DUHHata kama nimepanic nakumabia ukweli ndio huo hakuna kitu chochote anachoweza kumfanya salaa sana sana yeye anaweza kufanywa. Kama alienda had central wakakataa kumfungulia amshtaka kwani wao ni wajinga? anaweza tu kuyatoa moyo wake uwe na amani ila hakuna chochote anachoweza kumfanya. Na hakuna kipya zaiid ya hivyo tunavyovijua na Seriakli inachojua
Mleta mada hajamtaja Mkuu.Huyo kijana ni nani?
Umesema vyema kabisa. Haki hivi sasa inapatikana kwa mafisadi kuiba tu. Ila kwa kuwa umetoa ushauri basi nitaufanyia kazi.Katika Nchi ngumu Maskini kupambana na Tajiri kwenye swala la HAKI basi Tanzania ni mojawapo.
Tanzania imejaa waoga kila mahali,kuanzia wadudu,mpaka wanyama watu..
Mtoa Haki aliewahishwa hii nchi alikua JPM tu ila hamna mwingine hata mmoja anaeweza simamia haki ya mnyonge.
Uzi kama Huu ungefunguliwa Enzi JPM ni Rais, Dk 10 nyingi mtoa mada angeshapgiwa simu na Salaah kuitwa ofisini kuyajenga.
ila kwa Awamu hii na zijazo, Baba Utapiga ramli chonganishi lakini hamna kitu utafanikiwa, Yani kama vile Salaah anakuangalia Halafu anachekaaa...
Muhimu ni kwamba, Usiache kuongea maana huwezi jua Kesho anaweza inuliwa JPM mwingine mkaipata haki yenu.
ila kuipata haki kwa awamu hiii, Baba utasubiri sana We kama unaweza tafuta shortcut yako lipa watu wape Tindikali wakafanye kweli...
Kumpata Salaah ngumu,we geuka hata mtu usiejulikana.. Fanya Yako na team yako.
Chawa wako kila sehemu na watazifikishaUnaamini wanapitaga huku wataona[emoji4][emoji4]
Biashara na diplomasia ni vitu viwili tofauti. Pia kuna tofauti ya mfanyabiashara halali na hawa wa shortcut ambao hata hawawezi onyesha mtiririko wa namna wanapata pesa zao.Teh teh frm 4 lakini naona anaendesha biashara kubwa mzee
[emoji1]
Ova
Na wewe unavyojisifiaga wake za watu huoni unaonea wengine. Tena wengine una Hadi wascreen shot na kuwaweka humu. Nawe acha kutembea na wake za watu Tena huko ni hatari kuliko hata kukwepa Kodi za serikali. Huko hakuna tra Wala Mahakama, huko ni kushtakiana kwa miungu na kufanywa uwe kama JamesDelicious.Wewe huna akili, Wala simuonei wivu mtu yoyote hapa Duniani.
Nachotaka Kila Mmoja Kwa Uwezo wake, aache Maisha ya ujanja ujanja ,kuumiza wengine na kunufaika Kwa mgongo wa wengine, kukwepa Kodi, biashara harmu za madawa ya kulevya n.k
Hao ni lazima waishinkipimbipimbi
mtoto wa kiume ukimtetea mwanaume kisa udalali inatia sana shaka uanaume wako......sasa mbona unamtishia nyau,,, kama njia zote zimeshindikana kwanini usiweke hicho unachoita uchafu hapa? unafikir salaa atasoma haapa? au unafikiri anatishika na wewe? Wachafu hawachafuki boss
hapo huoni nawe kama mtoto wa kiume kutetea maovu ndo mbaya zaidi..au umezoea kuletea nyumbani na wanaume ndo maana unateteaNa wewe unavyojisifiaga wake za watu huoni unaonea wengine. Tena wengine una Hadi wascreen shot na kuwaweka humu. Nawe acha kutembea na wake za watu Tena huko ni hatari kuliko hata kukwepa Kodi za serikali. Huko hakuna tra Wala Mahakama, huko ni kushtakiana kwa miungu na kufanywa uwe kama JamesDelicious.
ni kucheza cheza na namba kama mtu mbaya salaah.. ah ah GSM ndo walimwezesha uchaguzi Tanga so lazima wakubwa waimbwe vizuriMwana FA aliimba nyimbo kwenye mistari flani akasema
na ujifunze pesa zinauza utu wako
tajiri mtata kama Salaa🎶
zipo hela sitoi sio bahili me ni balaa🎶 unapenda hela zangu?
na me nazipenda pia🎶
kila mtu abaki na zake, bye baby tutaongea🎶
Inamaana hapo alimtaja salaa huyohuyo
Hawa jamaa kukiwa na tajiri muislamu na wenyewe hudhani ni matajiri. Kuna mmoja nilimuuliza kwa nn mnahisi bakhressa ni ndugu yenu ikiwa hata hamumjui na hamjawahi kumuonaMatajiri wenu wakiguswa Mna baking kusema ohh chuki
Ova
We lofa mi sipo mtoto wa kiume. Mi ni mwanaume na baba wa watoto wanne. Mtoto wa kiume Baba yako.hapo huoni nawe kama mtoto wa kiume kutetea maovu ndo mbaya zaidi..au umezoea kuletea nyumbani na wanaume ndo maana unatetea
Ukiona Tajiri anapigwa mkwara ni swala la kusubiri wakati vituo vya polisi mnakimbizwa nimecheka sana.. .Masaa hayasogei mwamba [emoji1]
Ova
ah ah kuna mzee na familia yake tena mwajiliwa wa jamhuri na bado ailkua papai...kuzaa hata kuku anazaaWe lofa mi sipo mtoto wa kiume. Mi ni mwanaume na baba wa watoto wanne. Mtoto wa kiume Baba yako.
Kutanganza kampuni ni tatizo?Ila siku hizi wanaitangaza sana kampuni tatizo nini?
Mkuu Wazazi hatutukani mazee take easy kwa vitu vidogo vidogo hii ndio JF...We lofa mi sipo mtoto wa kiume. Mi ni mwanaume na baba wa watoto wanne. Mtoto wa kiume Baba yako.
Hana alijualo huyo mjingaKutanganza kampuni ni tatizo?