Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Walivyoishi kipimbi ule utajiri wao ulikuja kwako?
Roho ya umaskini ni mbaya sana.

Siku zote maskini huwa na chuki dhidi ya matajiri.
Wewe huna akili, Wala simuonei wivu mtu yoyote hapa Duniani.

Nachotaka Kila Mmoja Kwa Uwezo wake, aache Maisha ya ujanja ujanja ,kuumiza wengine na kunufaika Kwa mgongo wa wengine, kukwepa Kodi, biashara harmu za madawa ya kulevya n.k

Hao ni lazima waishinkipimbipimbi
 
Ujanjajanja upo kote duniani mzee

Dunia uwanja wa fujo huu

Ova
 
Mkuu ni kumuomba sana Mungu kwa kila siku unayopata Pumzi mabalaa yasiyokee aisee Dunia ina mambo ya ajabu sana sana...
 
sasa mbona unamtishia nyau,,, kama njia zote zimeshindikana kwanini usiweke hicho unachoita uchafu hapa? unafikir salaa atasoma haapa? au unafikiri anatishika na wewe? Wachafu hawachafuki boss
Mtu anasema njia zote zimeshindikana. Sijui hata Kama anaelewa anachosema.


Anajidai yeye ni mzalendo wakat amejaa ubinafsi Kwa kiwango kikubwa na ndio maana Uzi huu maslahi ya taifa kayaweka nyuma , katanguliza maslahi yake
 
Mtu anasema njia zote zimeshindikana. Sijui hata Kama anaelewa anachosema.


Anajidai yeye ni mzalendo wakat amejaa ubinafsi Kwa kiwango kikubwa na ndio maana Uzi huu maslahi ya taifa kayaweka nyuma , katanguliza maslahi yake
na akipewa hiyo mali yake hataanika tena huo uchafu kwa sababu yeye n maslah yake tu anataka eti naye ni mzalendo
 

Unaamini wanapitaga huku wataona[emoji4][emoji4]
 
Katika Nchi ngumu Maskini kupambana na Tajiri kwenye swala la HAKI basi Tanzania ni mojawapo.

Tanzania imejaa waoga kila mahali,kuanzia wadudu,mpaka wanyama watu..

Mtoa Haki aliewahishwa hii nchi alikua JPM tu ila hamna mwingine hata mmoja anaeweza simamia haki ya mnyonge.

Uzi kama Huu ungefunguliwa Enzi JPM ni Rais, Dk 10 nyingi mtoa mada angeshapgiwa simu na Salaah kuitwa ofisini kuyajenga.

ila kwa Awamu hii na zijazo, Baba Utapiga ramli chonganishi lakini hamna kitu utafanikiwa, Yani kama vile Salaah anakuangalia Halafu anachekaaa...

Muhimu ni kwamba, Usiache kuongea maana huwezi jua Kesho anaweza inuliwa JPM mwingine mkaipata haki yenu.

ila kuipata haki kwa awamu hiii, Baba utasubiri sana We kama unaweza tafuta shortcut yako lipa watu wape Tindikali wakafanye kweli...

Kumpata Salaah ngumu,we geuka hata mtu usiejulikana.. Fanya Yako na team yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…