Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ni tatizoHawafati tena PGO.Bora enzi za IGP Mangu
Makerubi, leo umekuja kivingine, umeiacha ile staili yenu ya kizombizombi.
Kiswahili kigumu sana bro! Kama umeelewa inatoshaL na R bado ni changamoto kubwa sana kwa waswahili
Hili nawewe umelitoa wapi,mbona Polisi hawajalisema?Nakubaliana nawe kwa maana ya ukiukwaji wa sheria ila mfalme wako anakashfu imani za watu wengine kitu ambacho kinaweza sababisha uvunjifu wa amani
Mbona umekomaa Sana na huyo mungu wako zumaridi? Au wewe no mmoja wa wale bodyguards?Kwahiyo sheria ndo inavyosema kwamba Ukigonga asipofungua Basi LUKA UKUTA!? Je polisi sana barua yoyote ya kumuita ZUMALIDI Na kukaidi?
Ibada popote as long as huvunji sheriaKwani hao watu 149 walikuwa kwenye nyumba ya ibada? If not; hauwezi kuwalinganisha na Mwamposa au Wakatoliki wanaokuwa sehemu rasmi ya ibada.
Tatizo la watanzania ni kushangilia! Bila kuangalia sheria! Kama ZUMARIDI NA MBOWE watakamatwa hivyo! Wewe malala hoi itakuwa na haki gani?Mbona umekomaa Sana na huyo mungu wako zumaridi? Au wewe no mmoja wa wale bodyguards?
Policcm ni tatizo..Amesafirisha. Watu mara Wametokea maeneo Maeneo mbalimbaliReport ya polisi haijasema hayo! Imesema amekamatwa kwa kusafilisha binadamu? Jiulize hao binadamu Zumalidi kakutwa nao anawapeleka wapi kwenye wapi kwa maslahi gani hadi iwe jinai?
Watu wanaweza kukusanyika kwa mtu kufurahi ,kusali au kufanya msiba, je ni kosa watu kukusanyika kwa mpendwa wao?
Kuna utaratibu.Ibada popote as long as huvunji sheria
Huyu amekiuka utaratibu upi? NielewesheKuna utaratibu.
anakashfuje?Nakubaliana nawe kwa maana ya ukiukwaji wa sheria ila mfalme wako anakashfu imani za watu wengine kitu ambacho kinaweza sababisha uvunjifu wa amani
Kwa kudanganyaAhukumiwe kwa kosa gani?
Naona uko na mizani ya kupima nani tapeli na nani sio tapeli..Wachungaji wote mi naona matapeli tu
Fuatilia mafundisho yake acha uvivuanakashfuje?