Sakata la Zumaridi na namna alivyokamatwa na polisi ni kichefuchefu, sheria haikuzingatiwa

Sakata la Zumaridi na namna alivyokamatwa na polisi ni kichefuchefu, sheria haikuzingatiwa

Kamanda Ziro anaongoza jeshi la waliofeli kidato cha nne, au ni sawa na wewe kuteuliwa kiongozi wa wagonjwa wa mirembe.

Matarajio ya wananchi ni majanga kuzidi zaidi kuliko unafuu.
 
Nakubaliana nawe kwa maana ya ukiukwaji wa sheria ila mfalme wako anakashfu imani za watu wengine kitu ambacho kinaweza sababisha uvunjifu wa amani
Hili nawewe umelitoa wapi,mbona Polisi hawajalisema?
 
Mbona umekomaa Sana na huyo mungu wako zumaridi? Au wewe no mmoja wa wale bodyguards?
Tatizo la watanzania ni kushangilia! Bila kuangalia sheria! Kama ZUMARIDI NA MBOWE watakamatwa hivyo! Wewe malala hoi itakuwa na haki gani?

Kuna ugumu gani kufuata sheria wanapokamata jinai na ikadhibitika jinai?
 
Kuna watu nilitoka kuwaambia kwenye thread ya kumnyea Zumridi kuwa hana kosa na mnafanya makosa.wakaniambia mm ni member wa mfalme na nimeacha kubishana nao baada ya kujua wanatetea madhehebu yao.

Hata yesu aliteswa na kusurubiwa kwa amri ya viongozi wa dini hata hakimu hakuona kosa (kwa kuwa imani ya mtu haiingiliwi na mamlaka za serikali) ila viongozi wa dini na wafuasi wao wakalazimisha. Kilichomkuta Yesu ndicho kinachomkuta huyu dada japo yesu alikutwa kwa mapana zaidi.
 
Report ya polisi haijasema hayo! Imesema amekamatwa kwa kusafilisha binadamu? Jiulize hao binadamu Zumalidi kakutwa nao anawapeleka wapi kwenye wapi kwa maslahi gani hadi iwe jinai?

Watu wanaweza kukusanyika kwa mtu kufurahi ,kusali au kufanya msiba, je ni kosa watu kukusanyika kwa mpendwa wao?
Policcm ni tatizo..Amesafirisha. Watu mara Wametokea maeneo Maeneo mbalimbali
 
Kama mimi na wewe hatufahamu huyo Zumaridi anasafirisha kina nani toka wapi kwenda wapi tuwaachie polisi wafanye kazi yao, unaonekana umekuja kulalamika bila kuwa na uthibitisho wa malalamiko yako
 
kwa kitendo cha kuwatuma wale sijui ni mazombi sijui mare nini! alitaja pale kwenye clip lazima mambo yangemchachia tu maana serikali ingeonekana imedharaulika..
 
Back
Top Bottom