Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Infwakiti ukikopa benki za tanzagiza 25Million tegemea kulipa 40+ million au zaidi ya 50million kutegemea na duration ya mkopo hasa pale mkopo ukiwa wa muda mrefu. Yaaan interest rate yake ni karibia 100%.Du! 25+ ndio riba inafika 42+? kutoka ni kwa mbinde sana
Najaribu tu kuwaza hapa. Anakatwa around 451K kwa mwezi. Nyumba gani hiyo kwa mkopo wa 24M unaweza kuijenga ukapangisha halafu pesa ya pango ulipwe Tsh 451K ? Labda kama ana vyanzo vingine vya pesa Mkuu. Ila kwa huo mkopo haiwezekani.Kukopa ni kuzuri kama uliplan kupata faida ya zaidi (au sawa na riba) ya riba unayolipa. Kama mtu alijenga nyumba, apangishe, na mapato kutoka kwenye kodi ya pango atakayolipwa yawe sawa au kuzidi makato ya mkopo anaorejesha kila mwezi (principal + interest), ili kumaintain positive cash flow.
Nakubaliana na wewe kwa Asilimia ndogo kidogo.Naomba uchukuwe huu utafiti uchwara niliofanya mie mkuu.
Matokeo ya utafiti wangu uchwara ni kuwa karibia 95% ya watumishi wanaokopa kwa ajili ya biashara, hizo biashara zao hazifanikiwi.
Kama huyo ndugu yupo kwenye hiyo 5% basi ana bahati sana na amshukuru sana Mungu kwa hiyo neema.
Wengi hawafanikiwi. Hizi biashara ni ngumu mtu asikwambie. Halafu weka sasa hawa watumishi biashara zao ni za kuagiza. Hafanyi yeye.
Oviasi huo ni mkopo wa miaka 7 au 8.Inamaana bank wanakula 20m sawa na mkopo...si ni utapeli huu
Hivi inawezekana ?Kukopa ni kuzuri kama uliplan kupata faida ya zaidi (au sawa na riba) ya riba unayolipa. Kama mtu alijenga nyumba, apangishe, na mapato kutoka kwenye kodi ya pango atakayolipwa yawe sawa au kuzidi makato ya mkopo anaorejesha kila mwezi (principal + interest), ili kumaintain positive cash flow.
Aisee shida sana kwa kweli.Infwakiti ukikopa benki za tanzagiza 25Million tegemea kulipa 40+ million au zaidi ya 50million kutegemea na duration ya mkopo hasa pale mkopo ukiwa wa muda mrefu. Yaaan interest rate yake ni karibia 100%.
Twafaaaaaaaaaaaaaaa
Kumbuka principal amount aliokopeshwa sio 42M hiyo 42M ni jumla ya mkopo aliopewa na riba yake. Hapo jama unaweza kuta kapewa kwenye around 20 hadi 24MNimejifunzaa ukiwa serekali na mshahara kuazia laki tisaa kupanda unaweza kuchukua mkopo kuazia milioni 40,binafsi nikipata huu mkopo nimeanga ufukaraaa,kwa jinsi nilivyo sota kwenye ujasiriamali nazani itazaa Mara 2
Kama nimeelewa vizuri, hiyo mil.42 inahusisha principal na interest. Kwa hiyo inawezekana alikopa mil.25. Halafu inawezekana anakatwa kwa mfumo wa straight balance, ambao unaumiza zaidi. Tunapokopa tuulizie na mfumo wa marejesho. Mfumo rafiki wa marejesho ni reducing balance.Daah Mil 42.
-Chukua Mil 25 peleka UTT utapata zaidi au sawa na ayo makato ya kila mwezi 415k
Sio rahisi kama unavyodhani once ukiwa mtumishiSitakaa nije kukopa
Unamshauri ujinga.....ajira aliyonayo ndio imemfanya apate hela ya kuwekeza kwenye hiyo shughuli inayompa 1.2 M,akichanganya na mshahara anaopata "kwa sasa" laki 3 ana 1.5M,hapo bado viposho vya hapa na pale,kumbuka halipi kodi ya nyumba......waza tena mkopo ukiisha maana yake mshahara wake tufanye atakunja 900k na biashara itakua imepiga hatua kutoka 1.2m hadi 1.6m,unadhani atakua na pesa ngapi kwa mwezi? kutoboa sio lazma uache kazi,unaweza kuendelea na kazi na biashara zikasonga pia.Nakubaliana na wewe kwa Asilimia ndogo kidogo.
Ishu ni ku invest kwenye biashara ambayo yeye mwenyewe hayupo humo. Ndio maana hawatoboi.
Kuna mdau hapo juu, amesema anapata 1.2M kama faida kila mwezi kwenye Biashara aliyowekeza.
Nikamshauri ili afanikiwe zaidi aachane na hiyo ajira ili ajiajiri kabisa, hapo ndio atatoboa.
Sio yako ni yake shida niniView attachment 2200989
Basic salary: 940,000
......
Michango/makato yake
Chakuhawata contribution 5000
PSSSF 47,000
PAYE 94,200
Nmb bank loan 42,870,300 (451,266)
NHIF fund employees 28,200
......
NET AMOUNT DUE.. 314,333.68 Tshs
Unasema interest ni zaidi ya 100%?mzee hiyo 42m ni deni analotakiwa kulipa baada ya kupewa mkopo wake. kwa hiyo net loan aliyopewa inaweeza kua 20-25 m.
Kimezingatiwa kwa sababu take home ni 314,000/= ambayo ni zaidi ya ⅓ ya 940,000/=Kwa 940,000/= unawezaje kupata mkopo wa 42,800,000/=? na ile ⅓ ya nachotakiwa kibaki kwenye mshahara wako kimezingatiwa hapa?..
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Itakuwa miaka 8. Maana kwa miaka 7 hilo deni ni kubwa kidogo. Miaka 7 ilitakiwa iwe around 37M.Oviasi huo ni mkopo wa miaka 7 au 8.
Itakuwa mkopo wa miaka 8 + ribaAlikopa pesa zote hizo? au ni mkopo wa bord huo?
mkopo wa muda mrefu.