Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Yes alishiriki nikiwa tazara na kijana wangu anae niendesha niliwasiliana na DC.nyangasa,baada kupata tuhuma za mauaji kutoka Kwa ocd. walelo kupitia Simu aliyonipigia milango ya saa Moja usiku nikamwambia ocd.walelo mbona unanipigia kunituhumu na jambo la mauaji na wala siko kigamboni muda huu na nikamwambia ocd unadhani ungefanya kazi Yako tokea saa 12 alfajiri nilivyokupigia kukuomba msaada kwamba eneo langu limetekwa na wafanyakazi wangu wote wako chini ya ulinzi sijui usalama wao ungefika kutoa msaada unadhani yangetokea haya ambayo unanituhumu akakata Simu ocd.

Nilimtuma kaka yangu na manager wangu tokea saa mbili asubuhi wafike Kwa ocd kigamboni mpaka takriban saa nñe wakajibiwa polisi kigamboni na ocd hawawezi kutoa msaada mpaka order kutoka juu.

Kipindi hiko Cha asubuhi Mimi nikiwa central polisi nikitafuta msaada Kwa muliro ambae sikumpata lakini siku kumi kabla ya tukio nilimuandikia muliro barua ya kumjulisha kuwa Kuna njama ambayo imepangwa kufanya uvamizi katika eneo langu.

Nilikutana na GSM ofisini kwake salamander kabla ya tukio siku kaka saba akaniambia unataka nikupe mil 100 ikusaidie maishani mwako mahakamani nimekushinda na ukienda appeal kesi nitaitisha ndani ya miezi 6 mpaka 8 itahukumiwa nitakushinda tena mahakama yote inakunywa chai salamander.

Kiufupi sitoandika tena lakini wajipange soon tutalipa na mh.rais mitandaoni na tumejipanga vyema.

Na vyombo vya habari vyote vitakavyo kataa kurusha tutavianika.

Hivi wanajua struggle ya miaka halali kutengeneza uchumi na biashara yenye value takriban 10 bilion alafu anakuja jizi kama GSM linatamani na kukurudisha back to square one
Duh

Ova
 
 
Ila hawa jamaa mbona wanaonekana waungwana sana? Unaweza kusoma comment ukabakia mdomo wazi. Mfano Gharib, anaonekana mpole na asiye na makuu.



Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mimi ki ukweli nimemjua salaah hivi karibu pia nipo kwenye magroup Yao ya biashara...jamaa ni muungwana sana...Hana maneno mengi ..hapa ninastaajabu Kwa kweli....
 
Mimi ki ukweli nimemjua salaah hivi karibu pia nipo kwenye magroup Yao ya biashara...jamaa ni muungwana sana...Hana maneno mengi ..hapa ninastaajabu Kwa kweli....
Mwambie arudishe chenji, 235mil. #chenjiirudi

 
Mwambie arudishe chenji, 235mil. #chenjiirudi

Sina ukaribu nae kaka,ila kumuona Kwa macho nishamuona mara kadhaa....ni muungwana sana...
Haya yanayoandikwa hapa na nyuzinaa nyuma zinazo kua attached za nyuma Kwa kweli Mimi sikuwahi kufatilia huo upande...
So Nina staajabu TU kama watu wengine hapa.
Ila Bado naamini hakuna mfanya biashara anataka hasara...
Labda njia aliyotumia TU ...na kama asingetumia hiyo njia huyo jamaa WA eliudi asingesema kama aliiba..
By the way wabongo sisi sio waaminifu nimeshangaa kwanza kwanini alimuamini na kias kikubwa Cha ela hivyo
 
Mwambie arudishe chenji, 235mil. #chenjiirudi

Moderate wameufunga huo uzi...

Huyo jamaa wa yemen amewahi peleka hio habari yake mpaka sitasahau RFA,

Alielezea kila kitu kwa urefu,mpaka anarudi Tz ,
Mpaka misikiti ilimtenga...

Alichokua anaomba hata kama alipwi arejeshewe vifaa vyake(machines)vya ujenzi...

Ki ukweli naikumbuka hii stori kwa uchache,alipitia mengi magumu..sijui hata kama bado yuko hai mpaka sasa.
 
Moderate wameufunga huo uzi...

Huyo jamaa wa yemen amewahi peleka hio habari yake mpaka sitasahau RFA,

Alielezea kila kitu kwa urefu,mpaka anarudi Tz ,
Mpaka misikiti ilimtenga...

Alichokua anaomba hata kama alipwi arejeshewe vifaa vyake(machines)vya ujenzi...

Ki ukweli naikumbuka hii stori kwa uchache,alipitia mengi magumu..sijui hata kama bado yuko hai mpaka sasa.
Mods wa JF wako double standard sana.

Hao jamaa malalamiko dhidi yao hayataishia Leo watakuja wengine wengi.

Jamaa ni maharamia
 
Moderate wameufunga huo uzi...

Huyo jamaa wa yemen amewahi peleka hio habari yake mpaka sitasahau RFA,

Alielezea kila kitu kwa urefu,mpaka anarudi Tz ,
Mpaka misikiti ilimtenga...

Alichokua anaomba hata kama alipwi arejeshewe vifaa vyake(machines)vya ujenzi...

Ki ukweli naikumbuka hii stori kwa uchache,alipitia mengi magumu..sijui hata kama bado yuko hai mpaka sasa.
Hawa makatili inawezekana washamuua

 
Habari,naombeni kufaham mfanyabiashara km huyu kukaa na dola nyingi Nyumbani au ofisini kwake badala ya bank! Anayumbishaje uchumi wa inchi???na anatakatisha vp??
 
Back
Top Bottom