Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

JPM aliwafanya Hawa Matajiri janjajanja, Kuishi kama Mashetani.

Ila sahizi Mashetani ndio waongoza Nchi, ni haki Yao kusema "Serikali hii haiwafanyi kitu'.

Wapo sahihi Mkuu, hakuna wa kuwafanyia kitu sasa
**** moja naona alimwagiwa tindikali hata Hawa ai inawezekana? Nadhani watanzania tuliangalie hili.
 
Ni mwili wa home shopping centre ulioamua kuvaa ngozi mpya ya GSM. Nilishuhudia ukiukaji mkubwa Sana wa kodi mwaka 2013 wakiwa Home Shopping Centre Duka lao moja Kariakoo. Pumzika kwa Amani Pombe Magufuli
Ile ghorofa sasa imechakaa imekuwa ni jumba la kufugia majini yao, kuna Dada alikuwa anaishi mule cha moto alikiona kila siku alikuwa anafumuliwa 🤣 🤣 🤣 🤣
 
...Toka June Mwaka Mpaka Leo March ni Miezi NANE! Bado unawatishia Nyau ya Masaa 72, wakati wamekaa Miezi NANE na HAKI ya Mtu ?
Unadhani tishio lako la Masaa 72 litasaidia?
Kwa Nini Usiseme TU ulichonacho?
Au Sio kweli ? Au unaogopa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…