Samatta ni mkubwa nje ya uwanja na kwenye vyombo vya Habari lakini ndani ya uwanja ni mdogo Sana

Samatta ni mkubwa nje ya uwanja na kwenye vyombo vya Habari lakini ndani ya uwanja ni mdogo Sana

Samatta ni mchezaji wa klabu kwa sasa, sio mchezaji wa timu ya taifa. Huku anakuja tu ili akikataa asilaumiwe ila sio kwamba anatia juhudi binafsi. Hata ubishi wa Kibu pale mbele unaonekana at least asumbue mabeki hata kama hafungi.

Haonyeshi jitihada àngalau tuone kuwa anapambana ila wenzake wanamuangusha. Yeye ndiye anakuwa slow sana
 
Wapuuzi ni wengi sana, hii inaashiria tuna vijana wa hovyo sana Taifa hili.

Mchezaji pekee tokea Tanganyika ambaye amewahi kuwa mchezaji bora wa Africa 2015 unapata wapi ujasiri wa kusema hawezi kandanda?.

Mpira hauchezwi na mtu mmoja pekee uwanjani bali ni ushirikiano wa watu zaidi ya 11.

Endapo wachezaji wawili wanacheza vema, kisha 9 wanacheza vibaya, hapo tegemea juhudi za hao wawili zitamezwa na hao vilaza 9. Hiki ndicho kinachomkumba Mbwana.

Nchi hii haijawahi zalisha mchezaji aliyeweza kuwa top scorer hata hapo burundi, sasa unapata wapi uthubutu wa kumtukana top scorer wa ligi ya DRC, CAF CL, ligi kuu ya Ubeligiji, amecheza ligi kuu Epl, Turkey, Greece na Tanganyika?.
Tatizo ni kujifanya kila kitu unajua, mapenzi wewe, siasa wewe, dini wewe ukiona watu wanampuuzia anakuja kuvamia mada nyingine ambazo hata hazijui.
Samatta amezungukwa na wachezaji wa aina gani, unaona anakimbia na mpira lakini wachezaji wengine wanashindwa kutafuta nafasi kidogo anajitahidi Msuva ila unacheza na wakina Kibu, Shabalala ambao wengi ni vipaji.
Kama aliangalia mpira goli dhidi ya Zambia kiasi kikubwa ni juhudi zake binafsi.
 
Mkuu kwa sisi tunaangalia kama yalivyo bila kupepesa macho tunaona uwezo wa Samatta uwanjani haulingani na promo na jina alilonalo kwenye Media.

Heshima anayo kwa juhudi za kucheza nchi za Ulaya lakini tukizungumzia kiwango chake akiwa Stars hapana mkuu
Stars anacheza na vilaza wengi wanaomzunguka kitu kinachochagiza mchango wake uwanjani uonekane wa kawaida.

Kwa mfano mfungaji bora wa muda wote duniani, bwana Cristiano Ronaldo, utasema hana/hakuwa na kiwango kinachoshawishi kwa vile timu yake ya Taifa haijawahi shinda kombe la dunia au kufika japo robo fainali ya kombe hilo?.

Ukipata majibu tambua hali hiyo ndiyo inayomsibu Mbwana.
 
Kwema wakuu!

Mtanisamehe kwa wale wapenzi wa Mchezaji wa Mpira aitwaye Samatta. Lakini kiukweli tangu nimjue Samatta hasa akiwa ndani ya timu yetu ya taifa sijawahi kuona miujiza na ukubwa Wake.

Ukisikia matangazo ya kwenye Luninga na Redioni kumhusu Samatta amejengwa kwa namna ya mtu fulani mkubwa sana, mwenye mambo ya ajabu uwanjani lakini ukifika uwanjani ukatazama kile anachokifanya hakiendani na sifa anazopewa.

Ndugu yangu Samatta tunakuomba urudishe kile Watu wanachokuonà na wanachokusifia nacho.

Au je ni macho yangu tu?

Au je nimekuwa na chuki mpaka sioni uwezo wa Samatta uwanjani?

Au ni kweli hata ninyi mwaona kile nionacho?

Nawatakia jioni njema
Ana goli 22 stars, nyuma ya mfungaji Bora wa muda wote,ngada.. mwenye goli 26
 
Kwema wakuu!

Mtanisamehe kwa wale wapenzi wa Mchezaji wa Mpira aitwaye Samatta. Lakini kiukweli tangu nimjue Samatta hasa akiwa ndani ya timu yetu ya taifa sijawahi kuona miujiza na ukubwa Wake.

Ukisikia matangazo ya kwenye Luninga na Redioni kumhusu Samatta amejengwa kwa namna ya mtu fulani mkubwa sana, mwenye mambo ya ajabu uwanjani lakini ukifika uwanjani ukatazama kile anachokifanya hakiendani na sifa anazopewa.

Ndugu yangu Samatta tunakuomba urudishe kile Watu wanachokuonà na wanachokusifia nacho.

Au je ni macho yangu tu?

Au je nimekuwa na chuki mpaka sioni uwezo wa Samatta uwanjani?

Au ni kweli hata ninyi mwaona kile nionacho?

Nawatakia jioni njema

Naunga mkono HOJA, hajui kujituma, yupo slow na hii yote ni sababu ametokea SIMBA SC

He is overrated
 
Samata ni mmoja ya wachezaji wakubwa kuwahi kutokea hapa nchini, katika zama zake ambapo alikua kijana kaibeba sana timu ya taifa bahati mbaya alikua peke yake asingeweza kufanya miujiza. George Weah pamoja na kuchukua balon dor hakufanya cha maana akiwa na Liberia, Giggs ni mchezajo mkubwa duniani lakini hajawahi kufanya cha maana akiwa na Wales, kwanini? Kwa sababu ubora wa wachezaji wenzao ulikua chini. Kwa sasa Samata umri umeshaenda kupata majeruhi ni rahisi hawezi akacheza kwa kujitoa kama alivyokua mdogo lazima alinde kibarua chake ulaya.
 
Samata ni mmoja ya wachezaji wakubwa kuwahi kutokea hapa nchini, katika zama zake ambapo alikua kijana kaibeba sana timu ya taifa bahati mbaya alikua peke yake asingeweza kufanya miujiza. George Weah pamoja na kuchukua balon dor hakufanya cha maana akiwa na Liberia, Giggs ni mchezajo mkubwa duniani lakini hajawahi kufanya cha maana akiwa na Wales, kwanini? Kwa sababu ubora wa wachezaji wenzao ulikua chini. Kwa sasa Samata umri umeshaenda kupata majeruhi ni rahisi hawezi akacheza kwa kujitoa kama alivyokua mdogo lazima alinde kibarua chake ulaya.

Labda ukubwa wa kufoji age

Hakuna mchezaji mkubwa aliyekuwa rooted na SSC

Timu inaongozwa na viazi inatoaje mchezaji mkubwa

Ndoto
 
Mtibeli leo hujasema uko wapi.

Ila jua kuwa mpira(team) ni system. Everything has to be functional for the system to work.
 
Kwema wakuu!

Mtanisamehe kwa wale wapenzi wa Mchezaji wa Mpira aitwaye Samatta. Lakini kiukweli tangu nimjue Samatta hasa akiwa ndani ya timu yetu ya taifa sijawahi kuona miujiza na ukubwa Wake.

Ukisikia matangazo ya kwenye Luninga na Redioni kumhusu Samatta amejengwa kwa namna ya mtu fulani mkubwa sana, mwenye mambo ya ajabu uwanjani lakini ukifika uwanjani ukatazama kile anachokifanya hakiendani na sifa anazopewa.

Ndugu yangu Samatta tunakuomba urudishe kile Watu wanachokuonà na wanachokusifia nacho.

Au je ni macho yangu tu?

Au je nimekuwa na chuki mpaka sioni uwezo wa Samatta uwanjani?

Au ni kweli hata ninyi mwaona kile nionacho?

Nawatakia jioni njema
Chuki zako tu ndugu yangu, ukiona mchezaji timu ikifungwa anabebeshwa zigo la zambi na timu ikifanya vizuri anabeba sifa ujue ana kitu tofauti na wenzake tuwaheshimu wachezaji wetu.
 
Mara ya mwisho Samatta kufunga akiwa na timu ya taifa ilikua lini?
 
Samata ana goli 22 katika timu ya Taifa Sasa ili ujue kwamba goli 22 ni nyingi kwa Timu ya Taifa tafuta washambuliaji wenye goli 22 kwenye timu za Taifa kwenye Rank ya Dunia angalia yupo na wakina nani.
 
Mpaka wasafi wakaimba wakasema "SOKA SAMATTA" lakini waaapi....!
 
Hivi ndio aliendaga ligi ya uingereza dah utopwinyo mtupu hana kile watu wanamsifia mfano kwenye tangazo la afcon utaskia hapa samata kule sadio mane huku salaa jamani naona aibu mimi wanatajwa watu wenye mauwezo uwanjani ila kwa samata hata kama ni mtz mwenzangu sioni anafanya nn
 
Samatta sio mzalendo...period anaogopa kuumia akakosa mechi za club
 
Back
Top Bottom