Samatta kuonekana UEFA au Ligi Kuu ya England. BIG up jembe la Tanzania

Ana Mashabiki Wengi Nchini, Ila Kwa Kujenga Msikiti Ndani Ya Jumba Lake Ni Udini Mtupu, Bora Ajenge Jumba Jingine Na Ndani Yake Aweke Kanisa Itapendeza Sana Kwa Mashabiki Wake Wasio Waislam
Inaonyesha hata yeye kuwa muislamu kwako unaona ni udini...
 
Samatta ni rais wa nchi gani mpaka unataka afanye haya kwa kodi yako?.. Umekomaa nakuona tu .
Hivi wewe huna ela ukajenge haya unayotaka? Au kwenu nani kajenga hata darasa moja la baby class??
Ela yake unaipangia matumizi.. Eti nchi haina dini?.. Kwa hiyo hutaki awe na imani yake?.. Anamuabudu MUNGU au anakuabudu wewe na wenzio waliokutuma?

Jenga wewe taifa likusifu.. Ye kajenga
 
Mkuu kwa maana ya kuchukua UEFA au EPL akiwa Everton ni kweli atachemsha... Ila EPL anacheza acheni uoga wakati jitihada na uwezo ni wake na yeye anajua England ni ligi ya aina gani?
**Angekuwa amefeli hapo GENK afu akasema aende England ungesemaje?.. mbona tunaficha ukweli wadau. au wanaocheza epl wote wametokea PSG, Monaco na Valencia?
 
Huyu Batshuayi unaemsema amecheza chelsea japo mechi nyingi ametokea sub... Akapelekwa mkopo Valencia ya LA LIGA amecheza hadi UEFA..
Akapelekwa Dortmund ya BUNDESLIGA mkopo akacheza nafasi ya AUBEMAYANG aliyetimkia Arsenal... Amerudi EPL yuko Crystal Pallace anacheza soka.
**Anazunguka hv kwa kuwa timu yake chelsea ni timu kubwa kuna watu pale wanaomzidi uwezo anakosa muda mwingi wa kucheza.. Ndio maana anapoenda Pallace na timu ambazo anahitajika anapata nafasi kubwa anacheza.. kama ni kufeli kafeli kupata namba chelsea sio epl na ligi kubwa.
Angekuwa na uwezo mdogo BVB na VALENCIA wasingemchukua angeenda EFL daraja la 1/2 huko.
 
We jamaa una msongo sio bure.
 
Kuna ligi za nguvu duniani kupita za Afrika?
 
Samatta angekuwa Msenegali ungeandika haya?!
 
Kwa hiyo unataka kutuambia wewe una akili kupita hao maskauti wa timu za Epl walimuona atafiti kwenye ligi?!
 
Hahaha tisha sana kada. Umeijibu vizuri hiyo jamaa.
 
Mkuu Genk Ilikomea makundi EUROPA... hv tatizo ilikuwa Samatta au timu nzima kwa ujumla..??
**Hivi nikisema ubora wa mtu unategemeana na wanaomzunguka kwenye timu nitakuwa nimekosea?.. Kama sijakosea kwa nini Tunamroga kabla hajakanyaga huko epl?
 
Uzuri wake Mbwana anajielewa..humu ushauri mwingi ni wa wivu na husuda na roho pana.Ndio maana hatupigi hatua hata moja.Kuna watu tuna comments kama vile tunachezea hivyo vilabu.Nakumbuka tu safari ya Samata ilipoanza tuliongea sana mbovu baadhi yetu.Mpaka alipofikia angesoma comments za humu muda huu angeishia kwenye magazeti ya bongo hapa.

Samata Pambana ufikie ndoto zako maana unayecheza ni wewe si sisi tunaondika hapa nyuma ya Keyboard.Ukiona una uwezo wa kupambana kule EPL au LaLiga nenda ndugu yangu,ukiona kuwa unataka pia kubaki Genk na Maslahi yanaruhusu pia fanya hayo maamuzi kwa kujitazama stamina na Intelligent yako ndani ya soka kwa ujumla.Achana na sisi wenye roho pana hizi ...mazoezi unafanya wewe na uwanjani upo wewe sisi ni wasemaji tu wenye kila aina ya ushauri ambao wengi tunafanya kwa mazoea tu.

Hakuna anayependa mafanikio yako mzee,kwanza wengi wanasema unabahitisha na kweli Mungu amekupa zaidi na zaid katika ubahitishaji wako mpaka sasa hajakuangusha.Nikutakie mafanikio mema na uzidi kupambana kwa ajili ya maisha yako kama ilivyo vijana wengi tunaohangaika kupata mkate wa kila siku na kukutana na changamoto kibao za raia na vijana wenzetu.
 
Hata akifunga goli 7 mkuu tutamrank na game alizocheza na timu yake..
Anachotaka Samatta ni kuvuka level asogee ya juu na yuko kwenye wakati wake.. asipoenda leo ataenda lini na age inakata...
Wengine wanaomba acheze UEFA kwanza.. sio mbaya lakini EPL ni top jamani na mkwanja uko kule , ngoja apige pesa umri unaruhusu bado.
 
Thibatous kipa wa Real madrid
Lukaku wa man utd
De bruyne wa City
Bailey wa Leverkussen
Koulibaly wa napoli.
Halafu mkuu hv vitu muda mwingine juhudi zaidi na umakini ndio vinawatoa hawa... Tumpe moyo akakomae kuliko kuogopa na kumtisha.
 
Thibatous kipa wa Real madrid
Lukaku wa man utd
De bruyne wa City
Bailey wa Leverkussen
Koulibaly wa napoli.
Halafu mkuu hv vitu muda mwingine juhudi zaidi na umakini ndio vinawatoa hawa... Tumpe moyo akakomae kuliko kuogopa na kumtisha.
Lukaku na Koulibaly hawajawahi kucheza Genk.
Lukaku kacheza Antwerp na Anderlecht.
Koulibaly ana St louis na zingine
 
Mkuu Genk Ilikomea makundi EUROPA... hv tatizo ilikuwa Samatta au timu nzima kwa ujumla..??
**Hivi nikisema ubora wa mtu unategemeana na wanaomzunguka kwenye timu nitakuwa nimekosea?.. Kama sijakosea kwa nini Tunamroga kabla hajakanyaga huko epl?
Simlogi ila akienda EPL sasa ndio kapotea hivyo
 
Everton naiona nafasi yake pale wale jamaa wako vizuri sana kiuchezaji wanamkosa tu mmaliziaji makini anayejua kukaa kwenye nafasi kwa wakati muafaka.
Mkuu pale Everton kuna jamaa raia wa Brazil anaitwa Richarlison... walimtoa Watford na msimu huu amefunga goli 17 mashindano yote...
Huyu jamaa Man u, Psg naBarca wanamtaka ..kama ataondoka linaweza kuwa gape kwa Samatta.
Bado Mbwana popote atakapoenda apige kazi kweli kupata namba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…