Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je tunaitikia vipi?Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano
Idumu Jamhuri ya Muungano....nimekopi ile ya kidumu chama cha Mapinduzi 😂😂Je tunaitikia vipi?
Nimeipenda ina ongeza uzalendo
EllySkyWilly tumsifu Yesu kristuMimi sitacomment chochote, katika uzi huu sitaki kutenda dhambi, dhambi yangu ya uzinzi inanitosha. 😷
Milele aminaEllySkyWilly tumsifu Yesu kristu
SIAFIKI HIYO SALAMU. Lazima appreciate Imani mbalimbali za watZ na hiyo inamleta karibu zaidi na Watanzania. kama makafiri na wenye imani za asili wamemwambia anapendelea basi ni dhahiri hajitambui.Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.
Hii ni salamu bora kutokea toka tumepata uhuru.
Mama endelea kutumia hii salamu kila mara.
Salamu hii haina ubaguzi, ni salamu yenye kuunganisha Taifa.
Kwa mwezi unazini mara ngapi,ndugu?Mimi sitacomment chochote, katika uzi huu sitaki kutenda dhambi, dhambi yangu ya uzinzi inanitosha. 😷
mara nyingi tu ila kwa bahati mbaya, natamani kuacha lakini nashindwaKwa mwezi unazini mara ngapi,ndugu?
SIAFIKI HIYO SALAMU. Lazima appreciate Imani mbalimbali za watZ na hiyo inamleta karibu zaidi na Watanzania. kama makafiri na wenye imani za asili wamemwambia anapendelea basi ni dhahiri hajitambui.