Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Sawa sawa uko sahihiZahera wala hakuwa na tajiri kutoka Congo bali ni wajanja wa hapa hapa Bongo wakina Ndama na wenzake waliokuwa wananufaika na utengenezaji was jezi za Yanga,kila wiki walikuwa wanafyatua jezi mpya.