Samatta ni mkubwa nje ya uwanja na kwenye vyombo vya Habari lakini ndani ya uwanja ni mdogo Sana

Samatta ni mkubwa nje ya uwanja na kwenye vyombo vya Habari lakini ndani ya uwanja ni mdogo Sana

Samata ni mmoja ya wachezaji wakubwa kuwahi kutokea hapa nchini, katika zama zake ambapo alikua kijana kaibeba sana timu ya taifa bahati mbaya alikua peke yake asingeweza kufanya miujiza. George Weah pamoja na kuchukua balon dor hakufanya cha maana akiwa na Liberia, Giggs ni mchezajo mkubwa duniani lakini hajawahi kufanya cha maana akiwa na Wales, kwanini? Kwa sababu ubora wa wachezaji wenzao ulikua chini. Kwa sasa Samata umri umeshaenda kupata majeruhi ni rahisi hawezi akacheza kwa kujitoa kama alivyokua mdogo lazima alinde kibarua chake ulaya.

🙏🏾🙏🏾
Shukran mkuu kwa maelezo yaliyonyooka
 
Hivi ndio aliendaga ligi ya uingereza dah utopwinyo mtupu hana kile watu wanamsifia mfano kwenye tangazo la afcon utaskia hapa samata kule sadio mane huku salaa jamani naona aibu mimi wanatajwa watu wenye mauwezo uwanjani ila kwa samata hata kama ni mtz mwenzangu sioni anafanya nn

Natamani kuona kama wengine waonavyo katika uwezo mkubwa wa Samatta lakini nisiwe Mnafiki. Bado siridhishwi
 
Back
Top Bottom