Salumu Hamduni: TAKUKURU hatuna nia wala sababu ya kumkamata Makonda

Salumu Hamduni: TAKUKURU hatuna nia wala sababu ya kumkamata Makonda

Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.
Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.View attachment 1811801

Anaweza kuwa amekanusha kweli ila hayo maneno hapo hawezi kuwa kayasema. Hawezi nakataa!
 
Ni ile ile!

Waseme tu huenda wanahofia Mwendazeke kuwa implicated kwenye kesi za Bashite and nothing else.

Mbio za Mama ni za sakafuni tu, soon atakuwa mpole unless awe tayari vigogo wengi kuwajibika kitu ambacho kamwe hatoweza.

Na pia inawezekana lengo hapa ni kumuokoa Diamond katika kipindi hiki cha tuzo za BET kwani anahusishwa na Makonda.
Huyo dogo Anna Siri nyingi mno za wachafu wote wakubwa ndani ya nchi Hii...hawezi kukamatwa
 
Ni ile ile!

Waseme tu huenda wanahofia Mwendazeke kuwa implicated kwenye kesi za Bashite and nothing else.

Mbio za Mama ni za sakafuni tu, soon atakuwa mpole unless awe tayari vigogo wengi kuwajibika kitu ambacho kamwe hatoweza.

Na pia inawezekana lengo hapa ni kumuokoa Diamond katika kipindi hiki cha tuzo za BET kwani anahusishwa na Makonda.

Ila humu JF. Hakuna mtu mpumbavu na mnafiki kama wewe. Kitu kisipofit akili na ujinga wako, utajitahidi useme tu ila mradi. Hivi unaendaga uwani na kuona unachotoa. Sisi wote binadamu tunaenda. Embu jichunguze Maisha yako then Ona Kama una usafi wa kiasi gani unaokufanya usiende chooni. Tafuta kitu cha kufanya.
 
This boss of PCCB is so smart. He is fooling this imbecile so that he (imbecile) can be investigated and cornered appropriately.

Sadist huwa hakosi la kusema. Anaona Ana akili kuliko Serikali na wahudumu Wake. Yeye ndio mwema na msafi.

Punguza kuota na fanya kazi na kama huna. Unaweza andika hata wasifu wa Lema.
 
Views: 1,179
Reply: 35

Mambo yameenda kinyume na matarajio yetu tunaoamini kuwa "aliye juu akiporomoshwa tunapanda sisi"
Life is not a war, it's not a contest, and it's not a race. Life is BEING!
Aibuuuu!
 
Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.

Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.

Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.

View attachment 1811801
Hapa ndipo Takukuru watajivunjia heshima endapo wameanza kumtetea Bashite Paul makonda ambaye ni mtu muovu kupata kutokea Nchini Tanzania
 
Mkurugenzi wa Takukuru bwana Salumu Hamduni amewataka watanzania kupuuza uvumi wa kwamba wamemkamata na kumhoji aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda.

Salumu Hamduni amesema hawana nia wala sababu ya kumkamata Paul Makonda kwani ni kijana safi na mchapakazi hodari na mzalendo wa kweli kwa nchi yake.

Paul Makonda ndiye aliyewataja wauza madawa ya kulevya na kusababisha madawa hayo pamoja na mateja mtaani kuisha kabisa.

View attachment 1811801

Nchi ikingia kwenye mtego wa revenge and witch hunt, there’s no permanent winner or permanent loser side. Atokee pimbi wa kuziendekeza aone!
 
Nilisema hapa mnauziwa matango pori na Kigogo, Makonda ana network ndefu.
Mkurugenzi wa Bandari alikamatwa na pesa nyingi lakini akawagawia kesho yake boss wa Takukuru akaenda hewani kukanusha kuwa hakushikwa na pesa matokeo yake atatumbuliwa sasa yupo tu anasoma magazeti, huu utetezi dhidi ya Bashite makonda ni utetezi haramu na wa kishetani na hii ya kumtetea Bashite itakuja kuwafanyia watu waombe kufanya maandamano ya amani
 
Ni ile ile!

Waseme tu huenda wanahofia Mwendazeke kuwa implicated kwenye kesi za Bashite and nothing else.

Mbio za Mama ni za sakafuni tu, soon atakuwa mpole unless awe tayari vigogo wengi kuwajibika kitu ambacho kamwe hatoweza.

Na pia inawezekana lengo hapa ni kumuokoa Diamond katika kipindi hiki cha tuzo za BET kwani anahusishwa na Makonda.
We ndo jinga kweli yani,Yani diamond aingie kwenye huo upuuzi.

Ile ni tuzo na ina competition yeyote aanachukua na si ya kwanza.Tatzo mmevamia bogi kutaka kushika kila kitu kwa pamoja,vp petition imefikia ngapi huko?

Muda mwingine mnajishushia heshima sana,si wakubwa si wadogo ndo Mana mnakoga vumbi la matusi ya vijana wa mitandaoni tena na wengine Walikua wafuasi wenu kabisa.

Pambanen na makonda wenu mmalizane hukohuko
 
Ni ile ile!

Waseme tu huenda wanahofia Mwendazeke kuwa implicated kwenye kesi za Bashite and nothing else.

Mbio za Mama ni za sakafuni tu, soon atakuwa mpole unless awe tayari vigogo wengi kuwajibika kitu ambacho kamwe hatoweza.

Na pia inawezekana lengo hapa ni kumuokoa Diamond katika kipindi hiki cha tuzo za BET kwani anahusishwa na Makonda.
Utabaki kulia lia tu
 
Ni ile ile!

Waseme tu huenda wanahofia Mwendazeke kuwa implicated kwenye kesi za Bashite and nothing else.

Mbio za Mama ni za sakafuni tu, soon atakuwa mpole unless awe tayari vigogo wengi kuwajibika kitu ambacho kamwe hatoweza.

Na pia inawezekana lengo hapa ni kumuokoa Diamond katika kipindi hiki cha tuzo za BET kwani anahusishwa na Makonda.
Pumbavvvv eti kumuokoa Diamond.
 
Back
Top Bottom