Sakata la Zumaridi na namna alivyokamatwa na polisi ni kichefuchefu, sheria haikuzingatiwa

Sakata la Zumaridi na namna alivyokamatwa na polisi ni kichefuchefu, sheria haikuzingatiwa

Kitendo walichofanya polisi ni kuingilia uhuru wa kuabudu. Mbona wakatoliki wanafanya jumuia majumbani? Leo watamsakama Zumaridi sababu ni mdogo. Kesho watakuja kwenye dini kubwa zaidi.
 
Una shida kubwa Sana unahitaji msaada. Wewe unaichukulia dini Kama biashara kisa watu wachache wanafanya Mambo kinyume na mapenzi ya Mungu. Dini ya Kikristo misingi yake Ni amri kumi na kufuata Maisha ya Yesu Kristo ya utakatifu na utaua. Wewe macho yako yapo kwenye sadaka badala ya kuokoa roho za watu wasiangamie.

Naomba uelewe kidogo. Mimi Sina conflict na Zumaridi , ila nachosema tofautisha cult na ukristo. Haiwezekani mtu haamini kwenye misingi ya ukristo halafu unamwita mchungaji. Anauchafua ukristo wakati yeye sio mkristo, halafu lawama linapelekewa kanisa. Mtu yeyote asiyeamini kwamba Muhamad alikuwa mtume wa Allah huyo sio muislamu au kuamini nguzo tano za uislamu.

Shida yangu ni kwamba Zumaridi anajiita Mungu na anadai ya kwamba Yesu kwa Sasa Hana nguvu, yeye ndio ametumwa kuja kuukomboa ulimwengu. Sasa mtu anamkana Yesu Kristo na kujiita Mungu Chini ya jua utasemaje ni mkristo na kuanza kushutumu makanisa kwa ajili yake. Yeye aanzishe dini yake na imani yake ajitoe kwenye ukristo Hilo ndio nalo take, sio unajificha kwenye ukristo wakati humuamini Yesu Kristo.
Kwani kuna mtu ana haki ya ukristo. Unafikiri serikali inatambua kama kuna dini ya kikristo?
 
Una shida kubwa Sana unahitaji msaada. Wewe unaichukulia dini Kama biashara kisa watu wachache wanafanya Mambo kinyume na mapenzi ya Mungu. Dini ya Kikristo misingi yake Ni amri kumi na kufuata Maisha ya Yesu Kristo ya utakatifu na utaua. Wewe macho yako yapo kwenye sadaka badala ya kuokoa roho za watu wasiangamie.

Naomba uelewe kidogo. Mimi Sina conflict na Zumaridi , ila nachosema tofautisha cult na ukristo. Haiwezekani mtu haamini kwenye misingi ya ukristo halafu unamwita mchungaji. Anauchafua ukristo wakati yeye sio mkristo, halafu lawama linapelekewa kanisa. Mtu yeyote asiyeamini kwamba Muhamad alikuwa mtume wa Allah huyo sio muislamu au kuamini nguzo tano za uislamu.

Shida yangu ni kwamba Zumaridi anajiita Mungu na anadai ya kwamba Yesu kwa Sasa Hana nguvu, yeye ndio ametumwa kuja kuukomboa ulimwengu. Sasa mtu anamkana Yesu Kristo na kujiita Mungu Chini ya jua utasemaje ni mkristo na kuanza kushutumu makanisa kwa ajili yake. Yeye aanzishe dini yake na imani yake ajitoe kwenye ukristo Hilo ndio nalo take, sio unajificha kwenye ukristo wakati humuamini Yesu Kristo.
Your just a rooster in a coop..siwezi jadiliana na wewe mana mawazo yako ni ya kihafidhina.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida yangu ni kwamba Zumaridi anajiita Mungu na anadai ya kwamba Yesu kwa Sasa Hana nguvu, yeye ndio ametumwa kuja kuukomboa ulimwengu. Sasa mtu anamkana Yesu Kristo na kujiita Mungu Chini ya jua utasemaje ni mkristo na kuanza kushutumu makanisa kwa ajili yake. Yeye aanzishe dini yake na imani yake ajitoe kwenye ukristo Hilo ndio nalo take, sio unajificha kwenye ukristo wakati humuamini Yesu Kristo.
Dah!....
 
Cult ni Imani ambayo ipo kinyume na dini husika. Kwa mfano wewe Ni muislamu Halafu ukaanzisha imani ya kutokutambua Mfungo wa Ramadhan kuhiji na Utume wa Muhhamad. Wewe ukadai ndio mtume wa Allah, tunasema huo sio uislamu ni cult. Zumaridi ana sifa zote za Cult, maana anajiita mungu Chini ya jua, wakati Mungu aliye hai kupitia Biblia anakataza mtu kuchukua utukufu wake hata tone.

Kiukweli mwisho wa cult zote huwa Ni mbaya Sana watu wengi hufa au kupoteza mwelekeo wa Maisha. Mfano mzuri ni Jim Jones wa Marekani aliyeua wafuasi wake 900 kwa sumu aliwadanganya Ni meza ya Bwana huko Guyana porini walipoenda kujificha. Au David Koreish aliyepambana pamoja na wafuasi wake dhidi ya FBI kwa siku 51 na baadae kuamua kujilipua wote wakafa. Msome mtu anaitwa Apple white alichokifanya mwishoni kwenye cult yake na kibwetere.
Pia reptile ugeuka sura pindi ile nguvu iliyo ndani mwake inapomuingia kumpa confidence.Waubudu shetani wote wanasifa ya kubadalika sura.
 
Mavazi yake tu ni chukizo mbele za Mungu imeelezwa wazi nguo atakiwazo kuvaa Mkristo, sema mawakala wengi wamepotosha kuhusu mavazi Ili kuvutia wengi upotevuni.
Sema tu sababu ya kimaadili lakini wanafahamika kabisa wachungaji wa kimapepo
 
85% ya makanisa ya Kikristo ni mahekalu ya shetani waumini wengi awajui Siri bali viongozi wao. Hasa haya makanisa makubwa ni hatari sana.
 
Makanisa yote mabodigadi madhabauni, vitambaa, mmiliki wake kuvaa rangi nyeupe,blue, nyekundu KILA siku unakuta rangi ni hizo hizo, waweka mikono mfukoni, wapo bize kuhubiri mafanikio zaidi kuliko utakatifu watu kuacha dhambi, mafuta, maji ya upako, watenda miujiza,kina Mungu wa au madhabau ya fulani,wote hao utumia nguvu za kuzimu, feel free church kina Mungu anaangalia roho na siyo mavazi, wote hawa ni mawakala. Si KILA kanisa ni la kuingia maana ukishaingia kwenye makanisa ambayo madhabauni zake kumefukiwa mafuvu ya vichwa vya watu huwezi toka kirahisi upo radhi uue mtu kwa ajili ya mchungaji wako
 
Mkristo atakiwi kuvaa mavazi ya kushawishi tamaa ya ngono, mavazi ya kuchochea uzinzi.
 
Wakusanyikapo wawili watatu Mungu yuko mahala pale ! Serikali haina dini!
Wao waangalie kama kuna jinai na wafuate sheria siyo kuruka ukuta!
Inawezekana polisi njia ya ukamataji haikuwa sahihi, lakini twende mbele huyu mama kuna sehemu kuna tatizo, kwa hii sio mala ya kwanza, kuna kipindi aliingia kwenye mzozo na serikali hadi akasitishiwa kutoa huduma, kutokana na mahubili yake, na jinsi an
Nyie chekeni tu lakini akija kamatwa kiongozi wa kisiasa kwa style ileile mtakuja kunielewa!

Hatukatai makosa! Lakini sheria zinafuatwa? Makosa wanayotuhumiwa na makosa ya Jinai kweli au ya kupikwa?

AIBU TUNAIPATA MAHAKAMANI
Hivi kweli kuzuia watoto wa shule kusoma, kwa kuwafungia humo ndani kwako, na polisi wanapokuja kufanya kazi yao, mnawashambulia hadi wanaenda kuongeza nguvu, hapo bado huoni kuna jinai?!!suala ni makosa halisi au laa, ni mahakama ndiyo itaamua!Ila huyo atakuwa na matatizo , kwani sio mala ya kwanza kuingia kwenye mzozo na serikali,
 
Halafu siyo kila kitu lazima muingize siasa. Polisi waligonga, ila watuhumiwa wakagoma kufungua. Kwa mazingira kama hayo unataka waachwe? Hii chuki kwa Polisi itakuua usipokuwa makini.
Wapi sheria imeandikwa polisi akibisha na kukataliwa basi aruke ukuta.....

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom