Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekuwa anakashifu dini ya kislamu huyu angekuwa marehemu ila kwavile amekashifu ukristo mmegeuka kuwa watetez wake
amekashifu vp? wakati na yeye anahubiri kwan hakuna uhuru wa kuabudu. ana tofaut gan na kakobe, Nabii shila, mwamposa na wengineoNakubaliana nawe kwa maana ya ukiukwaji wa sheria ila mfalme wako anakashfu imani za watu wengine kitu ambacho kinaweza sababisha uvunjifu wa amani
Comment iwekewe ulinzi hii na ichongewe kabati kabisadmkali mwanangu... kwa hili la huyu Mchungaji na Unguli wako hapa JF unajidhalilisha bure tu. Ungekuwa wewe ndie RPC wa Mwanza ukatuma Vijana wakaishia kurekodiwa na kufanyiwa ule ujinga na yale mazombie ungwfanyaje?
Kumbuka tayari kuna watoto hawaendi kuanza Form I wamefungiwa ili wawe Zombies.
Naaaamini wengi wetu tungekuwa Askari baada ya zile fujo za Mara ya kwanza next time kwenda kuwakamata ingetokea nini?
Polisi wamefanya kazi nzuri mnooooooo. Sitaki kusema mleta mada ni miongoni mwa hao misukule, lkn niseme amejishushia heshima kusapoti ule ujima wanaofanyiwa hao mnaita mazombie, ile siyo kuabudu bali ni watu wamefanyiwa dhuluma ya akili
PGO vp haikutumika?Mhalifu hawi mhalifu hadi pale itakapothibitika!
Sakata la mfalme Zumaridi (Kiongozi wa kanisa la Zumaridi huko Mwanza) Linaacha midomo wazi kwa wapenda haki na utii wa sheria!
Sipo hapa kumtetea Mfalme Zumaridi, Bali nashangaa namna ya uharamu wa ukamtaji!
Taratibu za ukamataji kwa mujibu wa sheria ziko wazi kabisa lakini mamlaka zimekuwa zikionesha kufeli Mara kwa Mara kutekeleza sheria hiyo jambo ambalo limekuwa likitweza utu wa watu wasio na hatia.
MFANO! mambo kama haya yalitokea huko mtwara hadi kufedhehesha uongozi wa polisi ambayo yalianza hihivi kwa kufumbafumba mambo,
Mfano 2. Ni huko ARUSHA Kuna taarifa ya askali mzalendo kulalamika kutaka kuuwawa na polisi wenzake kwa mambo Yale Yale kama ya mtwara na serikali iko kimya.
SASA NI HILI SAKATA LA TATU LINALOTIA KICHEFCHEFU
Ni TUKIO LA zumalidi Siku ya kwanza inaripotiwa kwamba polisi waliruka ukuta/geti ili kuingia kwa Zumalidi! Kitendo hiki kilitakiwa kulaaniwa na kila mtu! (Waliruka kwa Zumalidi kesho wataruka kwako)
Kama kulikuwa na ulazima wa kufika pale kwanini hawakufuata utaratibu wa upekuzi unavyotaka? Kwanini hawa kumshirikisha mwenyekiti wa mtaa/mjumbe? Kwanini waliruka ukuta kama jambazi! (VIPI KAMA ZUMARIDI ANGEJIBU MASHAMBULIZI KWA KUFYATUA RISASI KWA POLISI ALIYEVAA KIRAIA ALIPORUKA UKUTA?) Ina maana wangejibu kwamba walikuwa kwenye mapambano na majambazi au?
Kwa utaratibu walio utumia polisi hauna tofauti na utarabu wa kijambazi! Na hili linachangia sana siku hizi RAIA kutokutofautisha kati ya jambazi na polisi.
Tukiachana na mbinu ya ukamataji!
Riport ya polisi ina ukakasi mkubwa juu ya mtuhumiwa Zumaridi!
Kosa walilo utaarifu Umma kwamba anasafilisha BINADAMU 149, kosa hilo Linatia aibu nyingine!
Hivi tangu lini watu wanaokusanyika kusali pamoja imekuwa kosa la jinai?
Mbona jumuiya na taasisi kibao tunawaona wanakusanyika na kukesha na haijawahi kutajwa kuwa ni kosa?
Zumalidi kasafirisha binadamu kutoka wapi kwenda wapi kwa lengo gani? Kuna jinai gani pale?
Hapo taifa juzi wakatoliki walikusanyika mbona haikutamkwa kuwa ni usafirishaji wa binadamu?
Kina mwingira na wachungaji kibao Tanzania kila kutwa wanakusanya watu na haisemwi ni usafirishaji,
INAKUWAJE JAMBO LILE LILE LIWE HALALI KWA MWAMPOSA LAKINI LIWE HARAMU KWA ZUMARIDI?
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Nawashauri TAKUKURU WAINGILIE KATI!
Haiwezekani sheria zipo wazi, kwanini zisingefuatwa kama kweli ZUMALIDI anamakosa makubwa hivyo!
Mimi kwa utashi wangu nahisi sakata la Zumaridi lina maslahi binafisi!
TUKIRUHUSU HAYA YA UKIUKWAJI WA SHERIA HAKUNA ATAKAYEBAKI SALAMA!
Itakuwa mtu akikosana na polisi wanakuja kuluka ukuta! Na majambazi nao watatumia mwanya huohuo kufanya uharifu!
amekashifu vp? wakati na yeye anahubiri kwan hakuna uhuru wa kuabudu. ana tofaut gan na kakobe, Nabii shila, mwamposa na wengineo
Rais wa? Na yeye ni Mfalme wa nini?
Mimi naona wewe una conflict of interest dhidi za mfalme zumaridi..kwakuona makanisa haya ya watu binafsi yanapata waumini wengi na wewe ulio kwenye mfumo ya makanisa ya wazungu unakosa sadaka kili uchwao hali inakua ngumu kwa kukimbiwa na waumini..ndio mana una hasira dhini ya makanisa binafsi.
Watu wameona ni wale wale wapigaji tu ila mfumo unatofautinana..bora huku watapata miujiza kuliko kwenye matumaini hewa ya kuambiwa toa sadaka usali sana utafanikiwa huku ninyi mkineemeka na kuneemesha makanisa ya wazungu kupitia mifumo yao.
Acha waswahili wafungue makanisa mengi zaidi tutajirishane humu humu ndani..kama inakuuma sana join nao kama huwezi kaa kimya..mana na wewe ni zombi kwa namna yako.
Usimpige mawe mbwa aliyekuja kwenye sherehe huenda alichokifuata na wewe ndicho ulichokifuata.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfalme ni neno pana na halina tasfiri moja
Umejuaje Kama walisikia wakigongewa mlango pengine walikua wanalia.....mzuka umepandaHalafu siyo kila kitu lazima muingize siasa. Polisi waligonga, ila watuhumiwa wakagoma kufungua. Kwa mazingira kama hayo unataka waachwe? Hii chuki kwa Polisi itakuua usipokuwa makini.
Cult ni nini?
Hakuna limit kwenye uchaguzi wa manenoDuh
Duh! Kwa hivyo mwanamke anaweza kuwa Mfalme na sio malkia, au mwanaumr anaweza kuitwa malkia?.
Umejuaje Kama walisikia wakigongewa mlango pengine walikua wanalia.....mzuka umepanda
Mitume na manabii wanajiandikisha na kuwa na umoja wao?!
Hakuna limit kwenye uchaguzi wa maneno