Hapo ni logic tu ndio shida, mimi nilikuwa tayari kulipia bei ya ugali nyama lakini anipe nyama ya kuongezea tu kwenye sahani ya kwanza niliyokuwa nimenunua tayari, kwa hiyo hata kama ugali wake ungebaki isingekuwa ni hasara.Mama ntilie atakwambia nyama ikiisha ugali wake utabaki, hivyo anauza vyote.
Lishe bora ni nini na chakula ni nini?
Sasa mkuu wewe huoni kuwa hapo ni kuwa kwa mama ntilie huku kuna matajiri kama utajiri utapimwa kwa namna hiyo. Swala liko hivi, kwa wenzetu hivyo vyakula ni adimu sana, ndio maana unakuta hata hawali vyakula fresh. huku kwetu samaki, kuku, unaweza kwenda tu mtoni, baharini ukakamata na kula.Sisi ni matajiri mkuu, uliza wageni wote wakija huku kwetu wanachanganyikiwa na vyakula fresh wanavyokuta huku.Kwenye hoteli kubwa zote, na nyingi za kati menu ya chakula kikuu huwa ni samaki, kuku, nyama ya ng'ombe, mbuzi kitimoto na nyinginezo halafu ndio unachagua utakula na nini ikiwa ni ugali, wali, viazi n.k
Kwenye hizi hoteli bei ya chakula inapimwa kwa samaki, kuku na nyama kisha (wanga) ambao ni ugali, wali, ndizi, viazi n.k inakuwa nyongeza tu, ina maana hata usipokula wanga utalipa bei ile ile tu ya nyama, kuku au samaki. Kama wewe sio mla nyama bei itabadilika.
Sasa kwa mama ntilie inakuwa kinyume chake, chakula kikuu ni wanga ambao ni ugali, wali, ndizi n.k halafu nyama, kuku, samaki inakuwa kama nyongeza tu. Halafu huwezi kusema unataka kula nyama, kuku au samaki tu, ukitaka hivyo huwezi kuuziwa chakula na inaweza kuzua hata ugomvi!
Na nyumba nyingi za Watanzania ulaji ni kama huo wa mama ntilie, hii inaweza kumaanisha uduni wa maisha japo tunajigamba kuwa na chakula kingi.
Sio dalili ya umasikini, ni umasikini.Kwenye hoteli kubwa zote, na nyingi za kati menu ya chakula kikuu huwa ni samaki, kuku, nyama ya ng'ombe, mbuzi kitimoto na nyinginezo halafu ndio unachagua utakula na nini ikiwa ni ugali, wali, viazi n.k
Kwenye hizi hoteli bei ya chakula inapimwa kwa samaki, kuku na nyama kisha (wanga) ambao ni ugali, wali, ndizi, viazi n.k inakuwa nyongeza tu, ina maana hata usipokula wanga utalipa bei ile ile tu ya nyama, kuku au samaki. Kama wewe sio mla nyama bei itabadilika.
Sasa kwa mama ntilie inakuwa kinyume chake, chakula kikuu ni wanga ambao ni ugali, wali, ndizi n.k halafu nyama, kuku, samaki inakuwa kama nyongeza tu. Halafu huwezi kusema unataka kula nyama, kuku au samaki tu, ukitaka hivyo huwezi kuuziwa chakula na inaweza kuzua hata ugomvi!
Na nyumba nyingi za Watanzania ulaji ni kama huo wa mama ntilie, hii inaweza kumaanisha uduni wa maisha japo tunajigamba kuwa na chakula kingi.
Nlitaka kusena hivi ...yani hizi social media platforms kama una moyo wa shilole huwezi toboaLakini si tunashiba
Ukiweka factor ya kutopata constipation pembeni, kujaza tumbo kunakufanya uende chooni mara nyingi zaidi.Mkuu ukila vizuri ndio unaenda chooni mara nyingi, ulaji mbaya wa kufakamia wanga kama ugali, wali na chapati kwa wingi huku inayoitwa mboga ikiwa kidogo ndio huwafanya watu waende chooni mara chache sana au hata kupata constipation kabisa.
Inabidi aongee kisayansi , kibailojia kuwa miili yetu inahitaji Nini kwa wakati gani, umri uliopo, kazi unayoifanya , uzito wako, na sio kuongea kwa hisia zake tu ama Imani. Binafsi nikipata viazi/mihogo ikiwa na mboga za majani , matunda kikombe Cha maziwa nashukuru mno asili kwa kunipatia chakulanafikiri labda unachanganya kati ya chakula na lishe bora, chakula hata majani ukila ukashiba ni chakula pia, lkn lishe bora ni kitu kingine kabisa hata huko hotelini unakokusifia inawezekana hata wanayokupa siyo lishe bora pia pmj na madoido yote, …
Ngoja tumuulize kwanza huyu mshikaji wetu, et GENTAMYCINE we unakula nini kama lishe bora huko UGANDA?Kumbuka utamaduni wa kula si lazima uwe na SI unit
Je, mtoto wa mwezi mmoja utamlisha nyama gani Kati ya samaki, kuku na Ng'ombe?
Mgonjwa dhoofu utamlisha nyama gani?
Lengo la kula Ni kupata viini lishe ( nutrients) katika mwili
Sukari, protini, mafuta, vitamini
Hapo Ni juu yako kuamua ule Nini Kama sources za lishe hizo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Rule of thumb, binadamu anatakiwa kula wanga na mafuta kidogo ukilinganisha na makundi mengine ya chakula.Inabidi aongee kisayansi , kibailojia kuwa miili yetu inahitaji Nini kwa wakati gani, umri uliopo, kazi unayoifanya , uzito wako, na sio kuongea kwa hisia zake tu ama Imani. Binafsi nikipata viazi/mihogo ikiwa na mboga za majani , matunda kikombe Cha maziwa nashukuru mno asili kwa kunipatia chakula
Siku ukifanikiwa kula angalau katika hotel ya nyota tatu ndio utaelewa nilichoandika.Unaongea upumbavu tu.
Iwe hotell au mama ntilie mpango ni huo huo tu mabadiliko ni set upp ya sahani.
Huku utawekewa ugali mwingi nyama kidogo,
Huku wali kibao kuku paja mbogamboga,.
Hotel hivyo hivyo utalipa bei zaidi tu.
Kwako ni hivyohivyo unapika kwa taste unayotaka.
Vyakula ni hivyohivyo tu hamna jipya.
Kwa hiki chakula nakupa mwezi mmoja aisee una obesity.Inaitwa Olympic breakfast inakuwa na mchanganyiko wa
- Soseji
- Mayai mawili ya kukaanga
- Uyoga
- Viazi vilivyokaangwa vikakauka vizuri ama chips
- Nyanya kipande unaila ikiwa mbichi
- Maharage yasiyokaangwa
- steak ndogo ya kipande cha nyama sio mbaya sana
- Mkate pia ukiweka slace mbili sio kesi.
Kuna siku nimenunua samaki peke yake nikaonekana najimwambafy.kuna sehemu nilitaka kununuA nyama choma peke yake, nikaambiwa lazima ninunue na ugali
Napika kila siku hotel ya nyota tano,Siku ukifanikiwa kula angalau katika hotel ya nyota tatu ndio utaelewa nilichoandika.
Breakfast inatakiwa iweje?Kwa hiki chakula nakupa mwezi mmoja aisee una obesity.
Sio chakula cha afya hiki maana kina content nyingi ya fats na pia kuna content nyingi ya nyama nyekundu mathalan soseji.
Nyanya haifai kuliwa sana mbichi maana haikawii kusababisha prokaryotes wa minyoo.
Majibu ya swali lako yapo kwenye buffet.Kwenye hoteli kubwa zote, na nyingi za kati menu ya chakula kikuu huwa ni samaki, kuku, nyama ya ng'ombe, mbuzi kitimoto na nyinginezo halafu ndio unachagua utakula na nini ikiwa ni ugali, wali, viazi n.k
Kwenye hizi hoteli bei ya chakula inapimwa kwa samaki, kuku na nyama kisha (wanga) ambao ni ugali, wali, ndizi, viazi n.k inakuwa nyongeza tu, ina maana hata usipokula wanga utalipa bei ile ile tu ya nyama, kuku au samaki. Kama wewe sio mla nyama bei itabadilika.
Sasa kwa mama ntilie inakuwa kinyume chake, chakula kikuu ni wanga ambao ni ugali, wali, ndizi n.k halafu nyama, kuku, samaki inakuwa kama nyongeza tu. Halafu huwezi kusema unataka kula nyama, kuku au samaki tu, ukitaka hivyo huwezi kuuziwa chakula na inaweza kuzua hata ugomvi!
Na nyumba nyingi za Watanzania ulaji ni kama huo wa mama ntilie, hii inaweza kumaanisha uduni wa maisha japo tunajigamba kuwa na chakula kingi.
kabisa na sijui nani alileta hii Idea,Kwenye hoteli kubwa zote, na nyingi za kati menu ya chakula kikuu huwa ni samaki, kuku, nyama ya ng'ombe, mbuzi kitimoto na nyinginezo halafu ndio unachagua utakula na nini ikiwa ni ugali, wali, viazi n.k
Kwenye hizi hoteli bei ya chakula inapimwa kwa samaki, kuku na nyama kisha (wanga) ambao ni ugali, wali, ndizi, viazi n.k inakuwa nyongeza tu, ina maana hata usipokula wanga utalipa bei ile ile tu ya nyama, kuku au samaki. Kama wewe sio mla nyama bei itabadilika.
Sasa kwa mama ntilie inakuwa kinyume chake, chakula kikuu ni wanga ambao ni ugali, wali, ndizi n.k halafu nyama, kuku, samaki inakuwa kama nyongeza tu. Halafu huwezi kusema unataka kula nyama, kuku au samaki tu, ukitaka hivyo huwezi kuuziwa chakula na inaweza kuzua hata ugomvi!
Na nyumba nyingi za Watanzania ulaji ni kama huo wa mama ntilie, hii inaweza kumaanisha uduni wa maisha japo tunajigamba kuwa na chakula kingi.
Chakula lengo lake sio kishiba,Lakini si tunashiba
Jamaa anazungumzia kuchukulia Nyama, samaki kama mboga, hicho ni chakula, haijalishi.nafikiri labda unachanganya kati ya chakula na lishe bora, chakula hata majani ukila ukashiba ni chakula pia, lkn lishe bora ni kitu kingine kabisa hata huko hotelini unakokusifia inawezekana hata wanayokupa siyo lishe bora pia pmj na madoido yote, …