Sakho na Phiri waomba kuondoka Simba

Ebu thibitisha ili tuchangie, siyo kutuletea habari za vijiweni, sisi siyo wavuta bangi.
 
Ukiona mwenye nyumba analipiwa kodi kwa nyumba hiyo hiyo.. Ujue mapenzi hayo ni hatari.
Mapenzi yamenizidia, waweza nipikia msosi na nikaulipia wakati na mahari nishatoa.

Mapenzi tu
😍😍😍😍😍
 
Kabisa tu, ufurahi wewe kila siku, hiyo furaha umeiumba wewe..
Kikubwa ni kuendelea furaha hata siku za majonzi kwa kukubali uhalisia.

Msimu haukuwa wetu, kuna makosa yalifanyika, tumekubali hapo na tuko hapa kuchangamSha baraza(kuendelea furaha)
Faida ni kubwa sana kimaisha kukubaliana na hali yoyote hata kama ni nyakati ngumu, fikiri ile mechi mliyofungwa na Azam FC, kuna Shabiki kindakindaki mmoja wa Makolokolo aligongwa na treni sababu ya stress za kuzomewa na Mashabiki toka kibanda umiza [emoji30][emoji26]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…