West standard
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 441
- 649
Wale raia waliokua wanapiga sarakasi mle ndani wanawakilisha kundi gani katika aina za zombi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofauti ni nini?wote wamekusanyika kumuabudu Jehovah ambaye wote hatumjui wala hatujawahi muona.Kwani hao watu 149 walikuwa kwenye nyumba ya ibada? If not; hauwezi kuwalinganisha na Mwamposa au Wakatoliki wanaokuwa sehemu rasmi ya ibada.
Yeye zumaridi alikuambia hakuitwa?Kwahiyo sheria ndo inavyosema kwamba Ukigonga asipofungua Basi LUKA UKUTA!? Je polisi sana barua yoyote ya kumuita ZUMALIDI Na kukaidi?
Wale walikuwa wanaishi pale, hawakuwa wanaabudu. Wakatoliki hukutana tu kwa sala na hutawanyikaTofauti ni nini?wote wamekusanyika kumuabudu Jehovah ambaye wote hatumjui wala hatujawahi muona.
Sio kweli.. anawalisha vipi watu 149?Nyie is liangalieni vizuri hili Jeshi letu la polisi jamaniWale walikuwa wanaishi pale, hawakuwa wanaabudu. Wakatoliki hukutana tu kwa sala na hutawanyika
Elimu itolewe kwa Hao watoto wenu.. hajawateka,wapo pale kwa hiari yao,hajamfunga mtu kamba,kudhihirisha wana furaha na kiongozi wao ndio maana walianza kupambana na police... Tafadhali msikuze mamboSheria ipi?
Hawa wapuuzi wakamatwe maana wanawafanya watu kuwa wajinga wazembe na wapumbavu... She deserved hiyo treatment kuharibu watoto wa watu si sawa
Ahukumiwe iwe fundisho kwa matapeli wa mfano wake
Jumba lake pia nadhani ni la ibada maana niliona youtube siku wanalizindua sijui jumba la mfalme zumaridi pia watu wanakaa pale.Kwani hao watu 149 walikuwa kwenye nyumba ya ibada? If not; hauwezi kuwalinganisha na Mwamposa au Wakatoliki wanaokuwa sehemu rasmi ya ibada.
Huyu kakamatwa tu kisa wasiompenda wanasema anakufuru.Sio kweli.. anawalisha vipi watu 149?Nyie is liangalieni vizuri hili Jeshi letu la polisi jamani
Sio kweli,siku ya kwanza hawakugonga... waliruka kama makondoo.... usitetee vitu ambavyo vinaweza kukupata siku moja.. tukemee huu uonezi wa jeshi la polisi sio kutungatunga kesi zisizo na kichwa wala miguuHalafu siyo kila kitu lazima muingize siasa. Polisi waligonga, ila watuhumiwa wakagoma kufungua. Kwa mazingira kama hayo unataka waachwe? Hii chuki kwa Polisi itakuua usipokuwa makini.
Uko sahihi,ile ndio number yake ya Ibadan.Hata hivyo anamtumia Mungu Jehovah. sikiliza mahubiri yake you tube sema tu kazidi manjonjo ndio kinachomcostJumba lake pia nadhani ni la ibada maana niliona youtube siku wanalizindua sijui jumba la mfalme zumaridi pia watu wanakaa pale.
Nadhani huyu mama kakamatwa kwasababu kaanzisha dhehebu lake la kiafrika sisi tumezoea madhehebu yaliyoletwa na wengine.
Sioni tofauti ya Zumaridi na wale wengi tu wanaojiita manabii.
Binafsi sioni hata sababu za kum Kanata.Huyu kakamatwa tu kisa wasiompenda wanasema anakufuru.
Yeye kaanzisha dhehebu lake sasa wale walioozoea madhehbu ya kuletwa toka huko na meli ndio wanalalamika kila siku.
Iwapo Yesu akirudi kama Mwafrika, raia zitamkataa, labda aje akiwa mzungu
Sawa lakini ukifanya mazauzau yasiyo na ushirikiano na hiyo ibada yenyewe lazima ushughulikiwe kwa mujibu wa sheriaIbada popote as long as huvunji sheria
Hata mimi sioni sababu.Binafsi sioni hata sababu za kum Kanata.
Unaleta hisia kwenye already known facts!Sio kweli.. anawalisha vipi watu 149?Nyie is liangalieni vizuri hili Jeshi letu la polisi jamani
Wewe ndio unatetea vitu ambavyo hata hauvijui.Sio kweli,siku ya kwanza hawakugonga... waliruka kama makondoo.... usitetee vitu ambavyo vinaweza kukupata siku moja.. tukemee huu uonezi wa jeshi la polisi sio kutungatunga kesi zisizo na kichwa wala miguu
Sukule lingine hiliMleta mada Mimi nakuunga mkoano kwa asilimia Mia.. Hili suala la Zumaridi nilishasema tangu siku ya kwanza ni la kulikemea... Wale watu wamekusanyika kwa hiari Yao binafsi eti police anawakataza.... na huyo style Yao ya kuvamia ndio utopolo kabisa wa Hilo linanifanya jeshi la polisi ni ounevu tu.. wafuate sheria na haki