Salary slip ya mwajiriwa fulani serikalini. Umejifunza nini kutoka kwa huyu kamanda?

Salary slip ya mwajiriwa fulani serikalini. Umejifunza nini kutoka kwa huyu kamanda?

Sisi watumishi wa serikali ndo tunaelewa tunaishije,inshort sijui kwa kada za kawaida kama ualimu na udaktari lkn serikalini kwenye mashirika ya umma ns wizarani watu hatuishi kwa mishahara,mishahara ni kwa ajili ya kukopea tu,
Huo mshahara haujainclude ;
-over time ambayo mara nyingi huwa ni kianzia siku 20 kwa mwezi kwa rate ya kuanzia 30,000 kwa ofisa ambayo mtu anakuja 600,000,hiyo haikatwi kodi na ni fixed ipo kwnye standing order ya taasisi,
-kuna posho za vikao ambapo rate ni 100,000 kwa kikao na ofisa haipiti siku ukakosa kikao au kwa uchache walau kwa wiki una vikao vitatu,
-kuna madokezo ya posho,asilimia kubwa ya kzi serikali tunaandikia posho,kazi hiyohiyo niliyolipwa kikao pia naiandikia posho na jina la kwanza ktk dokezo la posho ni la mpitishaji malipo na wahasibu walipaji ambapo rate huwa ni kuanzia laki kwa siku,kama nimeandika kazi imefnyika kwa siku 7 nakunja laki 7 isiyokatwa kodi,etc,
Sijainclude safari,transport allowance,meal allowance etc,
Inshort mtumishi wa umma wa kwenye mashirika mengi na wizara hawaishi kwa mshahara,kwenda leo kazini kurudi na milipn 2 kawaida hapo nje ya rushwa na 10percent!1
Hahaha mbona unafichua siri ya kambi[emoji1787][emoji1787][emoji28]

Unawaumiza ujue

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mmmmh we jamaa una tamaa sana...kuwa makini humu jf shauri yako[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mkuu. Kama nilivyokujibu huko juu. Wengine tupo hapa kwa ajili ya kujifunza tu uhalisia wa mambo ulivyo. We unadhani ni rahisi mtu kubadili kazi kirahisi wakati sijui hata taaluma yake ni ipi?

Isitoshe wengine ajira siyo focus yetu tena. Tushapita hiyo hatua na sasa tunajitafuta wenyewe kwenye maisha.!

Kujifunza mambo ni vizuri maana unakuwa unaelewa maisha ya watu wengine yakoje. Bila shaka umenielewa mkuu.
 
Ile idea ya kununua bonds ikupate uwe na nyumba tatu, moja unaishi na mbili zinakupa laki saba kila mwezi. Ukitoa matengenezo unaweza kuwa na laki tano. Hii pesa na bado uwe unapata interest ya bonds zako BOT na una pension ya kila mwezi. Unaweza kumudu bia mbili kila jioni.
Bonds zenyewe nazo riba zimeshuka

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana kila siku nawapa pole watumishi wa umma wa bongo kwakweli wana moyo hako ka take home kenyewe kama hujajipanga unakufa ghafla maana hata wiki hakitoboi duh. Poleni sana
 
Hao chakuhawata wanapatikana wapi nijiunge nao.
Safari hii cwt hata Tshirt hawana
Screenshot_20220426-205157.png
 
Inategemea unalinganisha na nini. Kwa kulinganisha na huyo mwamba wa TGTS E1 anayeambulia 314 elfu,udalali unalipa.
NB nimechukua mfano wa kazi ya kujiajiri inayodharaulika kwa wengi usichukulie serious kila kitu humu japo kwa salary na takehome hiyo baada ya NMB kufanya yake ni bora kwenda kupiga udalali
jamani biashara ni ngumu aseee acheni tu mtu ukipata pakukupatia ata icho kdgo unashukuru
 
Mkuu. Kama nilivyokujibu huko juu. Wengine tupo hapa kwa ajili ya kujifunza tu uhalisia wa mambo ulivyo. We unadhani ni rahisi mtu kubadili kazi kirahisi wakati sijui hata taaluma yake ni ipi?

Isitoshe wengine ajira siyo focus yetu tena. Tushapita hiyo hatua na sasa tunajitafuta wenyewe kwenye maisha.!

Kujifunza mambo ni vizuri maana unakuwa unaelewa maisha ya watu wengine yakoje. Bila shaka umenielewa mkuu.
Unajifunza JF?..
Be careful

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2200989

Basic salary: 940,000
......
Michango/makato yake

Chakuhawata contribution 5000
PSSSF 47,000
PAYE 94,200
Nmb bank loan 42,870,300 (451,266)
NHIF fund employees 28,200
......
NET AMOUNT DUE.. 314,333.68 Tshs
Itamchukua karibu miaka ijayo 8 kumalizia deni la mkopo kwa rate ya marejesho anayofanya. Kama hana another source of income, ajipange. Laa sivyo, depression inamsogelea
 
Mnhh...🤣🤣🤣🤣
Milioni 42!!!?!!
Huo mkopo kunamchezo kachezewa na afisa mikopo wa hiyo bank kilichopo hapo kuna deni analilipa sio lake kwa sababu kwa makato ya huo mkopo +total interest+total loan to be payed + term in years naona haikokotoleki. Iwe mkopo wa mda mfupi au wa mda mrefu, unless kama kafanya topup au kahamisha madeni yake kutoka bank zingine inagawa bado hesabu zina goma.
 
Inawezekana hata huo mshahara haugusi,biashara zinalipa sana nawaza labda ana bajaj zake mbili kila moja inaleta hesabu ya 20k so anapiga 40k daily,anaduka amelitega sehemu yenye mzunguko mzuri,mnawaza only one side kwamba anateseka na laki3 lakini inawezekana anaenjoy sana maisha baada ya huo mkopo.Kingine Huyu ni muajiriwa mzoefu tayari anajua anachofanya
Bajaj ya kukupa Tsh.20,000/= kwa sasa ni bahati sana wengi wapo kwenye 15,000/ kwa sasa
 
Itamchukua karibu miaka ijayo 8 kumalizia deni la mkopo kwa rate ya marejesho anayofanya. Kama hana another source of income, ajipange. Laa sivyo, depression inamsogelea
Huu mkopo sijauelewa kwakweli nahisi kuna namna
 
Back
Top Bottom