Sakata la Zumaridi na namna alivyokamatwa na polisi ni kichefuchefu, sheria haikuzingatiwa

Sakata la Zumaridi na namna alivyokamatwa na polisi ni kichefuchefu, sheria haikuzingatiwa

dmkali mwanangu... kwa hili la huyu Mchungaji na Unguli wako hapa JF unajidhalilisha bure tu. Ungekuwa wewe ndie RPC wa Mwanza ukatuma Vijana wakaishia kurekodiwa na kufanyiwa ule ujinga na yale mazombie ungwfanyaje?

Kumbuka tayari kuna watoto hawaendi kuanza Form I wamefungiwa ili wawe Zombies.

Naaaamini wengi wetu tungekuwa Askari baada ya zile fujo za Mara ya kwanza next time kwenda kuwakamata ingetokea nini?

Polisi wamefanya kazi nzuri mnooooooo. Sitaki kusema mleta mada ni miongoni mwa hao misukule, lkn niseme amejishushia heshima kusapoti ule ujima wanaofanyiwa hao mnaita mazombie, ile siyo kuabudu bali ni watu wamefanyiwa dhuluma ya akili
 
Mharifu hawi mharifu hadi pale itakapothibitika!

Sakata la mfalme Zumaridi (Kiongozi wa kanisa la Zumaridi huko Mwanza) Linaacha midomo wazi kwa wapenda haki na utii wa sheria!

Sipo hapa kumtetea Mfalme Zumaridi, Bali nashangaa namna ya uharamu wa ukamtaji!

Taratibu za ukamataji kwa mujibu wa sheria ziko wazi kabisa lakini mamlaka zimekuwa zikionesha kufeli Mara kwa Mara kutekeleza sheria hiyo jambo ambalo limekuwa likitweza utu wa watu wasio na hatia.

MFANO! mambo kama haya yalitokea huko mtwara hadi kufedhehesha uongozi wa polisi ambayo yalianza hihivi kwa kufumbafumba mambo,

Mfano 2. Ni huko ARUSHA Kuna taarifa ya askali mzalendo kulalamika kutaka kuuwawa na polisi wenzake kwa mambo Yale Yale kama ya mtwara na serikali iko kimya.

SASA NI HILI SAKATA LA TATU LINALOTIA KICHEFCHEFU

Ni TUKIO LA zumalidi Siku ya kwanza inaripotiwa kwamba polisi waliruka ukuta/geti ili kuingia kwa Zumalidi! Kitendo hiki kilitakiwa kulaaniwa na kila mtu! (Waliruka kwa Zumalidi kesho wataruka kwako)

Kama kulikuwa na ulazima wa kufika pale kwanini hawakufuata utaratibu wa upekuzi unavyotaka? Kwanini hawa kumshirikisha mwenyekiti wa mtaa/mjumbe? Kwanini waliruka ukuta kama jambazi! (VIPI KAMA ZUMARIDI ANGEJIBU MASHAMBULIZI KWA KUFYATUA RISASI KWA POLISI ALIYEVAA KIRAIA ALIPORUKA UKUTA?) Ina maana wangejibu kwamba walikuwa kwenye mapambano na majambazi au?

Kwa utaratibu walio utumia polisi hauna tofauti na utarabu wa kijambazi! Na hili linachangia sana siku hizi RAIA kutokutofautisha kati ya jambazi na polisi.

Tukiachana na mbinu ya ukamataji!

Riport ya polisi ina ukakasi mkubwa juu ya mtuhumiwa Zumaridi!

Kosa walilo utaarifu Umma kwamba anasafilisha BINADAMU 149, kosa hilo Linatia aibu nyingine!

Hivi tangu lini watu wanaokusanyika kusali pamoja imekuwa kosa la jinai?

Mbona jumuiya na taasisi kibao tunawaona wanakusanyika na kukesha na haijawahi kutajwa kuwa ni kosa?

Zumalidi kasafilisha binadamu kutoka wapi kwenda wapi kwa lengo gani? Kuna jinai gani pale?

Hapo taifa juzi wakatoliki walikusanyika mbona haikutamkwa kuwa ni usafirishaji wa binadamu?

Kina mwingira na wachungaji kibao Tanzania kila kutwa wanakusanya watu na haisemwi ni usafirishaji,

INAKUWAJE JAMBO LILE LILE LIWE HALALI KWA MWAMPOSA LAKINI LIWE HARAMU KWA ZUMARIDI?

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Nawashauri TAKUKURU WAINGILIE KATI!
Haiwezekani sheria zipo wazi, kwanini zisingefuatwa kama kweli ZUMALIDI anamakosa makubwa hivyo!

Mimi kwa utashi wangu nahisi sakata la Zumaridi lina maslahi binafisi!

TUKIRUHUSU HAYA YA UKIUKWAJI WA SHERIA HAKUNA ATAKAYEBAKI SALAMA!

Itakuwa mtu akikosana na polisi wanakuja kuluka ukuta! Na majambazi nao watatumia mwanya huohuo kufanya uharifu!

Tofautisha cult na kanisa ninvitu viwili tofauti. Kuna kitu serikali inataka kufanya ili kuzuia Mambo Kama ya Jim Jones na David Koreish kutokea Tanzania. Ila watu hawajaielewa Sana.

Cult nyingi huanza kwa kuwa na makambi na kukusanya watu sehemu moja baadae ndio hutokea.

Kasome historia ya cult ya Jim Jones na David Koreish ndio utaelewa. Walianza hivi hivi lakini mwishowe maafa yalikuwa mabaya.
 
Kwa kudanganya
Kwa kukusanya watoto wa wenyewe akawafuga kama mbuzi
Kuhubiri upumbavu
Kujipatia kipato kinyume na sheria
Kuwatumikisha watu na kuwafanya mabwege
Kujifananisha na Mungu
Soma Katiba utajifunza mengi
Usisahau kusoma Vitabu Vitakatifu pia

Amendanganya jambo gani?

Anawafuga kwa muda gani..je kama walikua wagonjwa wamekuja kuombewa.

Upumbafu gani amehubiri

Je amenyanganya au kuua ili kujipatia vipato?

Kuwatumikisha kinamna gani..je ulithibitisha ni mabwege kwa kipimo gani?

Kujifananisha na mungu kwa namna gani je unamjua mungu mpaka useme amefanana naye?

Naomba unijibu hayo maswali..laa utakua na conflict of interest na mfalme zumaridi mungu chini ya jua.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mharifu hawi mharifu hadi pale itakapothibitika!

Sakata la mfalme Zumaridi (Kiongozi wa kanisa la Zumaridi huko Mwanza) Linaacha midomo wazi kwa wapenda haki na utii wa sheria!

Sipo hapa kumtetea Mfalme Zumaridi, Bali nashangaa namna ya uharamu wa ukamtaji!

Taratibu za ukamataji kwa mujibu wa sheria ziko wazi kabisa lakini mamlaka zimekuwa zikionesha kufeli Mara kwa Mara kutekeleza sheria hiyo jambo ambalo limekuwa likitweza utu wa watu wasio na hatia.

MFANO! mambo kama haya yalitokea huko mtwara hadi kufedhehesha uongozi wa polisi ambayo yalianza hihivi kwa kufumbafumba mambo,

Mfano 2. Ni huko ARUSHA Kuna taarifa ya askali mzalendo kulalamika kutaka kuuwawa na polisi wenzake kwa mambo Yale Yale kama ya mtwara na serikali iko kimya.

SASA NI HILI SAKATA LA TATU LINALOTIA KICHEFCHEFU

Ni TUKIO LA zumalidi Siku ya kwanza inaripotiwa kwamba polisi waliruka ukuta/geti ili kuingia kwa Zumalidi! Kitendo hiki kilitakiwa kulaaniwa na kila mtu! (Waliruka kwa Zumalidi kesho wataruka kwako)

Kama kulikuwa na ulazima wa kufika pale kwanini hawakufuata utaratibu wa upekuzi unavyotaka? Kwanini hawa kumshirikisha mwenyekiti wa mtaa/mjumbe? Kwanini waliruka ukuta kama jambazi! (VIPI KAMA ZUMARIDI ANGEJIBU MASHAMBULIZI KWA KUFYATUA RISASI KWA POLISI ALIYEVAA KIRAIA ALIPORUKA UKUTA?) Ina maana wangejibu kwamba walikuwa kwenye mapambano na majambazi au?

Kwa utaratibu walio utumia polisi hauna tofauti na utarabu wa kijambazi! Na hili linachangia sana siku hizi RAIA kutokutofautisha kati ya jambazi na polisi.

Tukiachana na mbinu ya ukamataji!

Riport ya polisi ina ukakasi mkubwa juu ya mtuhumiwa Zumaridi!

Kosa walilo utaarifu Umma kwamba anasafilisha BINADAMU 149, kosa hilo Linatia aibu nyingine!

Hivi tangu lini watu wanaokusanyika kusali pamoja imekuwa kosa la jinai?

Mbona jumuiya na taasisi kibao tunawaona wanakusanyika na kukesha na haijawahi kutajwa kuwa ni kosa?

Zumalidi kasafilisha binadamu kutoka wapi kwenda wapi kwa lengo gani? Kuna jinai gani pale?

Hapo taifa juzi wakatoliki walikusanyika mbona haikutamkwa kuwa ni usafirishaji wa binadamu?

Kina mwingira na wachungaji kibao Tanzania kila kutwa wanakusanya watu na haisemwi ni usafirishaji,

INAKUWAJE JAMBO LILE LILE LIWE HALALI KWA MWAMPOSA LAKINI LIWE HARAMU KWA ZUMARIDI?

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Nawashauri TAKUKURU WAINGILIE KATI!
Haiwezekani sheria zipo wazi, kwanini zisingefuatwa kama kweli ZUMALIDI anamakosa makubwa hivyo!

Mimi kwa utashi wangu nahisi sakata la Zumaridi lina maslahi binafisi!

TUKIRUHUSU HAYA YA UKIUKWAJI WA SHERIA HAKUNA ATAKAYEBAKI SALAMA!

Itakuwa mtu akikosana na polisi wanakuja kuluka ukuta! Na majambazi nao watatumia mwanya huohuo kufanya uharifu!
Mtuhumiwa hawi muhalifu hadi ikithibitishwa vinginevyo.
 
Kwa jangiri kama hilo Police nawatetea kabisa,kama nawewe ni muumini basi jua Police wanajaribu kukufumbua macho kuwa huyo SI kiongozi wakanisa Bali ni jambazi linalotumia dini
 
Ujinga huondolewa na watu kupewa ELIMU mbona kuna wachungaji wengine wanawauzia maji kwa bei ya jumla kama mafuta ya upako na hawakamatwi? Mama wa watu kaona kuliko kudanga anahubiri wanamkamatia nini? Nani kalazimishwa kusali pale?

Mbona unalazimisha Mambo ya uongo. Kuna mchungaji gani anauza maji na mafuta. Tofautisha manabii na mitume na wachungaji usiwachanganye kapu moja.

Wanaouza mafuta Ni mitume na manabii. Na serikali imeingia Kati na Sasa mitume na manabii kujiandikisha na kuwa na umoja wao.
 
Amendanganya jambo gani?
Anawafuga kwa muda gani..je kama walikua wagonjwa wamekuja kuombewa.
Upumbafu gani amehubiri
Je amenyanganya au kuua ili kujipatia vipato?
Kuwatumikisha kinamna gani..je ulithibitisha ni mabwege kwa kipimo gani?
Kujifananisha na mungu kwa namna gani je unamjua mungu mpaka useme amefanana naye?

Naomba unijibu hayo maswali..laa utakua na conflict of interest na mfalme zumaridi mungu chini ya jua.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuuu nawewe ni mfuasi wa huyu mtu?? Au ni Miongoni mwa wale Zombies wa juzi waliorekodiwa?

Tuweke utani pembeni sisi watu Weusi tumepoteza dira kwenye masuala mazima ya kuabudu kwa sasa tunfanya mazingaombwe tu.
 
Hata Jim Jones alitetewa hivi hivi Tena alijenga Hadi mji lakini mwishowe alichokifanya dunia haitasahau. Tuchukue hatua mapema kabla halijatokea la kutokea. Watu wanafanywa mazombie wewe unatetea be human kidogo wale nao Ni binadamu wanahitaji kulindwa.

Report ya polisi haijasema hayo! Imesema amekamatwa kwa kusafilisha binadamu? Jiulize hao binadamu Zumalidi kakutwa nao anawapeleka wapi kwenye wapi kwa maslahi gani hadi iwe jinai?

Watu wanaweza kukusanyika kwa mtu kufurahi ,kusali au kufanya msiba, je ni kosa watu kukusanyika kwa mpendwa wao?
 
Ila aache maigizo ya kijinga sasa
Bado mleta mada ana hoja ya msingi, kuna uvunjwaji mkubwa kwenye ukamataji watu, kwa nini polisi aliyevaa kiraia aruke ukuta kuingia kwako? Je mwenye nyumba akiamua kum shoot?? Kwa nini ukamataji usifanyike kwa kufuata sheria na taratibu? Pili kama huu mfumo wa aina hii ya ufunguaji mashtaka itaendelea basi hata wewe Kuna siku utabambikiwa kesi kwamba umeiba kifaru kama yule mwanakijiji kule ukraine [emoji12][emoji12]
 
Kama wewe ulivyo tapeli. Tanzania Ina wachungaji wangapi?. Unawafahamu wachungaji wangapi?. Yani kisa Mwalimu mmoja kazaa na mwanafunzi, ninaconclude walimu wote wazinzi. Yani unashindwa kutofautisha Kati ya cult leader na mchungaji. Mitume na manabii wafanyeje uchafu wewe umekalia wachungaji wote matapeli.

Wachungaji wote mi naona matapeli tu
 
Simuungi mkono huyo zamaradi ni boya tu, duniani kote hakuna aliyejuu ya serikali yoyote ile never, sasa anajifanya anamiliki mazombi walikua wanamwangalia tu, nyambaf walitakiwa wawavue nguo kabisa ninaniineeer zao
 
Nakubaliana nawe kwa maana ya ukiukwaji wa sheria ila mfalme wako anakashfu imani za watu wengine kitu ambacho kinaweza sababisha uvunjifu wa amani
Kuna sheria kavunja hapo??
 
Halafu siyo kila kitu lazima muingize siasa. Polisi waligonga, ila watuhumiwa wakagoma kufungua. Kwa mazingira kama hayo unataka waachwe? Hii chuki kwa Polisi itakuua usipokuwa makini.
Walikuwa na wameongozana na Mwenyekiti wa mtaa??
 
Bado mleta mada ana hoja ya msingi, kuna uvunjwaji mkubwa kwenye ukamataji watu, kwa nini polisi aliyevaa kiraia aruke ukuta kuingia kwako? Je mwenye nyumba akiamua kum shoot?? Kwa nini ukamataji usifanyike kwa kufuata sheria na taratibu? Pili kama huu mfumo wa aina hii ya ufunguaji mashtaka itaendelea basi hata wewe Kuna siku utabambikiwa kesi kwamba umeiba kifaru kama yule mwanakijiji kule ukraine [emoji12][emoji12]
Watu wako too Emotional hadi wasitambue HAKI YA MTUHUMIWA
 
Mharifu hawi mharifu hadi pale itakapothibitika!

Sakata la mfalme Zumaridi (Kiongozi wa kanisa la Zumaridi huko Mwanza) Linaacha midomo wazi kwa wapenda haki na utii wa sheria!

Sipo hapa kumtetea Mfalme Zumaridi, Bali nashangaa namna ya uharamu wa ukamtaji!

Taratibu za ukamataji kwa mujibu wa sheria ziko wazi kabisa lakini mamlaka zimekuwa zikionesha kufeli Mara kwa Mara kutekeleza sheria hiyo jambo ambalo limekuwa likitweza utu wa watu wasio na hatia.

MFANO! mambo kama haya yalitokea huko mtwara hadi kufedhehesha uongozi wa polisi ambayo yalianza hihivi kwa kufumbafumba mambo,

Mfano 2. Ni huko ARUSHA Kuna taarifa ya askali mzalendo kulalamika kutaka kuuwawa na polisi wenzake kwa mambo Yale Yale kama ya mtwara na serikali iko kimya.

SASA NI HILI SAKATA LA TATU LINALOTIA KICHEFCHEFU

Ni TUKIO LA zumalidi Siku ya kwanza inaripotiwa kwamba polisi waliruka ukuta/geti ili kuingia kwa Zumalidi! Kitendo hiki kilitakiwa kulaaniwa na kila mtu! (Waliruka kwa Zumalidi kesho wataruka kwako)

Kama kulikuwa na ulazima wa kufika pale kwanini hawakufuata utaratibu wa upekuzi unavyotaka? Kwanini hawa kumshirikisha mwenyekiti wa mtaa/mjumbe? Kwanini waliruka ukuta kama jambazi! (VIPI KAMA ZUMARIDI ANGEJIBU MASHAMBULIZI KWA KUFYATUA RISASI KWA POLISI ALIYEVAA KIRAIA ALIPORUKA UKUTA?) Ina maana wangejibu kwamba walikuwa kwenye mapambano na majambazi au?

Kwa utaratibu walio utumia polisi hauna tofauti na utarabu wa kijambazi! Na hili linachangia sana siku hizi RAIA kutokutofautisha kati ya jambazi na polisi.

Tukiachana na mbinu ya ukamataji!

Riport ya polisi ina ukakasi mkubwa juu ya mtuhumiwa Zumaridi!

Kosa walilo utaarifu Umma kwamba anasafilisha BINADAMU 149, kosa hilo Linatia aibu nyingine!

Hivi tangu lini watu wanaokusanyika kusali pamoja imekuwa kosa la jinai?

Mbona jumuiya na taasisi kibao tunawaona wanakusanyika na kukesha na haijawahi kutajwa kuwa ni kosa?

Zumalidi kasafilisha binadamu kutoka wapi kwenda wapi kwa lengo gani? Kuna jinai gani pale?

Hapo taifa juzi wakatoliki walikusanyika mbona haikutamkwa kuwa ni usafirishaji wa binadamu?

Kina mwingira na wachungaji kibao Tanzania kila kutwa wanakusanya watu na haisemwi ni usafirishaji,

INAKUWAJE JAMBO LILE LILE LIWE HALALI KWA MWAMPOSA LAKINI LIWE HARAMU KWA ZUMARIDI?

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Nawashauri TAKUKURU WAINGILIE KATI!
Haiwezekani sheria zipo wazi, kwanini zisingefuatwa kama kweli ZUMALIDI anamakosa makubwa hivyo!

Mimi kwa utashi wangu nahisi sakata la Zumaridi lina maslahi binafisi!

TUKIRUHUSU HAYA YA UKIUKWAJI WA SHERIA HAKUNA ATAKAYEBAKI SALAMA!

Itakuwa mtu akikosana na polisi wanakuja kuluka ukuta! Na majambazi nao watatumia mwanya huohuo kufanya uharifu!
Zingatia kanuni za uandishi. Pia elewa matumizi sahihi ya herufi "l" na "r".
 
Sheria ipi?

Hawa wapuuzi wakamatwe maana wanawafanya watu kuwa wajinga wazembe na wapumbavu... She deserved hiyo treatment kuharibu watoto wa watu si sawa

Ahukumiwe iwe fundisho kwa matapeli wa mfano wake
Kukamatwa ni hoja? Ngoja waende mahakamani ndiyo utajua kwamba wanatumia rasilimali za taifa efficiently? Ndiyo yale ya TAKUKURU unakamata na kufungua kesi Mia moja mwisho wa siku unashinda tano. Kumbuka hizo 95 ni fedha ya umma imeketekea hapo.
 
Mharifu hawi mharifu hadi pale itakapothibitika!

Sakata la mfalme Zumaridi (Kiongozi wa kanisa la Zumaridi huko Mwanza) Linaacha midomo wazi kwa wapenda haki na utii wa sheria!

Sipo hapa kumtetea Mfalme Zumaridi, Bali nashangaa namna ya uharamu wa ukamtaji!

Taratibu za ukamataji kwa mujibu wa sheria ziko wazi kabisa lakini mamlaka zimekuwa zikionesha kufeli Mara kwa Mara kutekeleza sheria hiyo jambo ambalo limekuwa likitweza utu wa watu wasio na hatia.

MFANO! mambo kama haya yalitokea huko mtwara hadi kufedhehesha uongozi wa polisi ambayo yalianza hihivi kwa kufumbafumba mambo,

Mfano 2. Ni huko ARUSHA Kuna taarifa ya askali mzalendo kulalamika kutaka kuuwawa na polisi wenzake kwa mambo Yale Yale kama ya mtwara na serikali iko kimya.

SASA NI HILI SAKATA LA TATU LINALOTIA KICHEFCHEFU

Ni TUKIO LA zumalidi Siku ya kwanza inaripotiwa kwamba polisi waliruka ukuta/geti ili kuingia kwa Zumalidi! Kitendo hiki kilitakiwa kulaaniwa na kila mtu! (Waliruka kwa Zumalidi kesho wataruka kwako)

Kama kulikuwa na ulazima wa kufika pale kwanini hawakufuata utaratibu wa upekuzi unavyotaka? Kwanini hawa kumshirikisha mwenyekiti wa mtaa/mjumbe? Kwanini waliruka ukuta kama jambazi! (VIPI KAMA ZUMARIDI ANGEJIBU MASHAMBULIZI KWA KUFYATUA RISASI KWA POLISI ALIYEVAA KIRAIA ALIPORUKA UKUTA?) Ina maana wangejibu kwamba walikuwa kwenye mapambano na majambazi au?

Kwa utaratibu walio utumia polisi hauna tofauti na utarabu wa kijambazi! Na hili linachangia sana siku hizi RAIA kutokutofautisha kati ya jambazi na polisi.

Tukiachana na mbinu ya ukamataji!

Riport ya polisi ina ukakasi mkubwa juu ya mtuhumiwa Zumaridi!

Kosa walilo utaarifu Umma kwamba anasafilisha BINADAMU 149, kosa hilo Linatia aibu nyingine!

Hivi tangu lini watu wanaokusanyika kusalia pamoja imekuwa kosa la jinai?

Mbona jumuiya na taasisi kibao tunawaona wanakusanyika na kukesha na haijawahi kutajwa kuwa ni kosa?

Zumalidi kasafilisha binadamu kutoka wapi kwenda wapi kwa lengo gani? Kuna jinai gani pale?

Hapo taifa juzi wakatoliki walikusanyika mbona haikutamkwa kuwa ni usafirishaji wa binadamu?

Kina mwingira na wachungaji kibao Tanzania kila kutwa wanakusanya watu na haisemwi ni usafirishaji,

INAKUWAJE JAMBO LILE LILE LIWE HALALI KWA MWAMPOSA LAKINI LIWE HARAMU KWA ZUMARIDI?

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Nawashauri TAKUKURU WAINGILIE KATI!
Haiwezekani sheria zipo wazi, kwanini zisingefuatwa kama kweli ZUMALIDI anamakosa makubwa hivyo!

Mimi kwa utashi wangu nahisi sakata la Zumaridi lina maslahi binafisi!

TUKIRUHUSU HAYA YA UKIUKWAJI WA SHERIA HAKUNA ATAKAYEBAKI SALAMA!

Itakuwa mtu akikosana na polisi wanakuja kuruka ukuta! Na majambazi nao watatumia mwanya huohuo kufanya uharifu!
PGO tabu sana
 
Back
Top Bottom