Tetesi: Salim Abdallah ‘Try Again’ katika jaribio la kumng’oa Mo Dewj Simba!

Tetesi: Salim Abdallah ‘Try Again’ katika jaribio la kumng’oa Mo Dewj Simba!

Huna unachokijua wewe, huyo Mo sasa hivi analazwa na viatu na Try Again.

Mangungu wameungana na Try Again, sio vita rahisi kwa Mo.
We. Mjinga sana hujui hata muundo wa Simba ulivyo kiuendeshaji.


Try again ni mwenyekiti upande wa mwekezaji na Mangungu ni mwenyekiti upande wa wanachama. Mangungu alichaguliwa na wanachama.

Try again aliteuliwa na Mo. Muda WOWOTE anaweza kumpiga chini!


Umbea kafanye Kwa Wakina Gigi money
 
Ngoja tuone huu mchuano utaishaje.

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.


22. Masandakolozidad SC.
 
1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.


22. Masandakolozidad SC.
Kumbe ni wewe?
 
Try Again ameteseka sana na timu. Hivi tunavyozungumza Mo amepiga panga posho zote kwa wachezaji ndio maana unaona timu inayumba.
Usajili walifanya mbovu sababu ya kukosa sapoti ya Mo, yeye Try Again atapata wapi pesa za kufanya usajili wa maana?
Wewe ni propagandist


Wewe unasema timu hizi za yanga na Simba zina mikono ya serikali Sasa mbona unasema tajiri wa Simba ameitelekeza na hatuoni hiyo serikali wakitia hata 100 kusaidia timu


Pale yanga kipind manji katoka timu ilikuwa inachangiwa Hela viwanjani mbona hatukuona serikali ikiisaidia hata laki 1.



Wewe ni mjinga unaeokoteza Habari kwenye vilinge vyako vya Umalaya
 
Back
Top Bottom