Samahani wanaume naomba kuwauliza swali

Samahani wanaume naomba kuwauliza swali

Habari za masiku?
Sorry,naomba mnijibu hili swali wanaume wa humu ndani huenda likanisaidia katika safari yangu hii na mwenzangu.
Ni hivi,kuna muda fulani huenda kutokana na majukumu mengi na kujawa na stress kibao kuna muda mtu unakosa hata hamu ya kujunjana,lakini inatokea mwenzangu anataka,sawa ili nisipelekwe kwa baroz nyumba kumi kuwa namnyima unyumba mwenzangu naamua kukubali kusex.Sasa shida inakuja kwenye kufika kileleni inabidi nipretend nimefika kwa namna yoyote ili nawe umalize tu uinuke niwe huru from mbanano.
Swali langu ni hili,hivi huwa mnagundua kwamba hatukufika Kibo na Mawenz ila tumepretend kwamba tumefika?
Huwa tunajua Sana tu
 
Mercy kwani umeshaolewa?
Habari za masiku?
Sorry,naomba mnijibu hili swali wanaume wa humu ndani huenda likanisaidia katika safari yangu hii na mwenzangu.
Ni hivi,kuna muda fulani huenda kutokana na majukumu mengi na kujawa na stress kibao kuna muda mtu unakosa hata hamu ya kujunjana,lakini inatokea mwenzangu anataka,sawa ili nisipelekwe kwa baroz nyumba kumi kuwa namnyima unyumba mwenzangu naamua kukubali kusex.Sasa shida inakuja kwenye kufika kileleni inabidi nipretend nimefika kwa namna yoyote ili nawe umalize tu uinuke niwe huru from mbanano.
Swali langu ni hili,hivi huwa mnagundua kwamba hatukufika Kibo na Mawenz ila tumepretend kwamba tumefika?
 
Ufeki usifeki mi nishapiga magoli yangu kadhaa safiii.On a serious note, ni bora useme ukweli unaoumiza kuliko kusema uongo unaoleta faraja feki.
Wanaofeki orgasm ni "visungura tope". Mke akianza kufeki orgasm basi ujue hapo kuna walakini usio kifani.
 
Ufeki usifeki mi nishapiga magoli yangu kadhaa safiii.On a serious note, ni bora useme ukweli unaoumiza kuliko kusema uongo unaoleta faraja feki.
Wanaofeki orgasm ni "visungura tope". Mke akianza kufeki orgasm basi ujue hapo kuna walakini usio kifani.
Nakubaliana nawe
 

Attachments

  • IMG_20190602_124825.jpg
    IMG_20190602_124825.jpg
    269.5 KB · Views: 18
Sasa kama mke wako kabisa anadanganya kuwa ame-cum wakati sio kweli, nitamsaidia vipi?

Hakuna kitu kibaya katika mahusiano kama kuishi fake, be real!
Wanawake wengi wana-fake lakin hawafiki popote.
 
Back
Top Bottom