Heaven Seeker
JF-Expert Member
- May 12, 2017
- 479
- 1,071
Mkuu ni bank ipi wana mfumo wa reducing balance? Tufahamishane tafadhali.Kama nimeelewa vizuri, hiyo mil.42 inahusisha principal na interest. Kwa hiyo inawezekana alikopa mil.25. Halafu inawezekana anakatwa kwa mfumo wa straight balance, ambao unaumiza zaidi. Tunapokopa tuulizie na mfumo wa marejesho. Mfumo rafiki wa marejesho ni reducing balance.
Akiachana na Kazi atafanya biashara kwa ufanisi zaidi.Unamshauri ujinga.....ajira aliyonayo ndio imemfanya apate hela ya kuwekeza kwenye hiyo shughuli inayompa 1.2 M,akichanganya na mshahara anaopata "kwa sasa" laki 3 ana 1.5M,hapo bado viposho vya hapa na pale,kumbuka halipi kodi ya nyumba......waza tena mkopo ukiisha maana yake mshahara wake tufanye atakunja 900k na biashara itakua imepiga hatua kutoka 1.2m hadi 1.6m,unadhani atakua na pesa ngapi kwa mwezi? kutoboa sio lazma uache kazi,unaweza kuendelea na kazi na biashara zikasonga pia.
Hasira za nini mkuu.Watanzania wapumbavu sana, sasa mpo bize kujadili salary slip ya mtu wakati nyie hamkopesheki hata dukani kwa mangi kwasabab hamna kazi au ni kibarua. Mwenzenu ametimiza malengo yake ila nyie mnataka kutuaminisha amefeli... Na hapo baada ya miaka 3 anaweza kukopa tena... Maisha ni kuchagua... Nilichogundua wanao comment negatively ni watu ambao wana stress za maisha, wameStuck hawawez kwenda mbele na umri unakimbia... Guys mtakufa masikini mkiendelea kujadili maisha ya watu.
uñahisi cc tunaojadili hatuna ajira au tupo tupo tuuuWatanzania wapumbavu sana, sasa mpo bize kujadili salary slip ya mtu wakati nyie hamkopesheki hata dukani kwa mangi kwasabab hamna kazi au ni kibarua. Mwenzenu ametimiza malengo yake ila nyie mnataka kutuaminisha amefeli... Na hapo baada ya miaka 3 anaweza kukopa tena... Maisha ni kuchagua... Nilichogundua wanao comment negatively ni watu ambao wana stress za maisha, wameStuck hawawez kwenda mbele na umri unakimbia... Guys mtakufa masikini mkiendelea kujadili maisha ya watu.
Wote (wewe na huyo ndugu unayemjibu) mpo sahihi kulingana na kipi mtu anaona ni value kwake. Values hutofautiana baina ya mtu na mtu.Akiachana na Kazi atafanya biashara kwa ufanisi zaidi.
Hiyo kuendelea kuajiriwa huku umejiajiri bado huna uhuru wa Kusimamia biashara, kimwili na kiakili.
Maybe kama ameamua awe moderate!!
CRDBMkuu ni bank ipi wana mfumo wa reducing balance? Tufahamishane tafadhali.
Ahsante kwa taarifa. Ila ngoja tutawatembelea huko kujifunza zaidi.CRDB
hapo utakuta aliyopewa ni 20 tu [emoji16]
Loan+interest=42,800,000
Thread closed.Nilichojifunza:
1. Kama ametumia huo mkopo kujengea nyumba, anailipia Kodi ya 451K na baada ya miaka michache nyumba itakuwa yake.
2. Kama amewekeza kwenye biashara yenye faida zaidi ya 451K kwa mwezi, mapato yake hayajaathirika na baada ya miaka michache atakuwa anajilipa nusu ya mshahara wa serikali.
3. Kama amewekeza kwenye starehe mkopo unamtesa.
Ukiona hela yako ni ya kuunga unga unatakiwa ufanye hivi
Jenga kijumba kidogo cha kukustri nyuma kwenye kiwanja. Mungu akikujalia ukilipwa mafao ndiyo unajenga nyumba ya mbele na wajukuu wanapata vyumba vyao wakija kusalimia.
Wengine wana bahati wakiwa kwenye vibanda vya uwani mble watoto wao wanamalizia. Si watoto wote wana msaada wengine utawalea mpaka unaingia kaburini.
Inamaana bank wanakula 20m sawa na mkopo...si ni utapeli huu
Karibia 95% ya watumishi wanaokopa kwa ajili ya biashara mambo huenda mrama (Ndivyo sivyo). Take it from me, dude.!
Kimsingi kama kawaida ya JF, mtoa Post alileta hoi post kwa lengo la kuponda utumishi wa umma ila majibu ya wadau mazuri na yanamvunja moyo. Yeye alitaka tuishambulie hiyo 300k anayoipata.
Mimi nina chini ya 500K kwa mwezi kama mshahara wangu toka TGS G sikuwa na loan board na nilikopa zaidi ya 40M ambayo inanisaidia kwenye mzunguko wa zaidi ya 1.2M kwa mwezi toka kwenye Kilimo, ufugaji wa ng'ombe wa maziwa, duka la Pembejeo na bodaboda za mkataba. Kumbuka nilishajenga na nipo kwangu hapo.
Inawezekana huo mkopo unamzalishia zaidi ya mshaharaRekebisha net uliyoiandika wewe..
Nilichojifunza
Mikopo inatesa
Nilichojifunza ni kuona mfuko wa PSSSF hauna hela, tutateseka sana kupata hela zetu, sio kwa contribution hiyo[emoji3064]View attachment 2200989
Basic salary: 940,000
......
Michango/makato yake
Chakuhawata contribution 5000
PSSSF 47,000
PAYE 94,200
Nmb bank loan 42,870,300 (451,266)
NHIF fund employees 28,200
......
NET AMOUNT DUE.. 314,333.68 Tshs
Mikopo inariba mfano ukichukua million 10 unatakiwa urudishe 17 kwa miaka labda 6 au saba...kwahyo unawezekana kabisa uyo jamaa alilamba 24 wakaikokotoa ndio anadaiwa 42
Mkopo gani wa Hivyo?
Yaani 10M urudishe 17M? Hiyo riba ni asilimia ngapi?
Ngumu kumeza
Ndo nini hiyo?Daah Mil 42.
-Chukua Mil 25 peleka UTT utapata zaidi au sawa na ayo makato ya kila mwezi 415k