Yule mzee alikuwa fundi kweli kweli yaani alijua hii nchi kuna panya wanakula huko chini ila huku juu wananchi tunaona kuna usalama kumbe nothing.JPM aliwafanya Hawa Matajiri janjajanja, Kuishi kama Mashetani.
Ila sahizi Mashetani ndio waongoza Nchi, ni haki Yao kusema "Serikali hii haiwafanyi kitu'.
Wapo sahihi Mkuu, hakuna wa kuwafanyia kitu sasa
Kanda Maalum ya Polisi, Dar es Salaam.Kituo gani na nipolice wa kituo gani wanamuambia hvyo Ni vyema uweke Kila kitu hadharani tumechoka na utapeli ,,these is anonymous platform usiogope lipuaas tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
hii coment nikiitafuta mkuu maan naona watu wanaanza kushambulia tu kwa chuki zao binafs hata hawajui A to Z na mleta mada nae kaandk kwa chuki tu hata mkasa hajauweka watu wachambue wajue namna ya kumshauri.Mkuu,mali za huyo Kijana zilitaifishwa kwa amri ya nani?
Nini kilipelekea mpaka mali za huyo Kijana zikataifishwa? naona hii issue ni kama umeiongelea upande mmoja tu,
Weka kila kitu clear hapa ili ueleweke zaidi.
Mimi huwa ninaroga kwa kutumia Biblia, Zaburi sura ya 35.upo na uchawi wa bibi tumsaidie?
Ndo maana nimesema hawa unawaroga kwa kutumia maombi, zaburi 35,Novena kwa mtakatifu Antony wa Padua kurudisha vilivyopotea, Novena kwa Mtakatifu Yuda Thadei. Kwa imani lazima watasurrender.Hahahhaha Dada Victoire , Kuna jamaa yangu alitafuta Mganga kutoka Kigoma huko amroge GSM ili alipwe hela yake dola 300 yule Mganga akamwambia hawa wana majini ni ngumu sana kuwaroga we muombe Mungu kama ni haki yako watakulipa tu
Inakuwaje matajiri wanamiliki majini?Hahahhaha Dada Victoire , Kuna jamaa yangu alitafuta Mganga kutoka Kigoma huko amroge GSM ili alipwe hela yake dola 300 yule Mganga akamwambia hawa wana majini ni ngumu sana kuwaroga we muombe Mungu kama ni haki yako watakulipa tu
maelekezo kutoka juuMara paaa, uzi unafutwa; utahisi nini?
😄Masaa 72 mengi. Ungesema masaa 2 ili tupate muendelezo haraka
Hao jamaa ni watu wa ovyowanalinga na kusumbua sababu wanaye Godfather anawalinda. umeonyesha mfano wa matajiri wa kiarabu ambao hutosikia mambo mengi mabaya wanaotendea watu, hawa ni wakatili tu, naamini kuna siku watarejeshwa kwao Yemen.
Maxence Melo ni jasiri Wewe na usimchukulie poa alishawahi kukaa ndani kwa ajili ya hii JamiiForumsMara paaa, uzi unafutwa; utahisi nini?
Ndo maana nimesema hawa unawaroga kwa kutumia maombi, zaburi 35,Novena kwa mtakatifu Antony wa Padua kurudisha vilivyopotea, Novena kwa Mtakatifu Yuda Thadei. Kwa imani lazima watasurrender.
Kwani yamebaki masaa mangapi?Mara paaa, uzi unafutwa; utahisi nini?
Yaani walifanya ukatili hivyo kisa kutembea na binti wa kiarabu?!!!Hao jamaa ni watu wa ovyo
Pale Jangwani Beach Kunduchi, opposite na Ramada Resort kulikuwa na ndugu yao jirani na home kwa wazee
Kuna kijana mbongo mwenzetu walimteka wakakodi mabaunsa wakamfirá sana kisa tu katembea na binti yao wa Kiarabu
Lile tukio lilifanya niwashushe thamani sana hao jamaa
Mengi sana, uzi unaweza ukaota mbawaKwani yamebaki masaa mangapi?