Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Nimekuelewa hapo. Uaminifu ni tatizo kubwa kwa WaTZ wengi sana.
Hilo ndio tatizo kuu mkuu ila wabongo hawataki kusikia hivyo. Hawa matajir unaowaona wote kilichowasaidia ni trust bro. Huwez kuwa na hela ya kutosheleza mahtaji yote ya wateja ndio unakuta kiwanda kinakupa mali kauli. Hawa wachina wote wenye biashara wanauza biashara za viwanda sio hela zao. Sasa kuna wajinga wajinga kama huyu jamaa wakiaminiwa wanaharibu. Wakifuatiliwa kama huyu jamaa wanakuja na mikwara. Muda wote walipofanya ujinga wao pamoja hakutuambia ila sasa alipogeuka ndio anamtisha mwenzie. Mzee hela za mwanaume hailiwi kirahisi.
 
Waarabu wakatili kweli Tena washenzi kuliko wahindi sema TU wanavuma wahindi
Vipi kuhusu kuwakata viungo Albino wakiwa hai,huo sio ushenzi na sio ukatili?

Vipi kuhusu kuua vikongwe kwa imani za kishirikina,huo sio ukatili na ushenzi?

Vipi kuhusu kuwachoma moto tena wakiwa hai wanaotuhumiwa kua ni vibaka,huo sio ukatili na ushenzi?
 
Tuna haja ya kubadilika WATZ aisee. Watu wana attack maisha binafsi ya watu
 
Waarabu ,wahindi wanapenda kutugongea dada zetu,sasa wakigongewa wao sasa [emoji1]
Hapo shuguli ndiyo inaanza

Ova
 
Haya sasa
 
We kumbe mshafikishia taarifa kweli jf nooomaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…