Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Hata kama nimepanic nakumabia ukweli ndio huo hakuna kitu chochote anachoweza kumfanya salaa sana sana yeye anaweza kufanywa. Kama alienda had central wakakataa kumfungulia amshtaka kwani wao ni wajinga? anaweza tu kuyatoa moyo wake uwe na amani ila hakuna chochote anachoweza kumfanya. Na hakuna kipya zaiid ya hivyo tunavyovijua na Seriakli inachojua
DUH
 
Katika Nchi ngumu Maskini kupambana na Tajiri kwenye swala la HAKI basi Tanzania ni mojawapo.

Tanzania imejaa waoga kila mahali,kuanzia wadudu,mpaka wanyama watu..

Mtoa Haki aliewahishwa hii nchi alikua JPM tu ila hamna mwingine hata mmoja anaeweza simamia haki ya mnyonge.

Uzi kama Huu ungefunguliwa Enzi JPM ni Rais, Dk 10 nyingi mtoa mada angeshapgiwa simu na Salaah kuitwa ofisini kuyajenga.

ila kwa Awamu hii na zijazo, Baba Utapiga ramli chonganishi lakini hamna kitu utafanikiwa, Yani kama vile Salaah anakuangalia Halafu anachekaaa...

Muhimu ni kwamba, Usiache kuongea maana huwezi jua Kesho anaweza inuliwa JPM mwingine mkaipata haki yenu.

ila kuipata haki kwa awamu hiii, Baba utasubiri sana We kama unaweza tafuta shortcut yako lipa watu wape Tindikali wakafanye kweli...

Kumpata Salaah ngumu,we geuka hata mtu usiejulikana.. Fanya Yako na team yako.
Umesema vyema kabisa. Haki hivi sasa inapatikana kwa mafisadi kuiba tu. Ila kwa kuwa umetoa ushauri basi nitaufanyia kazi.

Na hapa tunaandika ili kuweka rekodi kwa vizazi vijavyo. Iko siku hili kaburi litafukuliwa tu maana hakuna chenye mwanzo kisicho na mwisho Mkuu. Tuombe uzima.
 
Wewe huna akili, Wala simuonei wivu mtu yoyote hapa Duniani.

Nachotaka Kila Mmoja Kwa Uwezo wake, aache Maisha ya ujanja ujanja ,kuumiza wengine na kunufaika Kwa mgongo wa wengine, kukwepa Kodi, biashara harmu za madawa ya kulevya n.k

Hao ni lazima waishinkipimbipimbi
Na wewe unavyojisifiaga wake za watu huoni unaonea wengine. Tena wengine una Hadi wascreen shot na kuwaweka humu. Nawe acha kutembea na wake za watu Tena huko ni hatari kuliko hata kukwepa Kodi za serikali. Huko hakuna tra Wala Mahakama, huko ni kushtakiana kwa miungu na kufanywa uwe kama JamesDelicious.
 
Mwana FA aliimba nyimbo kwenye mistari flani akasema

Vishawishi vingi binti sema na moyo wako na ujifunze pesa zinauza utu wako
tajiri mtata kama  Salaa
🎶
zipo hela sitoi sio bahili me ni balaa🎶 unapenda hela zangu?
na me nazipenda pia🎶
kila mtu abaki na zake, bye baby tutaongea🎶


Inamaana hapo alimtaja salaa huyohuyo
 
Na wewe unavyojisifiaga wake za watu huoni unaonea wengine. Tena wengine una Hadi wascreen shot na kuwaweka humu. Nawe acha kutembea na wake za watu Tena huko ni hatari kuliko hata kukwepa Kodi za serikali. Huko hakuna tra Wala Mahakama, huko ni kushtakiana kwa miungu na kufanywa uwe kama JamesDelicious.
hapo huoni nawe kama mtoto wa kiume kutetea maovu ndo mbaya zaidi..au umezoea kuletea nyumbani na wanaume ndo maana unatetea
 
Mwana FA aliimba nyimbo kwenye mistari flani akasema

na ujifunze pesa zinauza utu wako
tajiri mtata kama  Salaa
🎶
zipo hela sitoi sio bahili me ni balaa🎶 unapenda hela zangu?
na me nazipenda pia🎶
kila mtu abaki na zake, bye baby tutaongea🎶


Inamaana hapo alimtaja salaa huyohuyo
ni kucheza cheza na namba kama mtu mbaya salaah.. ah ah GSM ndo walimwezesha uchaguzi Tanga so lazima wakubwa waimbwe vizuri
 
Nawashangaaga sana wale wanafiki wachache wanaowashobokeaga hawa jamaa 😊😊😊

HAKUNA MNALOLIJUA!... Mleta mada hakukuwa na haja ya saa 72, we andika tu. Hawa ni kenge tu! Lini uliona mwafrika akaishi vizuri kwa kushurutisha watu huko kwenye nchi zao hawa?! Lakini wao wanaishi kama wapo paradiso (MUNGU ANISAMEHE!)

Ila siku yenu/yao inakuja😊

Binafsi ningependa kuweka wazi hata kama chawa wao wapo na wanasoma... wafikishieni huu ujumbe. Maana wamenyonya sana watu, wamedhulumu sana nafsi na haki za watu.

SALAAH NA TIMU YAKO, MNAWEZA KUISHIA KUBAYA SANA! AU KUFA KAMA JFK WA KULE MAREKANI 😊


#nawasilisha
 
Back
Top Bottom