Uchaguzi 2020 Salum Mwalimu: Tumepata taarifa zipo Taasisi za Umma zinagharamia Kampeni za Mgombea wa CCM

Uchaguzi 2020 Salum Mwalimu: Tumepata taarifa zipo Taasisi za Umma zinagharamia Kampeni za Mgombea wa CCM

Na Kwa nini aseme kabla hajakamilisha uchunguzi? Huo ndio upumbavu!!
We wa ajabu kweli maskini!!!. Mbona hujawahi kuwashangaa mtu anapopelekwa mahakamani halafu hakimu akatangaza kesi imeahirishwa mpaka tarehe fulani? Kwa nini sasa akapelekwa mahakamani kabla ya uchunguzi kukamilika?
 
Lissu anawapoteza sana babadhi UA watanzania ,kampeni zikiisha Lissu anakimbia zake kwa mabeberu wake ,huyu hana pa kwenda eti naye kamwamini lissu kuwa mwaka huu lazima wachukue dola

CHADEMA wanapoteza muda wao kwa kuamini kuamini kuwa wanaweza itoa CCM madarakani,hizi ni ndoto za mchana kweupe,
Mzalendo was kweli hawezi kukimbia,ila kwa mzalendo maslahi mbiooo.
 
Najua anaisema BoT.. BoT haigharamii kampeni za CCM.. Yenyewe inatoa pesa na kuzipeleka NEC ili NEC iweze kulipia gharama za kuandaa uchaguzi.... Mwalimu atakuwaje makamu wa Rais iwapo ana upeo mdogo namna hii wa kushndwa kuchambua mambo rahisi namna hii?
Mkuu hao uelewa wao ni mdogo sana!
 
We wa ajabu kweli maskini!!!. Mbona hujawahi kuwashangaa mtu anapopelekwa mahakamani halafu hakimu akatangaza kesi imeahirishwa mpaka tarehe fulani? Kwa nini sasa akapelekwa mahakamani kabla ya uchunguzi kukamilika?
Umaajabu wangu unawapa akili wapumbavu kama huyo na wewe pia! Hapa Umeona kuna mtu kapelekwa mahakamani?
 
hiyo iko waz ccm inatumia hela za sirikali.. kufnya Fiesta haiitaji hata ushaidi linafahamika
 
Tajiri, ndio maana wahenga walisema Mungu si Athumani. Yaani angetuachia mamlaka yake kwa dakika tu tungetandikana sana.
Hata hivyo yeye ni upendo na maandiko yanatuambia, “He is slow to anger....” Kwa kiswahili:
Mwenyezi Mungu ni mwenye rehema na huruma; ni mvumilivu na mwingi wa fadhili. Zaburi 103:8
Umeniita jina ninalostahili , ubarikiwe sana
 
Huna ushahidi unaropoka? Pumbavu!!!
Wewe ni Zombii la mtandaoni huna akili wala hujielewi ndio maana inatumika mitandaoni kwa malipo ya elfu saba.

Wanaume wote na watu tunaojiamini tuna uwezo wa kumuonya Magufuli kuhusu matumizi mabaya ya pesa za umma.
 
Yaani hawa jamaa 'zangu' sijui kama wanajua wako kwenye kampeini...ya kunadi sera zao ili wananchi wawaelewe!
Yaani wanageuza kampeni kuwa mikusanyiko ya kiharakati....! ukweli wataabika sana mwishoni mwa Octoba 2020.
 
Ukisoma michango ya watu kwenye hii mada lazima uamini kuna watu wanalipwa ili tu kujibu ujinga.
Sio kulipwa tuu, wengine wanajitolea kama mfumo wa JKT walio ambiwa jitolee ukifika wakati wa ajira utakumbukwa
 
Lissu anawapoteza sana babadhi UA watanzania ,kampeni zikiisha Lissu anakimbia zake kwa mabeberu wake ,huyu hana pa kwenda eti naye kamwamini lissu kuwa mwaka huu lazima wachukue dola

CHADEMA wanapoteza muda wao kwa kuamini kuamini kuwa wanaweza itoa CCM madarakani,hizi ni ndoto za mchana kweupe,
Mabeberu wale waliomtafuna Gwajiboi kawe sio
 
Kasema wanakamilisha ushahidi.
Hao kuwaelewesha ni taabu kweli, ni mizigo!
Ila majitu ya huko ni ya kuonea huruma tuu. Kama the big boss ana elimu ya 'Dhp' na uelewa wake ni kiwango cha ngumbavu unategemea hao vuvuzela wake waweje?
 
Yaani hawa jamaa 'zangu' sijui kama wanajua wako kwenye kampeini...ya kunadi sera zao ili wananchi wawaelewe!
Yaani wanageuza kampeni kuwa mikusanyiko ya kiharakati....! ukweli wataabika sana mwishoni mwa Octoba 2020.
Akina Nani uwe unafafanua tukuelewe.
 
Hizo taasisi unazozisema zinafadhiri kampeni za mgombea wa ccm ni taasisi ya serikali ya chama cha mapinduzi.
 
Back
Top Bottom