Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu jicho gani ilo unalolizungumzia?Mh langu jicho langu jicho langu jichooo nanyamaza
[emoji10] [emoji10] [emoji11] [emoji11] [emoji11]Wanaume kukazwa -dar
wanaume kupaka kutoboa masikio -dar
wanaume kiepe yai -dar
wanaume wambea, udaku, majungu -dar
wanaume midosho -dar
Hakika Dar imebakiwa na mifano ya wanaume..
Huyo hawezi kua mwanaue halisi iko shida mahari si bureHivi huko Dar kuna homa gani iliyowakuta wanaume wa huko
Acha ujinga wewe,nani kakwambia Chamazi ndo wamejaa wanaume wakuda?wajameni Dar kubwa, sio wote tunakaa Chamazi.
Aiweke hiyo email hapa tujue kama sio uzushiHuyo mpenda bodaboda na bajaji ambaye Hana hata passport akatae kwenda ulaya?
😀😀 ni mwana WWD huyu, achana naye!Nikikuelewa ntakujibu.
Huyu naye sijui kaandika nini sasa.inajipendekeza kwasababu wewe hauna wa kukufuata.labda wewe ndio uwafuate.
swissme
[emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Star mwneyewe huyo huyo mmoja mnamuaharibia Kama Hashim thabit
Samata Ni star wetu ambaye toka akiwa kijana Mdogo sana wakati yuko TP Mazembe hajawahi kuwa Na kashfa yoyote ya kutoka Na hao mastar wa bongo muviii,sasa ije iwe leo kaisha pevuka ndio atoke Na huyo sura IST Na Body ya Hummer!ngoja tusubilie huo ushahidiAiweke hiyo email hapa tujue kama sio uzushi
Wataiacha tu mkuu itapita kama ilivyopita ya wasukumaIyo phrase ya "wanaume wa dar es salaam" sucks...inaboa, ishakuwa too much.