Mwizi alitaka kumuuaKama alishindwa kuingiza watu rodi kama alivyoahidi,ataweza kudai tume huru,au anawaingiza chaka wenzie uku yeye akijificha ughaibuni kula bata?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwizi alitaka kumuuaKama alishindwa kuingiza watu rodi kama alivyoahidi,ataweza kudai tume huru,au anawaingiza chaka wenzie uku yeye akijificha ughaibuni kula bata?
Nani amuuwe,kwa kipi kwanza mpaka iwe ivyo?Mwizi alitaka kumuua
Asisahau, hii inakwenda sambamba na kuwaelimisha na kuwahamasisha wananchi wawe na uelewa na hamasa ya kudai haki hiyo.Amewaomba wadau wote kuhakikisha wanadai Tume huru ya uchaguzi bila kuchoka , ndani ya nchi na kwenye majukwaa yote ya kimataifa , huku akitoa mifano ya nchi za Ghana , Kenya na Malawi kama kielelezo cha mafanikio ya upatikanaji wa Tume huru kutokana na juhudi za wananchi wa nchi hizo .
Mwizi. Unamfahamu mwizi?Nani amuuwe,kwa kipi kwanza mpaka iwe ivyo?
Kilicho mkimbiza ni aibu ya kushindwa vibaya uchaguzi na kupukutishwa wabunge wote aliowakuta Chadema.
ukifuatilia kinachoendelea Kenya kwa sasa unaweza kuona kitu kipyaAsisahau, hii inakwenda sambamba na kuwaelimisha na kuwahamasisha wananchi wawe na uelewa na hamasa ya kudai haki hiyo.
Wananchi wanahitaji uongoziimara na wanaouamini. Ndiyo maana tunawahimizaCHADEMA na washirika wao wote wawe sehemu muhimu wa kudai haki hiyo...
Eeenh, ile BBI? Usihadaike sana mkuu wangu 'Erythro.'ukifuatilia kinachoendelea Kenya kwa sasq unaweza kuona kitu kipya
What is "huru"? Is it the wording in the Act? Is it the person who heads it (a) lacks the required qualifications or (b) acts contrary to the law? I have seen many Tumes in the whole world, and here. If you ask me we are very huru.Akitoa salamu za Mwaka mpya wa 2021 kwa wananchi wa Tanzania , Mh Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema , ametoa mwongozo wa kudai Tume huru ya uchaguzi kuanzia sasa , amesema kwa hali ilivyo nchini Tanzania ni vigumu kushiriki uchaguzi wowote bila Tume huru ya uchaguzi...
Nani amuuwe,kwa kipi kwanza mpaka iwe ivyo?
Kilicho mkimbiza ni aibu ya kushindwa vibaya uchaguzi na kupukutishwa wabunge wote aliowakuta Chadema.
Nani amuuwe,kwa kipi kwanza mpaka iwe ivyo?
Kilicho mkimbiza ni aibu ya kushindwa vibaya uchaguzi na kupukutishwa wabunge wote aliowakuta Chadema.
Hivi hukuwahi msikia Bosi wako akisema kuwa kwenye vita ya uchumi, watu wa dizaini ya Lissu hawatakiwi ku-survive?Nani amuuwe,kwa kipi kwanza mpaka iwe ivyo?
Kilicho mkimbiza ni aibu ya kushindwa vibaya uchaguzi na kupukutishwa wabunge wote aliowakuta Chadema.
Machangudoa utayatambua tu kwa kauli zao!Lisu msalimie anayekulisha uko Ulaya mwambie asante husband
Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
Njaa inadhalilisha sana !What is "huru"? Is it the wording in the Act? Is it the person who heads it (a) lacks the required qualifications or (b) acts contrary to the law? I have seen many Tumes in the whole world, and here. If you ask me we are very huru....
Lissu anaposema kuwa ni vigumu upinzani kushinda chaguzi bila katiba mpya ni ina maana anakishauri chama chake CHADEMA kisidiriki kushiriki chaguzi zijazo....
kwani kudai tume huru ni uhalifu ?Wanasiasa wa tz bana yani anahamasisha watu wadai tume huru huku yeye akiwa amejichimbia ulaya na familia yake kwa nini asije kuungana na wananchi kudai hiyo tume huru
na kufa kabisa..Prof.Lipumba aliharibu aliporudi kimabavu ktk uongozi wa CUF na kusababisha chama kumeguka.
kwavile umezoea kupakatwa unadhani kila mtu anatabia kama zakoLisu msalimie anayekulisha uko Ulaya mwambie asante husband
Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
wapi nimesema kudai tume huru ni uhalifu?kwani kudai tume huru ni uhalifu ?