Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Kuna nyuzi zingine mods muwe mnaweka ANGALIZO kabla ya kufungua tunaharibiana siku bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mara ya kwanza umeandika kitu chenye maana.Hawa watu jamii ya mleta mada ndio wanapigia promo hawa machoko,unaanzisha uzi wa kujiulizisha huku ukiwa na majibu yako tayari,
Acheni kuwapa promo hawa watu kabla hatujaamua na nyie kuwaweka kwenye kundi moja nao.
Huyu mtu ni Deleted01 kiongozi wa timu kataa ndoa.
Na anakuja mkoa uliopo 😂😂 gym flan iko Njiro. Sijui niende nikamzoom live 😁😆Anakishuzii.....
Wewe hujawahi kuandika kitu chochote chenye maana,Kwa mara ya kwanza umeandika kitu chenye maana.
Kongole kwako.
Exactly Yes. More than RUBBISH.Rubbish
Kumbe yupo kibiashara zaidi etieee.Ana jina lake anaitwa DLAMIN aka king of squart ni gym trainer mzuri saaana,yawezekana ni bora kabisa Afrika,anatumia nyimbo haswa za tamaduni za kisouth huko,ni mzalendo sana huyo bwana, hata mi nilijuaga bwabwa ila kumbe sio japo sijachimba sana historia yake
Linda sana hisia zako, zinatengeza nishati.Huyu hapaswi kukaribishwa huko Tanzania! Ana element za ushoga ! I hate mashoga at maximum , ndo maana kwenye nchi za watu naitwa mbaguzi! Akiwapo shoga kwenye hotel siingii
Britanicca
Kabinti ka Simba kamesema.... 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣King of squats huyu jamaa amenifanya nizidi kuchukia squats, huo muonekano wake ni moja ya mionekano ambayo siipendi, kuliko kuwa hivyo ni heri niwe mwembamba kuanzia juu mpaka chini kama moja
Tako haimaanishi ushoga mkuu.Kuna wa hovyo kuzidi wewe unayetetea mwanaume kuwa na tako kama shoga? Ndiyo maana tumetaka tuone na tako lako