Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Kwa maelezo yako inaonyesha huyo ndugu yako alikuwa mwizi!

Kwa leo sitaandika mengi.

Najua tambo zako za sasa kuwa katika Serikali hii ya sasa mnaweza fanya lolote na hakuna wa kuwafanya kitu.

Najua ulivyojigeuza Serikali na kutaifisha mali na pesa za kijana huyo na ukaahidi utapiga nae hesabu na kumrejeshea kinachozidi na hujafanya hivyo toka June 14, 2022.

Hata kama mnasema Serikali ya sasa inawabeba basi iheshimuni japo kidogo kwa kutoifedhehesha.

Kumbuka kama ilitokea Serikali ikawafanya kuwa na adabu basi siku hazigandi.

Kumbuka kaka yenu mkubwa alikuwa akifanyia wanadamu wenzie ukatili lakini alimwagiwa tindikali na haohao mnaowaona wanyonge, na sasa anaishi kama panya maana haonekani in Public.

Najua mambo yote kampuni yenu inayofanya hapo kariakoo, hivyo masaa 72 yakipita bila kutafuta suluhu na kumpa huyo kijana Haki yake basi nitaaanika kila kitu hapa hadharani.

Naamini nikishaanika itakuwa aibu kwako na kampuni yako, hata kama Serikali ya sasa haitawachukulia hatua basi dunia itakuwa imejua mnayofanya gizani.

Vilevile mtapoteza heshima mliyonayo kama Silent Ocean kwa watu wasiowajua.

Na taarifa zenu tutamkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai, hata akipelekewa na asichukue hatua kwa kampuni yenu zitakuwa zimeingia kwenye record za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mengi nitaandika baada ya hayo masaa 72 kama utaendelea kuufanya moyo wako mgumu. Naamini juhudi zote za kidiplomasia zimekwishafanyika na umepuuza eti kwa kutamba hivi sasa serikali ni ya kwenu.

Tunakubali na kujua hayo yote brother, ila nikueleze huo unafiki wenu wa kujidai watu wema mbele za wanadamu huku mkiwatendea Watanzania hiyana basi una mwisho wake.
 
Niape mbele za Mungu wangu. Mimi sio huyo kijana. Tuhuma zake na malalamiko yalifika ofisini na wakubwa wameshindwa kumsaidia kwa sababu ya mazingira ya Serikali ya sasa. Nimeamua kuyaweka hadharani ili umma na dunia ijue. Kuna siku atatokea kiongozi mzalendo na kuyafanyiq kazi.
IKO SIKU KISASI CHA JPM KITALIPWA... NA TUTAKUWA NA BARAZA LA MAWAZIRI STRONG KULIKO YOTE KWENYE HISTORIA! TUTAKUWA NA BARAZA STRONG LA TISS AMBALO HALIJAWAHI KUTOKEA NA KILA KITU KITAKUWA SAWA 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Nimemaliza kusoma reply na Quotes zote. Nimejua kwamba Tatizo watu wengi awamu zote za uongozi walisahau misingi ya nchi aliyoiweka Baba Na Mwasisi wa Hili Taifa.

Ngoja nitoe mfano very simple. Umeondoka nyumbani kwako kwenda kwenye kazi umemwacha mwanao mdogo kiasi na mfanyakazi. Umemwachia mfanyakazi vyakula maziwa pesa za juice na pesa nyinginezo kwa ajili ya matunzo ya mwanao kwa hiyo siku.

Yule mfanyakazi akaamua kumwacha mtoto hapo kala vyakula na maziwa na kila kitu pamoja na rafiki na washirika wake wa pembeni. Akidai mtoto ni msumbufu kula hatambui umuhimu wa chakula.

Mfano huu ni sawa na nchi hii. Mfanyakazi kuonja chochote si kosa. Ila kumwacha mtt apate malnutrition ndio kosa.

Ubinafsi wa Wwanaohusika na washirika wao ndio unaleta nuksi, na kuwakosesha ukheri. Kama matatizo anuai yanayokumba jamii hususan vijana yangetatuliwa kwa percent kubwa hata wangekula bata namna gan hakuna angejali.

Ubinafsi ukikomaa huzaa uasi. Ninashauri juhudi za haraka na makusudi zichukuliwe. Kuponya na kujenga imani kwa wananchi wa kawaida sana.

Haikuwahi kukusudiwa na haitatokea watanzania Halisi wapate dhiki kuu sababu ya mtu ama kiumbe chochote. Labda iwe ni sababu yao wenyewe.

Kama ni ujinga wao, una mwisho, uoga pia una mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungepunguza muda ikawa masaa 24,tujue yalioyojificha nyuma ya pazia za hawa waarabu,nimesikitoshwa na kile kitendo cha kumlawitisha mtu kisa kitembea na dada yao huo ni unyama uliopitiliza aisee!
Binafsi kuingilia mahusiano au makubaliano ya watu wawili wenye akili timamu huwa ni uzwazwa.

Kwani ni mwarab wa kwanza duniani kuwa na mwanaume mweusi mpaka wamfanyie kitendo hicho?! Wana akili za hovyo sana hawa watu kutoka middle east (waarab na wahindi)

Mwanamke akiolewa anakuwa ni part ya familia nyingine. Wangemuacha na mumewe na wao wabaki na utajiri wao. Kumsaidia ndugu yao (dada yao) ni hiyari, wangetaka hata wasingemsaidia vilevile lakn yuko na furaha yake ya ndoa na mtu ampendaye.
 
Kiapo changu ni kile kile nitakuwa na mtanzania mwenzangu dhidi ya raia mwingine yoyote WA taifa lolote.


Natamani Sana huu msimamo tungekuwa nao watanzania wote. South Africa huwezi kukuta mwarabu au mchina au muhindi anajitapa mbele ya msouth Africa. Kule raia WA South Africa ndio WA Kwanza Kwa kila kitu.

Hapa tanzania unakuta jitu jeusi linamtetea Ghalib au Dewij wakati anaonea weusi wenzie
 
Back
Top Bottom