Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Inaonyesha hata yeye kuwa muislamu kwako unaona ni udini...Ana Mashabiki Wengi Nchini, Ila Kwa Kujenga Msikiti Ndani Ya Jumba Lake Ni Udini Mtupu, Bora Ajenge Jumba Jingine Na Ndani Yake Aweke Kanisa Itapendeza Sana Kwa Mashabiki Wake Wasio Waislam
Samatta ni rais wa nchi gani mpaka unataka afanye haya kwa kodi yako?.. Umekomaa nakuona tu .Akina Kanu waliishia kujenga taasisi ya kutibu magonjwa ya moyo yeye anajenga msikiti kana kwamba nchi watu wote wataenda kusali pale. Mafanikio yake alenge kunufaisha wengi, msikiti ni kitu gani kwa nchi isiyofuata na kuongozwa kwa misingi ya imani hiyo? Bora angejenga kituo cha kukuza na kuendeleza mchezo wa soka kwa chipukizi. Yeye ni mwanasoka mambo ya kujenga msikiti angewaachia masheikh wajenge hata kama yeye ni mfadhili. Inapendeza zaidi kujenga miradi ya kitaifa siyo nyumba ya ibada. Kama anampenda mungu wake na anataka kumtolea sadaka ipo misikiti akatoe huko
Mkuu kwa maana ya kuchukua UEFA au EPL akiwa Everton ni kweli atachemsha... Ila EPL anacheza acheni uoga wakati jitihada na uwezo ni wake na yeye anajua England ni ligi ya aina gani?Anaweza enda akaucheza lakini. Ila mimi mwenyewe naona angebaki genk. Kuna wachezaji wengi sana england wanasugua. Mpaka uwe mfayiliaji sana wa mpira ndio unaweza kuwajua.
Mtu kama bachuayi, niasse, kone, ni wazuri tu na wamechemsha.
Harafu ukkshachemsha pale hata soko lako linashuka.
Huyu Batshuayi unaemsema amecheza chelsea japo mechi nyingi ametokea sub... Akapelekwa mkopo Valencia ya LA LIGA amecheza hadi UEFA..Anaweza enda akaucheza lakini. Ila mimi mwenyewe naona angebaki genk. Kuna wachezaji wengi sana england wanasugua. Mpaka uwe mfayiliaji sana wa mpira ndio unaweza kuwajua.
Mtu kama bachuayi, niasse, kone, ni wazuri tu na wamechemsha.
Harafu ukkshachemsha pale hata soko lako linashuka.
Huyu jamaa ndie angekuwa muumba nafikiri jua lingewaka masaa 24... sijui ana upele gani huyu.Inaonyesha hata yeye kuwa muislamu kwako unaona ni udini...
We jamaa una msongo sio bure.Ushabiki Wa Kidini Uende Sambamba Na Michezo? Hiyo Haitakuwa Michezo Bali Dini Kujiingiza Na Kutawala Michezo. Bora Siasa Itawale Michezo Kuliko Dini, ndiyo maana kuna wizara ya michezo na inaongozwa na waziri wa michezo ambaye ni mwanasiasa, si padri, mchungaji wala sheikh. Michezo inaunganisha watu wa imani zote. Hivyo basi wanamichezo wanapaswa kuanzisha huduma za watu wote ili waendelee kunufaika kwa mafanikio yake bila ubaguzi wa kidini. Yule mchezaji ni wa wote siyo wa dini yake pekee, afanye vitu vya kunufaisha wengi. Hachezi Kwa Ajili Ya Imani Yake, Anacheza Kama Pia Kwa Ajili Ya sifa kwa taifa lake.Taifa lake halina dini
Kuna ligi za nguvu duniani kupita za Afrika?Sijakataa kuwa kaiva, Samatta hawezi kucheza ligi za nguvu kama ya MLS na EPL atakuwa majeruhi kila msimu kwa namna ya uchezaji wake.
Uliitazama mechi yao waliyotangaza ubingwa dhidi ya Anderlecht? Samatta alikuwa kama Toy kwa kifupi abaki Genk acheze UEFA akikutana hata na CSKA Moscow ndipo angalau aanze kujitathmini akikurupuka kwenda Crystal palace kisa Wilfred Zaha anaondoka Haki ya Mungu utakuja kuniambia hatokuwa na lolote na atapigwa benchi EPL kuna wachezaji kibao wakiafrika ambao nauhakika huwajui ila wapo Arsenal, Liverpool na hawachezi ni backbenchers wakubwa na wengi ni wamisri
Samatta angekuwa Msenegali ungeandika haya?!Sijakataa kuwa kaiva, Samatta hawezi kucheza ligi za nguvu kama ya MLS na EPL atakuwa majeruhi kila msimu kwa namna ya uchezaji wake.
Uliitazama mechi yao waliyotangaza ubingwa dhidi ya Anderlecht? Samatta alikuwa kama Toy kwa kifupi abaki Genk acheze UEFA akikutana hata na CSKA Moscow ndipo angalau aanze kujitathmini akikurupuka kwenda Crystal palace kisa Wilfred Zaha anaondoka Haki ya Mungu utakuja kuniambia hatokuwa na lolote na atapigwa benchi EPL kuna wachezaji kibao wakiafrika ambao nauhakika huwajui ila wapo Arsenal, Liverpool na hawachezi ni backbenchers wakubwa na wengi ni wamisri
Kwa hiyo unataka kutuambia wewe una akili kupita hao maskauti wa timu za Epl walimuona atafiti kwenye ligi?!Tuweke pesa mkuu Mashahidi ni wachangiaji wa huu uzi naweka laki nane mezani nawe uweke.
Samatta akienda EPL atacheza timu ya daraja la kati.
Samatta hatofunga magoli zaidi ya saba kwa kila msimu hata akicheza misimu miwili (Kama ataondoka Genk bila kucheza UEFA).
Samatta atapata majeraha yatakayomuweka nje kwa msimu mzima.
Haya tu
Hahaha tisha sana kada. Umeijibu vizuri hiyo jamaa.Bwege wewe
Unadhan ukiwa star maana yake uishi kipagani?
Angepiga picha kakumbatia Malaya ndio kuishi bila ya udini?
Mpira ni kazi kama wewe ya kuuza Mitumba lakin kuna Maisha binafsi lazima awe nayo
Kama umekerwa na picha yake akiwa Umra achana nae kawafuate kina Mrisho ngasa na videoclip zao chafu chafu
Mkuu Genk Ilikomea makundi EUROPA... hv tatizo ilikuwa Samatta au timu nzima kwa ujumla..??Samatta ni bora abaki Genk kuliko kwenda EFL ama EPL akacheze timu itakayoshuka daraja.
Samatta hana kiwango cha kupata namba kwa uhakika EPL ligi ile ni ya nguvu sana na maarifa, Jupiter league ni mdebwedo sana sibezi mafanikio yake ila ndio ukweli mara elfu 10 abaki Genk akacheze UEFA kuliko kwenda Swansea au stoke city kwa sasa asubiri awe mtambo mkubwa.
Alicheza EUROPA na vitimu vya ajabu ajabu akafunga sanaa alipokutana na Fernebahce ndipo akauona mpira wa ulaya ulivyo mara slavia Prague HAHAHAA Samatta ndugu yangu komaa na Genk
Hahaha naona umetema cheche nondo za ukweli mtupu. Ligi ya EPL mwenywe sidhani kama ataiweza kama shevchenko aliishindwa
Hata akifunga goli 7 mkuu tutamrank na game alizocheza na timu yake..Nilichoona kwa Samata ni mtu wa kuadapt na kila anapoenda anaibuka kuwa star wa team, Genk inatoa wachezaji wengi wazuri wanaokwenda kutesa Ujeruman, Epl, na Serie A.. Kuna akina Trosard pale Genk ila kaibuka mbele yao..
Anaweza kucheza vizuri sana hata EPL na kufunga zaidi ya goli 10.
Thibatous kipa wa Real madridMkuu kubaliana nami Samatta akienda EPL atacheza mechi 5 alafu atakaa nje msimu mzima eidha kwa majeraha au kwa kupata mbadala (akienda msimu ujao)
Genk haina wachezaji wazuri wanaotesa ligi zingine wanaozidi wanne wana Thiba cotwaa (jina lake la mwisho kama nimekosea kuliandika niwie radhi) na mmoja EPL nimemsahau jina.
Samatta EPL hapawezi mnampa kichwa kikubwa atapasuka angalau aende Scotland akapate ujuzi wenzake wengi wa Africa huanzia huko au hata ufaransa ENGLAND watamsajili EFL washenzi wale alafu timu ishuke daraja na huko EFL unategemea atakuwa wapi? Genk ni better
Ameshaonekana mkuu.. ameipa genk ubingwa.. amefunga goli zaidi 30 msimu huu.Asubili acheze Primary stage ya EUEFA
Kama wakitoboa sawa ataonekana.
Velencia na Sevilla ni timu kubwa pale Spain mkuu... za wastani ni Espanyol, Bilbao n.kNahisi angeanza na Spain kwa timu zenye kiwango cha wastani kama Sevilla, Valencia
Lukaku na Koulibaly hawajawahi kucheza Genk.Thibatous kipa wa Real madrid
Lukaku wa man utd
De bruyne wa City
Bailey wa Leverkussen
Koulibaly wa napoli.
Halafu mkuu hv vitu muda mwingine juhudi zaidi na umakini ndio vinawatoa hawa... Tumpe moyo akakomae kuliko kuogopa na kumtisha.
Simlogi ila akienda EPL sasa ndio kapotea hivyoMkuu Genk Ilikomea makundi EUROPA... hv tatizo ilikuwa Samatta au timu nzima kwa ujumla..??
**Hivi nikisema ubora wa mtu unategemeana na wanaomzunguka kwenye timu nitakuwa nimekosea?.. Kama sijakosea kwa nini Tunamroga kabla hajakanyaga huko epl?
Mkuu pale Everton kuna jamaa raia wa Brazil anaitwa Richarlison... walimtoa Watford na msimu huu amefunga goli 17 mashindano yote...Everton naiona nafasi yake pale wale jamaa wako vizuri sana kiuchezaji wanamkosa tu mmaliziaji makini anayejua kukaa kwenye nafasi kwa wakati muafaka.