mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Tumeweka kambi hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha dahWajeuri sana Hawa na wanalindwa na msoga na maza
Ujue tatizo ni bandari yenyewe ukifata utaratibu mzigo unachelewa, ukiamua kwepa mzigo unaukuta changombeNaaam.........na hiki ndio wote wanaombeza mleta mada wanafurahia.
Nchi ngumu sana hii.Ujue tatizo ni bandari yenyewe ukifata utaratibu mzigo unachelewa, ukiamua kwepa mzigo unaukuta changombe
Jibu lako limeniumiza sana! Inaonesha ni kiasi gani sisi waafrika ni wajinga na wapumbavu.JPM Wako alijaribu akafa yeye.
Na njia nyingine ni Hawala, unapeleka Tsh ukifika Dubai, China, Turkey unapewa Dirham, Yuan, Lira.Nchi ngumu sana hii.
Siku 2 = 48 hoursMasaa mangapi sasa yamebakia?
Hii ilikuwepo kabla yao.Na njia nyingine ni Hawala, unapeleka Tsh ukifika Dubai, China, Turkey unapewa Dirham, Yuan, Lira.
Maana dollar kupatikana ni tatizo siku hizi, wao wanapata wapi dollar kwa bei nzuri haijulikani
Kula mke WA MTU sio dhulma ?Tindikali tuliambiwa alikula mke wa mtu,Leo mnasema dhulma
Kweli ila wao wanaifanya kwa ukubwa zaidi.Hii ilikuwepo kabla yao.
Why hawarogeki?Tatizo matajiri hawalogeki achana hawa wa mitaani ila wale wengine
Kupambana nae ni kwa namna na ujuzi wa juu
Kwa leo sitaandika mengi.
Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.
Najua ulivyojigeuza Serikali na kutaifisha mali na pesa za kijana huyo na ukaahidi utapiga nae hesabu na kumrejeshea kinachozidi na hujafanya hivyo toka June 14, 2022.
Hata kama mnasema Serikali ya sasa inawabeba basi iheshimuni japo kidogo kwa kutoifedhehesha.
Kumbuka kama ilitokea Serikali ikawafanya kuwa na adabu basi siku hazigandi.
Kumbuka kaka yenu mkubwa alikuwa akifanyia wanadamu wenzie ukatili lakini alimwagiwa tindikali na haohao mnaowaona wanyonge, na sasa anaishi kama panya maana haonekani in Public.
Najua mambo yote kampuni yenu inayofanya hapo kariakoo, hivyo masaa 72 yakipita bila kutafuta suluhu na kumpa huyo kijana Haki yake basi nitaaanika kila kitu hapa hadharani.
Naamini nikishaanika itakuwa aibu kwako na kampuni yako, hata kama Serikali ya sasa haitawachukulia hatua basi dunia itakuwa imejua mnayofanya gizani.
Vilevile mtapoteza heshima mliyonayo kama Silent Ocean kwa watu wasiowajua.
Na taarifa zenu tutamkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, hata akipelekewa na asichukue hatua kwa kampuni yenu zitakuwa zimeingia kwenye record za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mengi nitaandika baada ya hayo masaa 72 kama utaendelea kuufanya moyo wako mgumu. Naamini juhudi zote za kidiplomasia zimekwishafanyika na umepuuza eti kwa kutamba hivi sasa serikali ni ya kwenu.
Tunakubali na kujua hayo yote brother, ila nikueleze huo unafiki wenu wa kujidai watu wema mbele za wanadamu huku mkiwatendea Watanzania hiyana basi una mwisho wake.
IKO SIKU KISASI CHA JPM KITALIPWA... NA TUTAKUWA NA BARAZA LA MAWAZIRI STRONG KULIKO YOTE KWENYE HISTORIA! TUTAKUWA NA BARAZA STRONG LA TISS AMBALO HALIJAWAHI KUTOKEA NA KILA KITU KITAKUWA SAWA 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Niape mbele za Mungu wangu. Mimi sio huyo kijana. Tuhuma zake na malalamiko yalifika ofisini na wakubwa wameshindwa kumsaidia kwa sababu ya mazingira ya Serikali ya sasa. Nimeamua kuyaweka hadharani ili umma na dunia ijue. Kuna siku atatokea kiongozi mzalendo na kuyafanyiq kazi.
Binafsi kuingilia mahusiano au makubaliano ya watu wawili wenye akili timamu huwa ni uzwazwa.Ungepunguza muda ikawa masaa 24,tujue yalioyojificha nyuma ya pazia za hawa waarabu,nimesikitoshwa na kile kitendo cha kumlawitisha mtu kisa kitembea na dada yao huo ni unyama uliopitiliza aisee!
Walipo pata malizao ndipo panapo walindaWhy hawarogeki?
As long as Kikwete yupo wataendelea kulindwa! Makonda ulie tu!😂😂😂😂Hawa jamaa mbona uhalifu wao wa kuingiza makontena bila kuyalipia kodi unafahamika, labda ulete details na ushahidi zaidi