Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #21
Samatta ni mchezaji wa klabu kwa sasa, sio mchezaji wa timu ya taifa. Huku anakuja tu ili akikataa asilaumiwe ila sio kwamba anatia juhudi binafsi. Hata ubishi wa Kibu pale mbele unaonekana at least asumbue mabeki hata kama hafungi.
Hili ndiyo jibu:Au je nimekuwa na chuki mpaka sioni uwezo wa Samatta uwanjani?
Hili ndiyo jibu:
"It is better to keep your mouth closed and let people think you are a fool than to open it and remove all doubt". Mark Twain
Tatizo ni kujifanya kila kitu unajua, mapenzi wewe, siasa wewe, dini wewe ukiona watu wanampuuzia anakuja kuvamia mada nyingine ambazo hata hazijui.Wapuuzi ni wengi sana, hii inaashiria tuna vijana wa hovyo sana Taifa hili.
Mchezaji pekee tokea Tanganyika ambaye amewahi kuwa mchezaji bora wa Africa 2015 unapata wapi ujasiri wa kusema hawezi kandanda?.
Mpira hauchezwi na mtu mmoja pekee uwanjani bali ni ushirikiano wa watu zaidi ya 11.
Endapo wachezaji wawili wanacheza vema, kisha 9 wanacheza vibaya, hapo tegemea juhudi za hao wawili zitamezwa na hao vilaza 9. Hiki ndicho kinachomkumba Mbwana.
Nchi hii haijawahi zalisha mchezaji aliyeweza kuwa top scorer hata hapo burundi, sasa unapata wapi uthubutu wa kumtukana top scorer wa ligi ya DRC, CAF CL, ligi kuu ya Ubeligiji, amecheza ligi kuu Epl, Turkey, Greece na Tanganyika?.
Stars anacheza na vilaza wengi wanaomzunguka kitu kinachochagiza mchango wake uwanjani uonekane wa kawaida.Mkuu kwa sisi tunaangalia kama yalivyo bila kupepesa macho tunaona uwezo wa Samatta uwanjani haulingani na promo na jina alilonalo kwenye Media.
Heshima anayo kwa juhudi za kucheza nchi za Ulaya lakini tukizungumzia kiwango chake akiwa Stars hapana mkuu
Ana goli 22 stars, nyuma ya mfungaji Bora wa muda wote,ngada.. mwenye goli 26Kwema wakuu!
Mtanisamehe kwa wale wapenzi wa Mchezaji wa Mpira aitwaye Samatta. Lakini kiukweli tangu nimjue Samatta hasa akiwa ndani ya timu yetu ya taifa sijawahi kuona miujiza na ukubwa Wake.
Ukisikia matangazo ya kwenye Luninga na Redioni kumhusu Samatta amejengwa kwa namna ya mtu fulani mkubwa sana, mwenye mambo ya ajabu uwanjani lakini ukifika uwanjani ukatazama kile anachokifanya hakiendani na sifa anazopewa.
Ndugu yangu Samatta tunakuomba urudishe kile Watu wanachokuonà na wanachokusifia nacho.
Au je ni macho yangu tu?
Au je nimekuwa na chuki mpaka sioni uwezo wa Samatta uwanjani?
Au ni kweli hata ninyi mwaona kile nionacho?
Nawatakia jioni njema
Kwema wakuu!
Mtanisamehe kwa wale wapenzi wa Mchezaji wa Mpira aitwaye Samatta. Lakini kiukweli tangu nimjue Samatta hasa akiwa ndani ya timu yetu ya taifa sijawahi kuona miujiza na ukubwa Wake.
Ukisikia matangazo ya kwenye Luninga na Redioni kumhusu Samatta amejengwa kwa namna ya mtu fulani mkubwa sana, mwenye mambo ya ajabu uwanjani lakini ukifika uwanjani ukatazama kile anachokifanya hakiendani na sifa anazopewa.
Ndugu yangu Samatta tunakuomba urudishe kile Watu wanachokuonà na wanachokusifia nacho.
Au je ni macho yangu tu?
Au je nimekuwa na chuki mpaka sioni uwezo wa Samatta uwanjani?
Au ni kweli hata ninyi mwaona kile nionacho?
Nawatakia jioni njema
Haonyeshi jitihada àngalau tuone kuwa anapambana ila wenzake wanamuangusha. Yeye ndiye anakuwa slow sana
Katika wachezaji wanne hovyo taifa stars Samata lazima awe namba moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Samata ni mmoja ya wachezaji wakubwa kuwahi kutokea hapa nchini, katika zama zake ambapo alikua kijana kaibeba sana timu ya taifa bahati mbaya alikua peke yake asingeweza kufanya miujiza. George Weah pamoja na kuchukua balon dor hakufanya cha maana akiwa na Liberia, Giggs ni mchezajo mkubwa duniani lakini hajawahi kufanya cha maana akiwa na Wales, kwanini? Kwa sababu ubora wa wachezaji wenzao ulikua chini. Kwa sasa Samata umri umeshaenda kupata majeruhi ni rahisi hawezi akacheza kwa kujitoa kama alivyokua mdogo lazima alinde kibarua chake ulaya.
We labda unaangalia mpira tofauti na huu tunaoangalia sisiKuna kuangalia mpira na kuutazama mpira hapo ndipo tofauti inapoanzia kati yetu (mimi na wewe) sijui nani anafanya nini.
Chuki zako tu ndugu yangu, ukiona mchezaji timu ikifungwa anabebeshwa zigo la zambi na timu ikifanya vizuri anabeba sifa ujue ana kitu tofauti na wenzake tuwaheshimu wachezaji wetu.Kwema wakuu!
Mtanisamehe kwa wale wapenzi wa Mchezaji wa Mpira aitwaye Samatta. Lakini kiukweli tangu nimjue Samatta hasa akiwa ndani ya timu yetu ya taifa sijawahi kuona miujiza na ukubwa Wake.
Ukisikia matangazo ya kwenye Luninga na Redioni kumhusu Samatta amejengwa kwa namna ya mtu fulani mkubwa sana, mwenye mambo ya ajabu uwanjani lakini ukifika uwanjani ukatazama kile anachokifanya hakiendani na sifa anazopewa.
Ndugu yangu Samatta tunakuomba urudishe kile Watu wanachokuonà na wanachokusifia nacho.
Au je ni macho yangu tu?
Au je nimekuwa na chuki mpaka sioni uwezo wa Samatta uwanjani?
Au ni kweli hata ninyi mwaona kile nionacho?
Nawatakia jioni njema