Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
🤣🤣🤣🤣🤣Mwambie mwenye mali(Mumeo) "Eroni" nampa big up sana kukuweka bize 24/7 kifamilia hadi tunakumiss JF [emoji119][emoji4].
Uchawi umeanza lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Mwambie mwenye mali(Mumeo) "Eroni" nampa big up sana kukuweka bize 24/7 kifamilia hadi tunakumiss JF [emoji119][emoji4].
You are so smart mummy in your mindsets [emoji122]Ila usihame, nitamcheka nani sasa![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukiona mwenye nyumba analipiwa kodi kwa nyumba hiyo hiyo.. Ujue mapenzi hayo ni hatari.Umeamua kunipanga eeeeh🤣🤣🤣
Karibia nitaacha kushabikia mpira ...
Usiniulize kwanini
Uwe na adabu shauri yako, utaota sekenene 🤣Weeeh!! Mama mkwe ni kolo?
Aaah.. Kumbe ni Mali ya ndugu yangu ERoni 🙄Mwambie mwenye mali(Mumeo) "Eroni" nampa big up sana kukuweka bize 24/7 kifamilia hadi tunakumiss JF [emoji119][emoji4].
BAsi aende Mtibwa😂Natamani atoke, ila nawaza nyumba itapooza. Sitakuwa na wa kumcheka🤣🤣🤣
Ebu thibitisha ili tuchangie, siyo kutuletea habari za vijiweni, sisi siyo wavuta bangi.Wawakilishi wa Mchezaji Pape Ousmane Sakho hawaridhishwi na kukosekana kwa muda wa kucheza kwa Mteja wao ndani ya Simba, wakiamini Msenegal huyo anastahili muda zaidi wa kucheza.
Kutokana na hilo kwa mujibu wa taarifa nilizopata ni kuwa kuna baadhi ya ofa watazifikisha Msimbazi kumhusu Mteja wao ambazo zitakuwa na maslahi kwa Simba kiuchumi ili POS aweze kuondoka kusaka changamoto mpya.
Sakho alisaini kandarasi ya miaka mitatu na Wekundu wa Msimbazi, akiwa ametumikia miaka miwili huku kipengele cha mkataba kikimtaka alipe mshahara wa miezi mitatu tu ili avunje mkataba wake, tayari ameshaandika barua.
Wanaamini Kijana anastahili muda wa kucheza zaidi, ijapo mpaka sasa bado hakuna ofa mezani kwa Simba huku zikitarajiwa mwishoni mwa msimu.
Mchezaji mwingine aliyeomba kuondoka Simba ni Mzambia Mosses Phiri, ambapo wanakuwa ni wachezaji watatu mpaka Sasa hivi baada ya Awali Joash Onyango kuandika barua ya kuondoka klabuni hapo.
Duuuh [emoji15], mbona naanza kuwa na wasiwasi nawe Mtani [emoji848]Sasa mm hutanijua nikiwa nateseka nanenepa nang'aaa
Ndugu,Ujue una nusu ya moyo wangu, na nusu iliyobaki kwangu, yote nakupenda wewe.
Umeharibu kuniita huku😁😁😁 uache na ukae mbali sana na huyu mrembo wangu. Wewe ni ndugu yangu, tusifike mbali😅Aaah.. Kumbe ni Mali ya ndugu yangu ERoni 🙄
Siku zote Ananipangia hana mtu, ananielewa kichizi, kumbe Mali ya ndugu yangu,
Naacha mara moja.
Kumbe we ndiwe mchawi wetu Utopolo sasa, ingawa sijakukamata ukiwa unapaa na ungo...[emoji125][emoji847]Bora mumkose, we fikiri hapa mayele hapa phiri si balaa hilo
Mimi siwezi kukuuliza maana jibu ninalo. Sababu ni kuwa Kuna watu wanavichwa mizigo kwa vichwa vyao km huyu mleta mada.Karibia nitaacha kushabikia mpira ...
Usiniulize kwanini
Sijajaribu Kaka ndio imekua vizuri, Basi Kaka, mie si kujua, alinilaghai tu, ndio maana nikakuita kuthibitisha.Umeharibu kuniita huku😁😁😁 uache na ukae mbali sana na huyu mrembo wangu. Wewe ni ndugu yangu, tusifike mbali😅
Niwie radhi Kaka, si kujua Kaka. 😂🤣Ndugu,
Hii tabia imeanza lini kuingilia miji ya kaka zako?😁
😍😍😍😍😍Ukiona mwenye nyumba analipiwa kodi kwa nyumba hiyo hiyo.. Ujue mapenzi hayo ni hatari.
Mapenzi yamenizidia, waweza nipikia msosi na nikaulipia wakati na mahari nishatoa.
Mapenzi tu
Faida ni kubwa sana kimaisha kukubaliana na hali yoyote hata kama ni nyakati ngumu, fikiri ile mechi mliyofungwa na Azam FC, kuna Shabiki kindakindaki mmoja wa Makolokolo aligongwa na treni sababu ya stress za kuzomewa na Mashabiki toka kibanda umiza [emoji30][emoji26]Kabisa tu, ufurahi wewe kila siku, hiyo furaha umeiumba wewe..
Kikubwa ni kuendelea furaha hata siku za majonzi kwa kukubali uhalisia.
Msimu haukuwa wetu, kuna makosa yalifanyika, tumekubali hapo na tuko hapa kuchangamSha baraza(kuendelea furaha)
Sasa mama mkwe naanzaje kumcheka?Uwe na adabu shauri yako, utaota sekenene 🤣
😂😂😂😂😂BAsi aende Mtibwa😂