Tetesi: Samata achezea za mbavu kwa Gigy Money

Tetesi: Samata achezea za mbavu kwa Gigy Money

Wanaume kukazwa -dar
wanaume kupaka kutoboa masikio -dar
wanaume kiepe yai -dar
wanaume wambea, udaku, majungu -dar
wanaume midosho -dar

Hakika Dar imebakiwa na mifano ya wanaume..
[emoji10] [emoji10] [emoji11] [emoji11] [emoji11]
 
wajameni Dar kubwa, sio wote tunakaa Chamazi.
Acha ujinga wewe,nani kakwambia Chamazi ndo wamejaa wanaume wakuda?

Kwa taarifa yako wanaume wa ukweli hapa Dar wapo wilayani Temeke hususani Mbagala na hasa maeneo ya Chamazi.

Wanafiki wapo kwa wingi huko Ilala yote kuanzia mchikichini,boma mpaka sharif shamba. Pia kinondoni yote wanaume wa kule ni vibiriti ngoma na ndo maana panya road waliwatetemesha hadi kufikia hatua eti wanaume zaidi ya 10 kujificha chini ya Vitz na wakatosha.
 
Huyu sister atskuja kupotea tu km yule aliekuwa anajiita Aunt Lulu...alikuwa anatumia skendo kujulikana...watu wakamchoka.
Tumia kipaji sio skendo mfu
 
Aiweke hiyo email hapa tujue kama sio uzushi
Samata Ni star wetu ambaye toka akiwa kijana Mdogo sana wakati yuko TP Mazembe hajawahi kuwa Na kashfa yoyote ya kutoka Na hao mastar wa bongo muviii,sasa ije iwe leo kaisha pevuka ndio atoke Na huyo sura IST Na Body ya Hummer!ngoja tusubilie huo ushahidi
 
Back
Top Bottom