kocha Nabi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2022
- 709
- 1,881
yap imeshapita siku moja ambayo ni masaa 24 so kwenye 72-24 unabaki na 48.Bado masaa 42?
Mwache akanyage twende, maisha yenyewe upuuzi tu.yap imeshapita siku moja ambayo ni masaa 24 so kwenye 72-24 unabaki na 48.
kumbuka post ilipostiwa saa 5 dkk 52. so kwenye masaa 48 ilisoma tangu saa 5 asubuhi. now ni saa 12 jioni so yameongezeka masaa 7. ila kwavile dakika 52 haijatimia bado, so yatakuwa masaa 6 na dakika zake. so 48-6 inabaki 42.
Chuki zako binafsi tu na matajiri. Kama una ushahidi kwanini usiende mahakamani? huna mali anayoweza kuingangania salaa wala nini. Mwache atese hata nyie masikini wakati wa JPM mulijiona kama ma last born wa Rais mukajipiga kifua na kujiita wanyonge na wazalendo
Sawa mkuu kumbe kapost janayap imeshapita siku moja ambayo ni masaa 24 so kwenye 72-24 unabaki na 48.
kumbuka post ilipostiwa saa 5 dkk 52. so kwenye masaa 48 ilisoma tangu saa 5 asubuhi. now ni saa 12 jioni so yameongezeka masaa 7. ila kwavile dakika 52 haijatimia bado, so yatakuwa masaa 6 na dakika zake. so 48-6 inabaki 42.
Hao usiwajaribu aisee hata huyu Mleta huu uzi akileta hiyo ripoti yake na Salaah Said Mohammed akachukuliwa hatua aisee maisha yake yatakuwa matatani sana. Hawa Jamaa baada ya yule Kaka yao Mkubwa kumwagiwa tindikali aliporudi kwenye matibabu majini yalitumwa kumtafuta yule aliyewatuma wale Vijana wakamwagia tindikali pale Msasani GSM Mall yule aliyewatuma wale Vijana alikuwa ni Muarabu inasemekana alikufa kwenye ajali ya gari yake aina ya Prado Yeye, Watoto watatu na Mke wakeWana majeshi ya majini makata
Au nawe ni mmoja wao nini? Mbona unaogopa ogopa sana?!Hao usiwajaribu aisee hata huyu Mleta huu uzi akileta hiyo ripoti yake na Salaah Said Mohammed akachukuliwa hatua aisee maisha yake yatakuwa matatani sana. Hawa Jamaa baada ya yule Kaka yao Mkubwa kumwagiwa tindikali aliporudi kwenye matibabu majini yalitumwa kumtafuta yule aliyewatuma wale Vijana wakamwagia tindikali pale Msasani GSM Mall yule aliyewatuma wale Vijana alikuwa ni Muarabu inasemekana alikufa kwenye ajali ya gari yake aina ya Prado Yeye, Watoto watatu na Mke wake
Hukuona ule uzi jamaa yangu.Duuh
Sikuuona mkuuHukuona ule uzi jamaa yangu.
Isanue baasi daahhhSawa Mkuu. Nafurahi watu wengi wamesoma hii habari. Zaidi ya 24000.
Sasa habari yenyewe kamili nafikiri itavunja record.
Ki hamza zaidi....[emoji1787]Alienda Kwa mganga akaambiwa Jamaaa wanamiliki majini hvyo hawawezi labda aendelee kuomba Mungu tuu au aende ki_hamza zaidi..[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kwamba TISS walitumwa watekeleze? Maana JK alienda hadi South AfrikaHao usiwajaribu aisee hata huyu Mleta huu uzi akileta hiyo ripoti yake na Salaah Said Mohammed akachukuliwa hatua aisee maisha yake yatakuwa matatani sana. Hawa Jamaa baada ya yule Kaka yao Mkubwa kumwagiwa tindikali aliporudi kwenye matibabu majini yalitumwa kumtafuta yule aliyewatuma wale Vijana wakamwagia tindikali pale Msasani GSM Mall yule aliyewatuma wale Vijana alikuwa ni Muarabu inasemekana alikufa kwenye ajali ya gari yake aina ya Prado Yeye, Watoto watatu na Mke wake
Soma #717 kuna mtu ameweka quote ukiisoma utapata kidogo.Sikuuona mkuu
KimbiaaaaNajaaa
Hapo kwenye ova sasa🤣🤣🤣🤣🤣Bado masaa mangapi
Ova