibada maana niliona youtube siku wanalizindua sijui jumba la mfalme zumaridi pia watu wanakaa pale.
Nadhani huyu mama kakamatwa kwasababu kaanzisha dhehebu lake la kiafrika sisi tumezoea madhehebu yaliyoletwa na wengine.
Sioni tofauti ya Zumaridi na wale wengi tu wanaojiita manabii.
Kuna wivu tu unawasumbua viongozi wa madhehebu na dini nyingine kuona waumini wao wanafurika kwa mfalme zumaridi..hivyo wameamua kumchonge.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nakubaliana na wewe hapo kwenye kumkamata zumaridi hata Mimi niliona Sheria ilipindishwa Sana lakini hii huwa inatokea Mara nyingi hasa kwa jeshi la polisi hapa Tanzania askari anakuja tu anamkamata raia bila kufuata taratibu maalum.
Hapo kwenye mashtaka ya mtuhumiwa kuhusu kusafirisha watu nadhani wamemaanisha human trafficking? ambayo tafsiri yake kisheria inaweza kua Pana sana, wataalam washeria watatusaidia.
Kuhusu ibada ni kweli kuabudu sio kosa kisheria lakini umefuata taratibu? Kumbuka zumaridi alikua na kanisa na likafungiwa kwa sababu zilizowekwa wazi kisheria na zilizokua na mashiko kabisa na alitii amri, so kitendo Cha yeye kuanza kufanya ibada nyumbani kwake maana yake kahamishia kanisa pale ambapo kwanza sio eneo la kanisa ni eneo la makazi na pia bado vigezo vilivyofanya afungiwe Mara ya kwanza hajavitimiza lakini analazimisha kuendelea na kanisa lake.
Kama anataka kuabudu bila kusumbuliwa afuate Sheria asajili kanisa lake na afuate taratibu zote za kisheria hakuna atakayemsumbua hata wakitaka kulala humo kanisani hakuna atakayewafuatilia.
 
Lakini mbona anaenenda kimataifa .
1.Mavazi na dansi zake ni chukizo mbele za Mungu, kuna tofauti ya mavazi ya Mkristo na mpagani.
2.Anajiinua yeye zaidi kuliko Mungu Jehovah ana kaa mahali pa Mungu Jehovah kwa kujiita Mungu
Acha kukariri imani zinabadilika kulingana na wakati.

#MaendeleoHayanaChama
 
Bado mleta mada ana hoja ya msingi, kuna uvunjwaji mkubwa kwenye ukamataji watu, kwa nini polisi aliyevaa kiraia aruke ukuta kuingia kwako? Je mwenye nyumba akiamua kum shoot?? Kwa nini ukamataji usifanyike kwa kufuata sheria na taratibu? Pili kama huu mfumo wa aina hii ya ufunguaji mashtaka itaendelea basi hata wewe Kuna siku utabambikiwa kesi kwamba umeiba kifaru kama yule mwanakijiji kule ukraine [emoji12][emoji12]
Situation ambayo iko spiritul inapelekwa ki spiritual. Hakuna sheria kwenye mambo spiritual. Sheria zimewekwa na wanadamu tu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Wewe mleta mada ni mmoja wa misukule!?
Amevunja sheria lukuki ikiwemo kuzuia polisi kufanya kazi . Afungwe haraka.
 
Mhalifu hawi mhalifu hadi pale itakapothibitika!

Sakata la mfalme Zumaridi (Kiongozi wa kanisa la Zumaridi huko Mwanza) Linaacha midomo wazi kwa wapenda haki na utii wa sheria!

Sipo hapa kumtetea Mfalme Zumaridi, Bali nashangaa namna ya uharamu wa ukamtaji!

Taratibu za ukamataji kwa mujibu wa sheria ziko wazi kabisa lakini mamlaka zimekuwa zikionesha kufeli Mara kwa Mara kutekeleza sheria hiyo jambo ambalo limekuwa likitweza utu wa watu wasio na hatia.

MFANO! mambo kama haya yalitokea huko mtwara hadi kufedhehesha uongozi wa polisi ambayo yalianza hihivi kwa kufumbafumba mambo,

Mfano 2. Ni huko ARUSHA Kuna taarifa ya askali mzalendo kulalamika kutaka kuuwawa na polisi wenzake kwa mambo Yale Yale kama ya mtwara na serikali iko kimya.

SASA NI HILI SAKATA LA TATU LINALOTIA KICHEFCHEFU

Ni TUKIO LA zumalidi Siku ya kwanza inaripotiwa kwamba polisi waliruka ukuta/geti ili kuingia kwa Zumalidi! Kitendo hiki kilitakiwa kulaaniwa na kila mtu! (Waliruka kwa Zumalidi kesho wataruka kwako)

Kama kulikuwa na ulazima wa kufika pale kwanini hawakufuata utaratibu wa upekuzi unavyotaka? Kwanini hawa kumshirikisha mwenyekiti wa mtaa/mjumbe? Kwanini waliruka ukuta kama jambazi! (VIPI KAMA ZUMARIDI ANGEJIBU MASHAMBULIZI KWA KUFYATUA RISASI KWA POLISI ALIYEVAA KIRAIA ALIPORUKA UKUTA?) Ina maana wangejibu kwamba walikuwa kwenye mapambano na majambazi au?

Kwa utaratibu walio utumia polisi hauna tofauti na utarabu wa kijambazi! Na hili linachangia sana siku hizi RAIA kutokutofautisha kati ya jambazi na polisi.

Tukiachana na mbinu ya ukamataji!

Riport ya polisi ina ukakasi mkubwa juu ya mtuhumiwa Zumaridi!

Kosa walilo utaarifu Umma kwamba anasafilisha BINADAMU 149, kosa hilo Linatia aibu nyingine!

Hivi tangu lini watu wanaokusanyika kusali pamoja imekuwa kosa la jinai?

Mbona jumuiya na taasisi kibao tunawaona wanakusanyika na kukesha na haijawahi kutajwa kuwa ni kosa?

Zumalidi kasafirisha binadamu kutoka wapi kwenda wapi kwa lengo gani? Kuna jinai gani pale?

Hapo taifa juzi wakatoliki walikusanyika mbona haikutamkwa kuwa ni usafirishaji wa binadamu?

Kina mwingira na wachungaji kibao Tanzania kila kutwa wanakusanya watu na haisemwi ni usafirishaji,

INAKUWAJE JAMBO LILE LILE LIWE HALALI KWA MWAMPOSA LAKINI LIWE HARAMU KWA ZUMARIDI?

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Nawashauri TAKUKURU WAINGILIE KATI!
Haiwezekani sheria zipo wazi, kwanini zisingefuatwa kama kweli ZUMALIDI anamakosa makubwa hivyo!

Mimi kwa utashi wangu nahisi sakata la Zumaridi lina maslahi binafisi!

TUKIRUHUSU HAYA YA UKIUKWAJI WA SHERIA HAKUNA ATAKAYEBAKI SALAMA!

Itakuwa mtu akikosana na polisi wanakuja kuluka ukuta! Na majambazi nao watatumia mwanya huohuo kufanya uharifu!
Nakaa eneo ambalo kanisa lake lilikuwepo na likafungwa. Kwa ujumla sikubaliani na huyu mama,Ila treatment ya polisi kwa raia,sio tu Lady Zuma,na wengine wengi hairidhishi.Wanatumia nguvu kupita kiasi.
 
Inakuaje watu wanamsuhudu mwanmke na kuwafanya watot wa watu mazombi hpn aise siyo sawa sijapenda lile igizo walilofanya wale waumini
 
Mhalifu hawi mhalifu hadi pale itakapothibitika!

Sakata la mfalme Zumaridi (Kiongozi wa kanisa la Zumaridi huko Mwanza) Linaacha midomo wazi kwa wapenda haki na utii wa sheria!

Sipo hapa kumtetea Mfalme Zumaridi, Bali nashangaa namna ya uharamu wa ukamtaji!

Taratibu za ukamataji kwa mujibu wa sheria ziko wazi kabisa lakini mamlaka zimekuwa zikionesha kufeli Mara kwa Mara kutekeleza sheria hiyo jambo ambalo limekuwa likitweza utu wa watu wasio na hatia.

MFANO! mambo kama haya yalitokea huko mtwara hadi kufedhehesha uongozi wa polisi ambayo yalianza hihivi kwa kufumbafumba mambo,

Mfano 2. Ni huko ARUSHA Kuna taarifa ya askali mzalendo kulalamika kutaka kuuwawa na polisi wenzake kwa mambo Yale Yale kama ya mtwara na serikali iko kimya.

SASA NI HILI SAKATA LA TATU LINALOTIA KICHEFCHEFU

Ni TUKIO LA zumalidi Siku ya kwanza inaripotiwa kwamba polisi waliruka ukuta/geti ili kuingia kwa Zumalidi! Kitendo hiki kilitakiwa kulaaniwa na kila mtu! (Waliruka kwa Zumalidi kesho wataruka kwako)

Kama kulikuwa na ulazima wa kufika pale kwanini hawakufuata utaratibu wa upekuzi unavyotaka? Kwanini hawa kumshirikisha mwenyekiti wa mtaa/mjumbe? Kwanini waliruka ukuta kama jambazi! (VIPI KAMA ZUMARIDI ANGEJIBU MASHAMBULIZI KWA KUFYATUA RISASI KWA POLISI ALIYEVAA KIRAIA ALIPORUKA UKUTA?) Ina maana wangejibu kwamba walikuwa kwenye mapambano na majambazi au?

Kwa utaratibu walio utumia polisi hauna tofauti na utarabu wa kijambazi! Na hili linachangia sana siku hizi RAIA kutokutofautisha kati ya jambazi na polisi.

Tukiachana na mbinu ya ukamataji!

Riport ya polisi ina ukakasi mkubwa juu ya mtuhumiwa Zumaridi!

Kosa walilo utaarifu Umma kwamba anasafilisha BINADAMU 149, kosa hilo Linatia aibu nyingine!

Hivi tangu lini watu wanaokusanyika kusali pamoja imekuwa kosa la jinai?

Mbona jumuiya na taasisi kibao tunawaona wanakusanyika na kukesha na haijawahi kutajwa kuwa ni kosa?

Zumalidi kasafirisha binadamu kutoka wapi kwenda wapi kwa lengo gani? Kuna jinai gani pale?

Hapo taifa juzi wakatoliki walikusanyika mbona haikutamkwa kuwa ni usafirishaji wa binadamu?

Kina mwingira na wachungaji kibao Tanzania kila kutwa wanakusanya watu na haisemwi ni usafirishaji,

INAKUWAJE JAMBO LILE LILE LIWE HALALI KWA MWAMPOSA LAKINI LIWE HARAMU KWA ZUMARIDI?

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Nawashauri TAKUKURU WAINGILIE KATI!
Haiwezekani sheria zipo wazi, kwanini zisingefuatwa kama kweli ZUMALIDI anamakosa makubwa hivyo!

Mimi kwa utashi wangu nahisi sakata la Zumaridi lina maslahi binafisi!

TUKIRUHUSU HAYA YA UKIUKWAJI WA SHERIA HAKUNA ATAKAYEBAKI SALAMA!

Itakuwa mtu akikosana na polisi wanakuja kuluka ukuta! Na majambazi nao watatumia mwanya huohuo kufanya uharifu!
Nikusahihishe, huko juu umesema serikali ipo kimya sakata la mtwara na arusha, sio kweli serikali imezungumzia hayo na kamati maalum ilishaundwa na taarifa yake ilikuwa inamsubiri Rais arudi toka ziara ni akabidhiwe ripoti hizo.

Suala la Zumaridi linahusiana zaidi na mamlaka za mkoani Mwanza, hivyo sidhani kama serikali kuu ni ya kulala ikiwa sana hapo
 
Jamaniii kwahiyo makerubii kwann wasingewapiga upofu hao polisi wakaona pale ni ziwa Nyasa kisha wakazunguka zunguka na kuondoka zao
 
Pale walipokutwa watu sio kanisa, ile ni nyumba ya makazi. watu 149 kwenye nyumba ya mtu binafsi walikua wanafanya nini kama huduma zake za kikanisa zimefungiwa? Na kwanini polisi walivyofika nyumbani kwake walitoka hao misukule yake kuwazonga hadi kumdondosha mmoja wa polisi. Hata ingekua mimi unanifanyia ule ujinga niko mwenyewe nikienda kubeba kikosi changu itakua mbwai tu.
 
Mhalifu hawi mhalifu hadi pale itakapothibitika!

Sakata la mfalme Zumaridi (Kiongozi wa kanisa la Zumaridi huko Mwanza) Linaacha midomo wazi kwa wapenda haki na utii wa sheria!

Sipo hapa kumtetea Mfalme Zumaridi, Bali nashangaa namna ya uharamu wa ukamtaji!

Taratibu za ukamataji kwa mujibu wa sheria ziko wazi kabisa lakini mamlaka zimekuwa zikionesha kufeli Mara kwa Mara kutekeleza sheria hiyo jambo ambalo limekuwa likitweza utu wa watu wasio na hatia.

MFANO! mambo kama haya yalitokea huko mtwara hadi kufedhehesha uongozi wa polisi ambayo yalianza hihivi kwa kufumbafumba mambo,

Mfano 2. Ni huko ARUSHA Kuna taarifa ya askali mzalendo kulalamika kutaka kuuwawa na polisi wenzake kwa mambo Yale Yale kama ya mtwara na serikali iko kimya.

SASA NI HILI SAKATA LA TATU LINALOTIA KICHEFCHEFU

Ni TUKIO LA zumalidi Siku ya kwanza inaripotiwa kwamba polisi waliruka ukuta/geti ili kuingia kwa Zumalidi! Kitendo hiki kilitakiwa kulaaniwa na kila mtu! (Waliruka kwa Zumalidi kesho wataruka kwako)

Kama kulikuwa na ulazima wa kufika pale kwanini hawakufuata utaratibu wa upekuzi unavyotaka? Kwanini hawa kumshirikisha mwenyekiti wa mtaa/mjumbe? Kwanini waliruka ukuta kama jambazi! (VIPI KAMA ZUMARIDI ANGEJIBU MASHAMBULIZI KWA KUFYATUA RISASI KWA POLISI ALIYEVAA KIRAIA ALIPORUKA UKUTA?) Ina maana wangejibu kwamba walikuwa kwenye mapambano na majambazi au?

Kwa utaratibu walio utumia polisi hauna tofauti na utarabu wa kijambazi! Na hili linachangia sana siku hizi RAIA kutokutofautisha kati ya jambazi na polisi.

Tukiachana na mbinu ya ukamataji!

Riport ya polisi ina ukakasi mkubwa juu ya mtuhumiwa Zumaridi!

Kosa walilo utaarifu Umma kwamba anasafilisha BINADAMU 149, kosa hilo Linatia aibu nyingine!

Hivi tangu lini watu wanaokusanyika kusali pamoja imekuwa kosa la jinai?

Mbona jumuiya na taasisi kibao tunawaona wanakusanyika na kukesha na haijawahi kutajwa kuwa ni kosa?

Zumalidi kasafirisha binadamu kutoka wapi kwenda wapi kwa lengo gani? Kuna jinai gani pale?

Hapo taifa juzi wakatoliki walikusanyika mbona haikutamkwa kuwa ni usafirishaji wa binadamu?

Kina mwingira na wachungaji kibao Tanzania kila kutwa wanakusanya watu na haisemwi ni usafirishaji,

INAKUWAJE JAMBO LILE LILE LIWE HALALI KWA MWAMPOSA LAKINI LIWE HARAMU KWA ZUMARIDI?

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Nawashauri TAKUKURU WAINGILIE KATI!
Haiwezekani sheria zipo wazi, kwanini zisingefuatwa kama kweli ZUMALIDI anamakosa makubwa hivyo!

Mimi kwa utashi wangu nahisi sakata la Zumaridi lina maslahi binafisi!

TUKIRUHUSU HAYA YA UKIUKWAJI WA SHERIA HAKUNA ATAKAYEBAKI SALAMA!

Itakuwa mtu akikosana na polisi wanakuja kuluka ukuta! Na majambazi nao watatumia mwanya huohuo kufanya uharifu!
Kwa taarifa yako ni kwamba polisi huwa hawakamati waharifu huwa wanawakamata watuhumiwa wa uharifu,ambao bado uharifu wao haujathibitishwa kwa kuwa kazi ya kuthibitisha uharifu wa mtuhumiwa ni mahakama.

Kazi ya polisi ni kumkamata mtuhumiwa kulingana na tuhuma zilizopatikana kutoka kwa raia wema au kwa askari wenyewe,na kukusanya ushahidi utakao tumika kuthibitisha tuhuma za mtuhumiwa mahakamani kutoka vyanzo mbalimbali.

Katika suala la ukamataji, mtuhumiwa ndiye anayemshawishi askari polisi atumie nguvu ya namna gani katika ukamataji wake, ndio maana kuna usemi unaosema tii sheria bila shuruti, ukionyesha utii kwa askari aliyekuja kukukamata kutokana na tuhuma zako hakuna askari atakayetumia nguvu kukusurutisha kwa sababu tayari umeshafuta kipengera cha askari kukushurutisha kwa kuwa umechagua kutii pasipo kushurutishwa,mtuhumiwa ndiye anayechaguwa atendeweje na polisi.

Mtuhumiwa ndiye anayemjengea askari polisi mazingira ya kumkamata, ni nguvu ya kiasi gani itumike katika ukamataji mataji wake.

Mtuhumiwa akitaka akamatwe na askari polisi kama watu wanaokwenda pamoja kanisani kusali ni juu ya mtuhumiwa mwenyewe,jinsi atakavyoonyesha mwitikio wake wa kutii sheria pasipo shuruti kwa askari.

Matumizi ya nguvu/kuruka ukuta kwa askari polisi vinakuja pale ambapo mtuhumiwa anapokataa kuonyesha ushirikiano wa kutii sheria bila shuruti na njia zote hizi za mtuhumiwa kutii sheria,pasipokushurutishwa na kutii sheria kwa kushurutishwa zote ni njia za kisheria.

Ndio maana polisi kapewa rungu ili alitumie kwa mtuhumiwa ambaye amegoma kutii sheria bila kushurutishwa, kapewa silaha za moto, kapewa mabomu ya machozi, kapewa mabomu ya kubomoa kuta na kuvunja milango kwa lengo hilohilo la kutumia kumlazimisha mtuhumiwa atii sheria,na hakuna sheria inayomtaka askari polisi katika ukamataji wake akamchukue kiongozi wa mtaa au akamchukue jirani aje athibitishe ukamataji unavyofanyika.

Na hakuna hati ya kumpekulia mtuhumiwa anapokamatwa isipokuwa kuna hati ya kufanya upekuzi kwa ajili ya kutafuta mali zilizoibiwa au zimefichwa kwa nia ovu na hapo ndipo anapotakiwa kuhusika kiongozi yeyote wa mtaa au jirani kuja kuthibitisha upekuzi huo.
 
Pale walipokutwa watu sio kanisa, ile ni nyumba ya makazi. watu 149 kwenye nyumba ya mtu binafsi walikua wanafanya nini kama huduma zake za kikanisa zimefungiwa? Na kwanini polisi walivyofika nyumbani kwake walitoka hao misukule yake kuwazonga hadi kumdondosha mmoja wa polisi. Hata ingekua mimi unanifanyia ule ujinga niko mwenyewe nikienda kubeba kikosi changu itakua mbwai tu.
kwani inakatazwa mtu kutembelewa nyumbani kwake?
 
Wale walikuwa wanaishi pale, hawakuwa wanaabudu. Wakatoliki hukutana tu kwa sala na hutawanyika
Kwani neno la Mungu Jehova mnaemwamini halijasema''Tazama ilivyo vyema na kupendeza ndugu wakae pamoja kwa umoja''???sasa kama wale waliamua kukaa pamoja kwa umoja shida iko wapi?
 
Back
Top Bottom