Salary slip ya mwajiriwa fulani serikalini. Umejifunza nini kutoka kwa huyu kamanda?

Salary slip ya mwajiriwa fulani serikalini. Umejifunza nini kutoka kwa huyu kamanda?

Kama nimeelewa vizuri, hiyo mil.42 inahusisha principal na interest. Kwa hiyo inawezekana alikopa mil.25. Halafu inawezekana anakatwa kwa mfumo wa straight balance, ambao unaumiza zaidi. Tunapokopa tuulizie na mfumo wa marejesho. Mfumo rafiki wa marejesho ni reducing balance.
Mkuu ni bank ipi wana mfumo wa reducing balance? Tufahamishane tafadhali.
 
Unamshauri ujinga.....ajira aliyonayo ndio imemfanya apate hela ya kuwekeza kwenye hiyo shughuli inayompa 1.2 M,akichanganya na mshahara anaopata "kwa sasa" laki 3 ana 1.5M,hapo bado viposho vya hapa na pale,kumbuka halipi kodi ya nyumba......waza tena mkopo ukiisha maana yake mshahara wake tufanye atakunja 900k na biashara itakua imepiga hatua kutoka 1.2m hadi 1.6m,unadhani atakua na pesa ngapi kwa mwezi? kutoboa sio lazma uache kazi,unaweza kuendelea na kazi na biashara zikasonga pia.
Akiachana na Kazi atafanya biashara kwa ufanisi zaidi.

Hiyo kuendelea kuajiriwa huku umejiajiri bado huna uhuru wa Kusimamia biashara, kimwili na kiakili.

Maybe kama ameamua awe moderate!!
 
Watanzania wapumbavu sana, sasa mpo bize kujadili salary slip ya mtu wakati nyie hamkopesheki hata dukani kwa mangi kwasabab hamna kazi au ni kibarua. Mwenzenu ametimiza malengo yake ila nyie mnataka kutuaminisha amefeli... Na hapo baada ya miaka 3 anaweza kukopa tena... Maisha ni kuchagua... Nilichogundua wanao comment negatively ni watu ambao wana stress za maisha, wameStuck hawawez kwenda mbele na umri unakimbia... Guys mtakufa masikini mkiendelea kujadili maisha ya watu.
Hasira za nini mkuu.
 
Watanzania wapumbavu sana, sasa mpo bize kujadili salary slip ya mtu wakati nyie hamkopesheki hata dukani kwa mangi kwasabab hamna kazi au ni kibarua. Mwenzenu ametimiza malengo yake ila nyie mnataka kutuaminisha amefeli... Na hapo baada ya miaka 3 anaweza kukopa tena... Maisha ni kuchagua... Nilichogundua wanao comment negatively ni watu ambao wana stress za maisha, wameStuck hawawez kwenda mbele na umri unakimbia... Guys mtakufa masikini mkiendelea kujadili maisha ya watu.
uñahisi cc tunaojadili hatuna ajira au tupo tupo tuuu
acha dharau...!!


tuoneshe wako mm wangu ni huu [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
20220426_130420.jpg
 
Akiachana na Kazi atafanya biashara kwa ufanisi zaidi.

Hiyo kuendelea kuajiriwa huku umejiajiri bado huna uhuru wa Kusimamia biashara, kimwili na kiakili.

Maybe kama ameamua awe moderate!!
Wote (wewe na huyo ndugu unayemjibu) mpo sahihi kulingana na kipi mtu anaona ni value kwake. Values hutofautiana baina ya mtu na mtu.
 
Nilichojifunza:
1. Kama ametumia huo mkopo kujengea nyumba, anailipia Kodi ya 451K na baada ya miaka michache nyumba itakuwa yake.
2. Kama amewekeza kwenye biashara yenye faida zaidi ya 451K kwa mwezi, mapato yake hayajaathirika na baada ya miaka michache atakuwa anajilipa nusu ya mshahara wa serikali.
3. Kama amewekeza kwenye starehe mkopo unamtesa.
Thread closed.
 
Kwel kabisa
Ukiona hela yako ni ya kuunga unga unatakiwa ufanye hivi
Jenga kijumba kidogo cha kukustri nyuma kwenye kiwanja. Mungu akikujalia ukilipwa mafao ndiyo unajenga nyumba ya mbele na wajukuu wanapata vyumba vyao wakija kusalimia.

Wengine wana bahati wakiwa kwenye vibanda vya uwani mble watoto wao wanamalizia. Si watoto wote wana msaada wengine utawalea mpaka unaingia kaburini.
 
Hongera boss
Kimsingi kama kawaida ya JF, mtoa Post alileta hoi post kwa lengo la kuponda utumishi wa umma ila majibu ya wadau mazuri na yanamvunja moyo. Yeye alitaka tuishambulie hiyo 300k anayoipata.
Mimi nina chini ya 500K kwa mwezi kama mshahara wangu toka TGS G sikuwa na loan board na nilikopa zaidi ya 40M ambayo inanisaidia kwenye mzunguko wa zaidi ya 1.2M kwa mwezi toka kwenye Kilimo, ufugaji wa ng'ombe wa maziwa, duka la Pembejeo na bodaboda za mkataba. Kumbuka nilishajenga na nipo kwangu hapo.
 
View attachment 2200989

Basic salary: 940,000
......
Michango/makato yake

Chakuhawata contribution 5000
PSSSF 47,000
PAYE 94,200
Nmb bank loan 42,870,300 (451,266)
NHIF fund employees 28,200
......
NET AMOUNT DUE.. 314,333.68 Tshs
Nilichojifunza ni kuona mfuko wa PSSSF hauna hela, tutateseka sana kupata hela zetu, sio kwa contribution hiyo[emoji3064]
 
Uko sahihi kabisa
Mikopo inariba mfano ukichukua million 10 unatakiwa urudishe 17 kwa miaka labda 6 au saba...kwahyo unawezekana kabisa uyo jamaa alilamba 24 wakaikokotoa ndio anadaiwa 42
 
Back
Top Bottom